Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Firewall ni kifaa au programu ya usalama inayotumika kudhibiti na kuchuja mawasiliano yanayopita kati ya kompyuta (au mtandao) na nje ya mfumo huo — iwe ni mtandao mwingine au intaneti.
Kwa lugha rahisi, firewall ni kama mlinzi wa lango la mtandao, ambaye anaangalia kila mawasiliano yanayoingia au kutoka, kisha anaamua kuruhusu au kuyazuia kulingana na sheria zilizowekwa.
Firewall ya Vifaa (Hardware Firewall)
Hii ni kifaa maalum kinachowekwa kati ya mtandao wa ndani (kama wa ofisi) na intaneti.
Mfano: Router yenye firewall iliyojengwa ndani.
Firewall ya Programu (Software Firewall)
Hii huwekwa moja kwa moja kwenye kompyuta au seva.
Inaweza kudhibiti programu fulani zisifungue mawasiliano yasiyotakiwa.
Kuzuia virusi na mashambulizi ya nje (hacking)
Kuzuia programu zisizoruhusiwa kuwasiliana na nje
Kuruhusu huduma au trafiki salama pekee
Kusaidia kuzuia udukuzi (cyber attacks)
Ukifungua tovuti yenye virusi, firewall inaweza kuizuia kuwasiliana na kompyuta yako.
Kama programu kwenye kompyuta yako inajaribu kutuma data bila ruhusa, firewall inaweza kuizuia.
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika kompyuta, worm ni aina ya programu hasidi (malware) inayojinakili yenyewe na kusambaa kupitia mitandao bila kuhitaji kushikamana na faili au programu nyingine. Tofauti na virusi, worm husambaa haraka zaidi na mara nyingi hutumia mtandao kuenea.
Soma Zaidi...Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Soma Zaidi...RAM (Random Access Memory) na ROM (Read-Only Memory) ni aina za kumbukumbu kwenye kompyuta au vifaa vya kielektroniki, lakini zina malengo na tabia tofauti.
Soma Zaidi...Virusi vya kompyuta ni programu hasidi (malware) inayojishikiza kwenye faili au programu halali na kujiendesha pale faili hiyo inapofunguliwa. Virusi vinaweza kuharibu data, kupunguza kasi ya kompyuta, au kusababisha upotevu wa taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaeleza maana ya AMP (Accelerated Mobile Pages), jinsi inavyofanya kazi, faida zake katika SEO, changamoto zake, na njia bora za kuitumia ili kuboresha utendaji wa tovuti yako kwenye injini za utafutaji kama Google.
Soma Zaidi...Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Soma Zaidi...Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Soma Zaidi...Post hii utakwenda kujikitabzaidi kujibu swali, hata hivyo itambulike kuwa wengi wa wanasayansi waliohusika kwenye lugha hizi sio wamarekani.
Soma Zaidi...Hapa tunajadili sababu kuu zinazoifanya simu iwe rahisi kudukuliwa, mbinu zinazotumiwa na wadukuzi, na mambo ya kawaida ambayo watumiaji hufanya bila kujua na kujipeleka kwenye hatari.
Soma Zaidi...