Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
MODULE
KATIKA KOTLINMODULE
NI NINI?Module ni kitengo kikubwa cha mantiki katika mfumo wa programu, kinachojitegemea kiasi na kinaweza kujengwa, kujaribiwa, na kutumika kwa kujitegemea au kushirikiana na modules nyingine.
Kwa lugha nyepesi:
Package ni kama "folder ya code"
Module ni kama project au sehemu ya project iliyojaa packages, classes, na resources.
Kugawa mfumo mkubwa kuwa sehemu ndogo ndogo.
Kuwezesha reusability ya sehemu ya programu.
Kuongeza modularity: kila module iwe na jukumu maalum.
Kurahisisha testing: unaweza kujaribu module moja bila nyingine.
Kuboresha build times (hususan kwenye Android au Kotlin Multiplatform).
Kuwezesha team collaboration: kila developer aendelee na module yake.
Kila module inaweza kuwa na:
src/
– Chanzo cha code
resources/
– Faili za ziada kama icons, strings
build.gradle(.kts)
– Maelezo ya kujenga module hiyo
dependencies
– Inaweza kutegemea modules nyingine au libraries
Kitu | Maelezo |
---|---|
Package | Kikundi cha files/functions ndani ya module |
Module | Kitengo kinachojitegemea chenye packages nyingi |
Library | Kawaida ni module iliyoandaliwa kwa matumizi ya nje |
Huu ndio module kuu wenye main()
au AndroidManifest.xml
Unatumiwa kama "mzazi" kwa modules nyingine.
Hawezi kujitekeleza peke yake.
Huwa na code ya kusaidia, kama helper classes/functions.
Tumia kwenye projects nyingi.
Imejengwa kwa ajili ya kuandaa na kuendesha majaribio ya module nyingine.
Huwa na sehemu ya common, android, na ios
Hufaa kwa Kotlin Multiplatform Mobile (KMM)
MyProject/
├── app/ ← Application Module
│ └── src/
│ └── build.gradle.kts
│
├── data/ &la">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza matumizi ya objects na companion objects katika Kotlin. Tutajifunza tofauti kati ya object na class ya kawaida, faida za singleton pattern, na jinsi ya kutumia companion kama mbadala wa static members katika Java.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza maana ya data classes katika Kotlin, kwa nini zipo, jinsi ya kuzitumia, sifa zake, pamoja na mifano ya vitendo. Pia tutajifunza tofauti kati ya class ya kawaida na data class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...