Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili
SWALI
Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
JIBU:
Maumibu ya tumbo ni katika dalili za mimba. Maumivu ya tumbo huweza kutokea si kwa mimba changa tu bali hata mimba iliyokomaa. Maumivu ya tumbo huendelea kusumbuwa hata wanaokaribia kujifunguwa.
Kwa mimba zilizo changa maumivu ya tumbo huwenda yakawa katika dalili za mwanzoni kuziona kwa baadhi ya wanawake.
Maumivu haya yanaweza kuwa chini ya kitomvu, ama upande wa kushoto na hata kulia. Itambulike kuwa maumivu ya tumbo si dalili pekee ya ujauzito.
Maumivu ya tumbo pia yanaweza kuwa ni dalili ya:-
1. Typhod
2. UTI
3. PID
4. Shida kwenye kizazi
5. Ama shida kwenye mfuno wa chakula kama kujaa gesi na kadhalika.
NINI UFANYE:
Kama unahisi nibujajzito kitu cha kufanya ni kupata vipimo. Vyema ukafika hospitali kwa vipimonzaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.
Soma Zaidi...posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw
Soma Zaidi...NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.
Soma Zaidi...Dalili za typhid zinapasa kuangaliwa kwa umakini. Bila vipimo mtu asitumie dawa za tyohod, kwanu dalili za tyohid hufanana na daliki za maradhi mengi.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino
Soma Zaidi...Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.
Soma Zaidi...ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ
Soma Zaidi...