Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
MODULE KATIKA KOTLINMODULE NI NINI?Module ni kitengo kikubwa cha mantiki katika mfumo wa programu, kinachojitegemea kiasi na kinaweza kujengwa, kujaribiwa, na kutumika kwa kujitegemea au kushirikiana na modules nyingine.
Kwa lugha nyepesi:
Package ni kama "folder ya code"
Module ni kama project au sehemu ya project iliyojaa packages, classes, na resources.
Kugawa mfumo mkubwa kuwa sehemu ndogo ndogo.
Kuwezesha reusability ya sehemu ya programu.
Kuongeza modularity: kila module iwe na jukumu maalum.
Kurahisisha testing: unaweza kujaribu module moja bila nyingine.
Kuboresha build times (hususan kwenye Android au Kotlin Multiplatform).
Kuwezesha team collaboration: kila developer aendelee na module yake.
Kila module inaweza kuwa na:
src/ – Chanzo cha code
resources/ – Faili za ziada kama icons, strings
build.gradle(.kts) – Maelezo ya kujenga module hiyo
dependencies – Inaweza kutegemea modules nyingine au libraries
| Kitu | Maelezo |
|---|---|
| Package | Kikundi cha files/functions ndani ya module |
| Module | Kitengo kinachojitegemea chenye packages nyingi |
| Library | Kawaida ni module iliyoandaliwa kwa matumizi ya nje |
Huu ndio module kuu wenye main() au AndroidManifest.xml
Unatumiwa kama "mzazi" kwa modules nyingine.
Hawezi kujitekeleza peke yake.
Huwa na code ya kusaidia, kama helper classes/functions.
Tumia kwenye projects nyingi.
Imejengwa kwa ajili ya kuandaa na kuendesha majaribio ya module nyingine.
Huwa na sehemu ya common, android, na ios
Hufaa kwa Kotlin Multiplatform Mobile (KMM)
MyProject/
├── app/ ← Application Module
│ └── src/
│ └── build.gradle.kts
│
├── data/ &la">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza maana ya data classes katika Kotlin, kwa nini zipo, jinsi ya kuzitumia, sifa zake, pamoja na mifano ya vitendo. Pia tutajifunza tofauti kati ya class ya kawaida na data class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...