Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili
SWALI
Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
JIBU:
Maumibu ya tumbo ni katika dalili za mimba. Maumivu ya tumbo huweza kutokea si kwa mimba changa tu bali hata mimba iliyokomaa. Maumivu ya tumbo huendelea kusumbuwa hata wanaokaribia kujifunguwa.
Kwa mimba zilizo changa maumivu ya tumbo huwenda yakawa katika dalili za mwanzoni kuziona kwa baadhi ya wanawake.
Maumivu haya yanaweza kuwa chini ya kitomvu, ama upande wa kushoto na hata kulia. Itambulike kuwa maumivu ya tumbo si dalili pekee ya ujauzito.
Maumivu ya tumbo pia yanaweza kuwa ni dalili ya:-
1. Typhod
2. UTI
3. PID
4. Shida kwenye kizazi
5. Ama shida kwenye mfuno wa chakula kama kujaa gesi na kadhalika.
NINI UFANYE:
Kama unahisi nibujajzito kitu cha kufanya ni kupata vipimo. Vyema ukafika hospitali kwa vipimonzaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kutokutibu fangasi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mg
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Soma Zaidi...Ugonjwa wa degedege ni ugonjwa unaowapata sana watoto chini ya miaka mitano ingawa na watu wazima wanapatwa na ugonjwa huo
Soma Zaidi...posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...