picha
KOTLIN SOMO LA 8: JINSI YA KUTUMIA WHEN

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 7: JINSI YA KUTUMIA IF NA IFELSE KWENYE KOTLIN

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
picha
PHP SOMO LA 67: PROJECT YA CUDE OPERATON WA UTUMA OOP NA PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
picha
PHP SOMO LA 66: JINSI YA KU EDIT DATA NA KUFUTA KWENYE DATABASE KWA KUTUMIA PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
picha
PHP SOMO LA 65: JINSI YA KUSOMA DATA KWENYE DATABASE KWA KUTUMIA PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
picha
PHP SOMO LA 64: JINSI YA KUTENGENEZA DATABASE NA KUINGIZA DATA KWA KUUMIA PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
picha
KOTLIN SOMO LA 6: STRING KWENYE KOTLIN

Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
picha
PYTHON SOMO LA 12: ASSIGNMENT OPERATOR, LOGICAL OPERATOR, IDENTITY OEPRATOR NA MEMBERSHIP OPERATOR

Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
picha
KOTLIN SOMO LA 5: OPERATOR NA AINA ZAKE KWENYE KOTLIN

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.
picha
KOTLIN SOMO LA 4: AINA ZA DATA KWENYE KOTLIN

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
picha
PHP SOMOLA 63: JINSI YA KU CONNECT DATABASE KWA KUTUMIA PDO NA FAIDA ZAKE

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
picha
KOTLIN SOMO LA 3: JINSI YA KUANDIKA VARIABLE

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
picha
BLOGGER SOMO LA 3: JINSI YA KUIFANYA BLOG YAKO IWEZE KUONEKANA GOOGLE KWA URAHISI

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuifanya blog yako iweze kuoneka Google kwa urahisi
picha
BLOGGER SOMO LA 2: JINSI YA KUANDIKA POST NA KUIBORESHA PAMOJA NA KUIDHIBITI

Katika post hii utakwend akujifunza jinsi ya kuandika post, kuisimamia na kuoboresha.
picha
KOTLIN SOMO LA 2: SHERIA NA KANUNI ZA UANDISHI WA CODE ZA KOTLIN

Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
picha
GAME 3: MCHEZO WA KUFIKIRIA NAMBA KWA KUTUMIA JAVASCRIPT

Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.
picha
IFAHAMU Y2K YAANI YEAR 2000 BUG

Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.
picha
KOTLIN SOMO LA 1: HISTORIA YA KOTLIN NA KAZI ZAKE

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.
picha
DART SOMO LA 45: JINAI YS KUTUMA MYSQL DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
picha
DART SOMO LA 44: JINSI YA KU INSTALL MYSQL KWENYE PROGRAM YA DART

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
picha
DART SOMO LA 43: STREAM KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
picha
DART SOMOLA 42: ASYNCHRONOUS PROGRAMMING

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
picha
DART SOMO LA 41: CONCEPT YA GENERIC KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
picha
DART SOMO LA 40: FACTORY CONSTRUCTOR

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.



Page 3 of 197

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.