Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili
SWALI
Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
JIBU:
Maumibu ya tumbo ni katika dalili za mimba. Maumivu ya tumbo huweza kutokea si kwa mimba changa tu bali hata mimba iliyokomaa. Maumivu ya tumbo huendelea kusumbuwa hata wanaokaribia kujifunguwa.
Kwa mimba zilizo changa maumivu ya tumbo huwenda yakawa katika dalili za mwanzoni kuziona kwa baadhi ya wanawake.
Maumivu haya yanaweza kuwa chini ya kitomvu, ama upande wa kushoto na hata kulia. Itambulike kuwa maumivu ya tumbo si dalili pekee ya ujauzito.
Maumivu ya tumbo pia yanaweza kuwa ni dalili ya:-
1. Typhod
2. UTI
3. PID
4. Shida kwenye kizazi
5. Ama shida kwenye mfuno wa chakula kama kujaa gesi na kadhalika.
NINI UFANYE:
Kama unahisi nibujajzito kitu cha kufanya ni kupata vipimo. Vyema ukafika hospitali kwa vipimonzaidi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Vyakula Muhimu kwa Mama Mjamzito
Ujauzito ni kipindi cha kipekee kinachohitaji uangalizi maalum wa lishe. Makala hii inaangazia vyakula muhimu ambavyo kila mama mjamzito anapaswa kuzingatia ili kuhakikisha afya yake na ukuaji bora wa mtoto aliyepo tumboni.
Soma Zaidi...Kucha langu LA mguu linang'ooka...nini chaweza kuwa tatizo
Je na wewe unasumbukiwa na kunggoka jwa kucha. Tatizo limekunaza una muda gani nalo?
Soma Zaidi...Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga
Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.
Soma Zaidi...Halow samahan dokta nmekuwa nikiumwa tumbo muda mwingi takriban wiki ya 3 halipon naharisha kuna muda nikila chakula hata kama kdogo tu maumivu makali,je nifanyaje msaada
Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii
Soma Zaidi...Undetectable viral load ni nini?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya undetectable viral load
Soma Zaidi...Dalili za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino
Soma Zaidi...