Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama

 Sababu zinazopelekea Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa.


 
1. Bakteria ; bacteria wanaweza kusababisha Ugonjwa huu 


2. Maambukizi kama vile, njia ya juu ya upumuaji, meno yaliyotoka, vidonda vilivyoambukizwa na kuungua. moto


3. Uingizaji wa moja kwa moja wa mfupa kutoka kwa jeraha la kuungua, kuvunjika iliyoambatatana na kidonda kilicho wazi, uchafuzi wa upasuaji, au maambukizi ya karibu ya tishu.

 

 Sababu za hatari Ni pamoja na:

1. Uwepo wa city vya kigeni kwenye mfupa Kama vile kijiti,msumari n.k


2. Maumivu kwenye mfupa kutokana na Maambukizi yanayoshambulia


3. Ukandamizaji wa Kinga :Kinga ya mwili ikiwa pungufu au kushuka chini husababisha Mtoto kupata Maambukizi kwenye mfupa.


4. Utapiamlo; mkosefu wa chakula pia hupelekea kupata Ugonjwa huu.


5. Aina fulani na maeneo ya mguu wa mfupa: ambazo Ni sehemu maalumu kwaajili ya kupata Maambukizi haya Kama vile(femur, pelvic,tibia na miguu)


 Ishara na Dalili za Mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa ni pamoja na;


 
1. Maumivu makali wakati wa kutembea na ikizidi hupelekea kushindwa kutembea kabisa.


2. Homa


3.kukaa sehemu moja kutokana na kushindwa kutembea.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1562

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Tatizo la fizi kuachana.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Madhara ya kichaa cha mbwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa vericose veini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini

Soma Zaidi...
Ni Nini husababisha kukosa choo? (Constipation)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.

Soma Zaidi...
VIDONDA VYA TUMBO SUGU

VIDONDA VYA TUMBO SUGU Matibabu ya vidonda vya tumbo mara nyingi hufanikiwa, na kusababisha uponyaji wa vidonda.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Soma Zaidi...
Dalili za ngozi kuwasha.

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa kuhusiana na dalili za ngozi kuwashwa.

Soma Zaidi...
Sababu za kuumwa na tumbo, chini ya kitomvu ama upande wa kulia

Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu.

Soma Zaidi...
Minyoo na athari zao kiafya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya

Soma Zaidi...