Je unaweza kupata ujauzito bila ya kupata hedhi miezi 9 baada ya kujifunguwa?

Baada ya kujifungua mwili wa mwanamke huwa na mabadiliko tofauti na siku za nyuma. Kwa mfano hatapatavtena hedhi, hatoweza kupata ujauzito kwa muda wa mwezi ama zaidi. Endelea na post hii ujifunze zaidi

SWALI

Habari ndugu mi nipo na swali nahitaji msaada je, unaweza kupata ujauzito bila kupata hedhi miezi 9 baada ya kujifungua mtoto? 

 

Jibu :

Swali la muulizaji jibu lake linatosha kuwa ndio.  Ni kweli kabisa unaweza pata ujauzito bila ya kuona hedhi baada ya kujifunguwa. 

 

Baada ya kujifungua kwa baadhi ya wanawake hukaa wiki 6 ndipo wapate hedhi,  wengine huchukua miezi 6 hadi kupata hedhi. 

 

Wakati wa kunyonyesha mwili huzuia homoni zinazokomaza mayai zisizalishwe.  Hii husaidia kutopata mimba. Kipindi hiki huathiriwa pia na aina ya unyonyeshaji. 

 

Sasa kuna baadhi ya wanawake hao huanza kukomaa kisha hedhi Inafuatia na wengine itaanza hedhi kisha yai litafuatia katika mzunguko ujao. 

 

Hivyo basi kama mwanamke yupo kwenyebkundibhili la ambao yai linatangulia kisha hedhi anaweza apate ujauzito na asijuwe na hedhi asipate,  kwa sababubakishapata mimba hatoweza tena kupata hedhi. 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 5837

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Sababu za mdomo kuwa mchungu

Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
MALARIA NI NINI? NI WATU WANGAPI WANAKUFA KWA MALARIA DUNIANI

Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kushindwa kushuka kwa makende (testicle))

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum).

Soma Zaidi...
Dalili za ngozi kuwasha.

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa kuhusiana na dalili za ngozi kuwashwa.

Soma Zaidi...
Msaada kwa Mgonjwa aliyeshindwa kupitisha mkojo.

Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kipindupindu

Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.

Soma Zaidi...
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kutapika damu, kichefuchefu, miwasho

ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula.

Soma Zaidi...
Dalili za kwanza za HIV na UKIMWI kuanzia wiki ya kwanza toka kuathirika

DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.

Soma Zaidi...