Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili
SWALI
Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
JIBU:
Maumibu ya tumbo ni katika dalili za mimba. Maumivu ya tumbo huweza kutokea si kwa mimba changa tu bali hata mimba iliyokomaa. Maumivu ya tumbo huendelea kusumbuwa hata wanaokaribia kujifunguwa.
Kwa mimba zilizo changa maumivu ya tumbo huwenda yakawa katika dalili za mwanzoni kuziona kwa baadhi ya wanawake.
Maumivu haya yanaweza kuwa chini ya kitomvu, ama upande wa kushoto na hata kulia. Itambulike kuwa maumivu ya tumbo si dalili pekee ya ujauzito.
Maumivu ya tumbo pia yanaweza kuwa ni dalili ya:-
1. Typhod
2. UTI
3. PID
4. Shida kwenye kizazi
5. Ama shida kwenye mfuno wa chakula kama kujaa gesi na kadhalika.
NINI UFANYE:
Kama unahisi nibujajzito kitu cha kufanya ni kupata vipimo. Vyema ukafika hospitali kwa vipimonzaidi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 web hosting 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Kukauka kwa ngozi (Dry skin): Sababu na njia za kuilainisha.
Ngozi kavu ni tatizo la kawaida linaloweza kusababisha ngozi kuvutika, kuwasha, na hata kupata michirizi au magamba. Ingawa mara nyingi sio tatizo kubwa kiafya, inaweza kuwa kero inayoathiri muonekano na raha yako ya kila siku. Makala haya yanakupa mwongozo wa nini kinasababisha ngozi yako kupoteza unyevu na hatua unazoweza kuchukua ili kuirejeshea afya na ulaini wake.
Soma Zaidi...Dalili za ukosefu wa misuli.
Posti hii inahusu dalili za ukosefu wa misuli. ukosefu wa udhibiti wa misuli wakati wa harakati za hiari, kama vile kutembea au kuokota vitu. Ishara ya hali ya msingi, Ataxia inaweza kuathiri harakati, hotuba, harakati za jicho na kumeza.
Soma Zaidi...Dalili za Mwanzoni za Virusi vya UKIMWI
Makala haya yanatoa mwongozo wa kina kuhusu dalili za mwanzoni za maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) – hatua inayojulikana kitabibu kama Acute HIV Infection au Seroconversion Syndrome. Tunachunguza jinsi virusi vinavyoathiri mfumo wa kinga ndani ya wiki mbili hadi nne za kwanza, umuhimu wa kupima mapema, na jinsi ya kutofautisha dalili hizi na magonjwa mengine ya kawaida. Lengo ni kuongeza uelewa, kupunguza unyanyapaa, na kuelekeza umma kwenye huduma za stahiki za matibabu.
Soma Zaidi...Maambukizi ya Kawaida ya zinaa (Chlamydia)
maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri
Soma Zaidi...Dalili za Upungufu wa Damu kwa Watoto
Upungufu wa damu kwa watoto (Anemia) ni hali inayotokea wakati mwili wa mtoto unapokuwa na kiwango kidogo cha chembechembe nyekundu za damu au protini ya hemoglobin kuliko kawaida. Hali hii ikiachwa bila kutibiwa inaweza kuathiri ukuaji wa kimwili, kiakili, na mfumo wa kinga wa mtoto. Makala hii inaelezea dalili kuu za upungufu wa damu kwa watoto na hatua za kuchukua ili kuwasaidia.
Soma Zaidi...Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.
Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu
Soma Zaidi...