Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.
Vidonda vya tumbo vinakaa maeneo mbalimbali ya mwili. Na kila vitakapokaa athari zake huweza kujionyesha kwa mgonjwa.
Vidonda vyabtumbo vinakaa maeneo haya:-
1. Kwenye tumbo la chakula
2. Kwenye utumbo mdogo
4. Sehemu ya juu ya tumbo
5. Vinakaa kwenye hehemu inayounga utumbo mdogo na tumbobla chakula
Je unasumbumbuliwa na vidonda vya tumbo?. Hakikisha hautumii vyakula vya mafuta kwa wingi. Punguza ulaji wa vitu vyenye pilipili, wacha kutumia dawa kiholela. Punguza pilipili kwenyr chakula chako.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 ai web app ๐2 web hosting ๐3 Dua za Mitume na Manabii ๐4 Simulizi za Hadithi Audio ๐5 kitabu cha Simulizi ๐6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Njia za kuzuia uwepo wa ugonjwa wa Bawasili.
Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.
Soma Zaidi...Dalili za mawe kwenye kibofu Cha mkono
Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.
Soma Zaidi...Zijue sababu za moyo kutanuka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Athari za unywaji wa pombe kupita kiasi kwenye Ini.
Ini ni kiungo cha ajabu chenye kazi nyingi, ikiwemo kusafisha sumu mwilini, kutengeneza protini, na kusaidia mmeng'enyo wa chakula. Hata hivyo, ini lina uwezo mdogo wa kuhimili kiasi kikubwa cha pombe. Unywaji wa pombe kupita kiasi hauumizi tu "roho" ya mtu, bali husababisha uharibifu wa kimwili kwa ini ambao unaweza kuwa wa kudumu. Makala haya yanaelezea mzunguko wa uharibifu huo na kwa nini ni muhimu kuelewa hatari hizi.
Soma Zaidi...Ishara za Mimba ya Mapema kwa Mara ya Kwanza
โKugundua ujauzito kwa mara ya kwanza kunaweza kuleta mchanganyiko wa hisiaโfuraha, msisimko, na wakati mwingine, sintofahamu. Post hii inaangazia ishara za kawaida za ujauzito ambazo mwanamke anaweza kuzihisi katika wiki za kwanza, ikimsaidia msomaji kutambua mabadiliko ya mwili wake kwa usahihi.
Soma Zaidi...Walio katika hatari ya kupata magonjwa ya ngono
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono.
Soma Zaidi...