picha
MIMBA HUONEKANA KATKA MKOJO BAADA YA MUDA GAN TANGU ITUNGWE

Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. ...

picha
JE ENDAPO MAMA ATAFANYA TENDO LA NDOA WIKI MOJA KABLA YA KUINGIA HEDHI ANAWEZA KUPATA UJAUZITO?

Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi...

picha
HABARI NASUMBULIWA NA TUMBO UPANDE WAKILIA ADI NIKIKOJOA MKOJO WA MWISHO UWA WA KAHAWIA TIBA TAKE NINI?

Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa...

picha
MAUMIVU YA TUMBO KABLA YA KUPATA HEDHI

Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.

picha
PAPAI LILILO IVA NI SALAMA KWA MAMA MJAMZITO AU HALIFAI

Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula...

picha
KUTOKWA NA DAMU BAADA YA TENDO LA NDOA

Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu....

picha
DAWA INAITWA KOFLAME UKITUMIA INASHIDA KWA MAMA MJAMZITO? MAUMIVU YA MGONGO NA NYONGA ZINASUMBUA

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka...

picha
MIM NINAUJAUZITO WA MWEZI MMOJA LAKINI NAONA KAMA HALI FULANI YA DAMU INANITOKA SEHEMU YA SIRI INAFANANA NA DAMU YA WAKATI WA PERIOD

Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka...

picha
JE MATITI KUJAA NA CHUCHU KUUMA INAKUA NI DALILI ZA HEDHI?

Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi...

picha
JE MTU KAM ANAONA DALILI ZA MIMB ILA AKAPIMA NAKIPIM HAKIJAMUONYESHA KAM ANA MIMB AM HANA JE KUNA UWEZEKAN WAKUW ANAYO

Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na...

picha
DAWA IPI YA MANJANO KWA MTOTO MWENYE UMRI MIAKA MIWILI?

Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii...

picha
JE UKITOKEA MCHUBUKO WAKATI WA NGONO UNAWEZA PATA UKIMWI?

Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli,...

picha
JE UNAWEZA UKAPONA MACHO KAMA HUONI VIZURI KWA SABABU YA VITAMINI A,

Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi...

picha
MPENZI WANGU NIMESHIRIKI NAE TENDO LA NDOA AKIWA SIKU ZAKE ZA HATAR KWA SIKU 3 LAKIN HAJASHIKA MIMBA TATIZO LINAWEZA KUWA NI NINI?

Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari...

picha
NI DAWA GANI HATARI KWA MJAMZITO?

Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni...

picha
JE UNAWEZA KUPATA UJAUZITO BILA YA KUPATA HEDHI MIEZI 9 BAADA YA KUJIFUNGUWA?

Baada ya kujifungua mwili wa mwanamke huwa na mabadiliko tofauti na siku za nyuma. Kwa mfano hatapatavtena hedhi, hatoweza...

picha
JINSI YA KUTAWADHA HATUWA KWA HATUWA

Kutawadha ni katika ibada muhimu za mwanzo kutakiwa kuzijuwa na ni lazima. Swala yako haitaweza kutimia bila ya kujuwa udhu....

picha
JE MAUMIVU JUU YA KITOVU NI MIONGONI MWA DALILI ZA MIMBA?

Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa...

picha
VINYWAJI VYAKULA SALAMA KWA MWENYE PRESHA YA KUPANDA

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe,...

picha
JE MAUMIVU JUU YA KITOVU NI MIONGONI MWA DALILI ZA MIMBA?

Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya...

picha
MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KIFUA, UPANDE WA KULIA NA CHINI YA KITOMVU.

Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula....

picha
JE VIDONDA MARA NYINGI VITAKUWA MAENEO GAN YA MWILI?

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi...

picha
KAWAIDA MTU ANATAKIWA NA KIWANGO GANI CHA PRESHA

Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Page 227 of 230

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.