Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.
Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba.
1.Wachumba na akina Mama kabla ya kubeba mimba wanapaswa kupima vipimo ili kuweza kuangalia kama kuna Magonjwa yoyote ambapo akibeba mimba atapata shida kwake na kwa mtoto.
2.Kwanza kabisa Mama anapaswa kupima kama ana Magonjwa yoyote ya zinaa kama vile kaswende kisonono na Magonjwa mengine kama hayo kwa sababu Mama akibeba mimba akiwa nayo mimba inaweza kutoka au Mama anaweza kupata mtoto mfu kwa hiyo ni lazima kupima magy hayo kabla ya kubeba mimba.
3.Pia mama na wachumba wanapaswa kupima temperature, msukumo wa damu, mapigo ya moyo, na upumuaji, Magonjwa ya moyo, sukari kwa kufanya hivyo ni maandalizi mazuri ikitokea kuna ugonjwa wowote unatibika mara moja na Mama akija kubeba mimba anakuwa salama na mtoto atakuwa salama kabisa.
4.Pia Mama anapaswa kupima kundi la damu yake na kulijua wazi na pia kupima kiwango cha damu na pia kupima kama kuna mambukizi ya virus vya ukimwi kwa kufanya hivyo ataweza ikiwa mama siku ya kujifungua akiishiwa damu ni rahisi kujua damu yake au akikutwa na Maambukizi ni njia nzuri ya kumkinga mtoto kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima Mama kabla ya kubeba mimba.
5.Kwa hiyo tumeona wazi faida za kupima kabla ya kubeba mimba kwa akina mama na wachumba kwa sababu tunaepuka madhara mbalimbali kwa watoto na kuwakinga na Magonjwa kabla hawajazaliwa ili wazaliwa kabisa kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa mtoto ukimweka kwenye mazingira mazuri ya kuzaliwa atazaliwa salama.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.
Soma Zaidi...Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...