Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.
Vidonda vya tumbo vinakaa maeneo mbalimbali ya mwili. Na kila vitakapokaa athari zake huweza kujionyesha kwa mgonjwa.
Vidonda vyabtumbo vinakaa maeneo haya:-
1. Kwenye tumbo la chakula
2. Kwenye utumbo mdogo
4. Sehemu ya juu ya tumbo
5. Vinakaa kwenye hehemu inayounga utumbo mdogo na tumbobla chakula
Je unasumbumbuliwa na vidonda vya tumbo?. Hakikisha hautumii vyakula vya mafuta kwa wingi. Punguza ulaji wa vitu vyenye pilipili, wacha kutumia dawa kiholela. Punguza pilipili kwenyr chakula chako.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Dua za Mitume na Manabii ๐2 web hosting ๐3 kitabu cha Simulizi ๐4 Bongolite - Game zone - Play free game ๐5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐6 ai web app
Post zinazofanana:
Kupambana na kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na kisukari
Soma Zaidi...Dalili na ishara za anemia ya minyoo
Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Malengelenge sehemu za siri
Malengelenge sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa ambayo huathiri wanaume na wanawake. Makala ya malengelenge sehemu za siri ni pamoja na maumivu, kuwasha na vidonda katika sehemu yako ya uzazi. Lakini huenda usiwe na dalili au ishara za mal
Soma Zaidi...Huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum.
Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.
Soma Zaidi...Dalili kwa mtu anayeharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu.
Soma Zaidi...Dalili za Ugonjwa wa Ebola.
Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa zaรย hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanad
Soma Zaidi...