image

Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba

Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.

Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba.

1.Wachumba na akina Mama kabla ya kubeba mimba wanapaswa kupima vipimo ili kuweza kuangalia kama kuna Magonjwa yoyote ambapo akibeba mimba atapata shida kwake na kwa mtoto.

 

2.Kwanza kabisa Mama anapaswa kupima kama ana Magonjwa yoyote ya zinaa kama vile kaswende kisonono na Magonjwa mengine kama hayo kwa sababu Mama akibeba mimba akiwa nayo mimba inaweza kutoka au Mama anaweza kupata mtoto mfu kwa hiyo ni lazima kupima magy hayo kabla ya kubeba mimba.

 

3.Pia mama na wachumba wanapaswa kupima temperature, msukumo wa damu, mapigo ya moyo, na upumuaji, Magonjwa ya moyo, sukari kwa kufanya hivyo ni maandalizi mazuri ikitokea kuna ugonjwa wowote unatibika mara moja na Mama akija kubeba mimba anakuwa salama na mtoto atakuwa salama kabisa.

 

4.Pia Mama anapaswa kupima kundi la damu yake na kulijua wazi na pia kupima kiwango cha damu na pia kupima kama kuna mambukizi ya virus vya ukimwi kwa kufanya hivyo ataweza ikiwa mama siku ya kujifungua akiishiwa damu ni rahisi kujua damu yake au akikutwa na Maambukizi ni njia nzuri ya kumkinga mtoto kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima Mama kabla ya kubeba mimba.

 

5.Kwa hiyo tumeona wazi faida za kupima kabla ya kubeba mimba kwa akina mama na wachumba kwa sababu tunaepuka madhara mbalimbali kwa watoto na kuwakinga na Magonjwa kabla hawajazaliwa ili wazaliwa kabisa kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa mtoto ukimweka kwenye mazingira mazuri ya kuzaliwa atazaliwa salama.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 833


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Njia za kuzuia ugumba
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu Soma Zaidi...

Njia za kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?
Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi. Soma Zaidi...

Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?
Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini? Soma Zaidi...

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo Soma Zaidi...

mim uume wangu kunavipele vimekuja pia uume nikiiukuna unachubuka sasa sijajua itakuwa tatizo gani
Habari. Soma Zaidi...

Dalili za mimba yenye uvimbe
Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa Soma Zaidi...

Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua. Soma Zaidi...

Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.
Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu Soma Zaidi...

Mabaka yanayowasha chini ya matiti.
Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n Soma Zaidi...

TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO
KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito. Soma Zaidi...