picha

Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama

 Sababu zinazopelekea Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa.


 
1. Bakteria ; bacteria wanaweza kusababisha Ugonjwa huu 


2. Maambukizi kama vile, njia ya juu ya upumuaji, meno yaliyotoka, vidonda vilivyoambukizwa na kuungua. moto


3. Uingizaji wa moja kwa moja wa mfupa kutoka kwa jeraha la kuungua, kuvunjika iliyoambatatana na kidonda kilicho wazi, uchafuzi wa upasuaji, au maambukizi ya karibu ya tishu.

 

 Sababu za hatari Ni pamoja na:

1. Uwepo wa city vya kigeni kwenye mfupa Kama vile kijiti,msumari n.k


2. Maumivu kwenye mfupa kutokana na Maambukizi yanayoshambulia


3. Ukandamizaji wa Kinga :Kinga ya mwili ikiwa pungufu au kushuka chini husababisha Mtoto kupata Maambukizi kwenye mfupa.


4. Utapiamlo; mkosefu wa chakula pia hupelekea kupata Ugonjwa huu.


5. Aina fulani na maeneo ya mguu wa mfupa: ambazo Ni sehemu maalumu kwaajili ya kupata Maambukizi haya Kama vile(femur, pelvic,tibia na miguu)


 Ishara na Dalili za Mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa ni pamoja na;


 
1. Maumivu makali wakati wa kutembea na ikizidi hupelekea kushindwa kutembea kabisa.


2. Homa


3.kukaa sehemu moja kutokana na kushindwa kutembea.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/09/Sunday - 12:31:10 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1995

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti.

 Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi. 

Soma Zaidi...
MALARIA INATOKEAJE? (Namna ambavyo malaria inatokea, inaanza na inavyoathiri afya)

Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.

Soma Zaidi...
Visababishi vya maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye uume

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Ni zipi dalili za Ukimwi na ni zipi dalili za VVU

Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,

Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi siku za mwanzo

Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna

Soma Zaidi...
Figo ni nini, ni yapi maradhi yake na nitajiepusha vipi na maradhi ya figo

Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa upele na matibabu yake

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Dalili kuu 7 za malaria na dawa ya kutibu malaria

Makala hii itazungumzia dalili za Malaria, athari za kuchelewa kutibu malaria, na matibabu ya malaria

Soma Zaidi...