image

Blogger somo la 1: Jinsi ya kutengeneza Blog

Somo hili litakwenda kukufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kufunguwa blog kwenye mtandao wa blogger.

JINSI YA KUTENGENEZA BLOG KWA KUTUMIA BLOGGER:

Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kutengeneza blog yako mwenyewe kwa kutumia mtandao wa blogger. Haya ni maelekezo mafupi ambayo yanatumia dakika zisizozidi 10 mpaka kukamilisha kuwa na blog yako.

 

Vigezo:

  1. Uwe na email ya gmail
  2. Uwe na simu ama kompyuta
  3. Juwe kusoma na kuandika

 

Kama upo tayari kuanza kufunguwa blog yako. Fuata maelekezo yafuatayo.

  1. Kingia kwenye tovuti hii blogger.com

Kama huja log in upande wa kulia wa ukurasa huu kwa juu kuna sehemu imeandikwa sign in utabofya hapo ili kulogin kwa email ya gmail. Kwa juu katikati chuka chini kidogo kuna batani imeandikwa create your blog bofya hapo. Angalia picha hapo chini. Kama hujalogin utaendelea ku login ama kama tayai utapelekwa ukurasa mwingine.

 

  1. Baada ya hapo ukurasa utakaofunguka utakuhitaji kuweka jina la blog kwenye Title jina lisizidi herufi 100. Ni vyema jina likawa fupi na lenye kueleweka vyema. Kwa mfgano tutakwenda kutengeneza blog yetu yenye jina la tehama. Hivyo kwenye Title nitaweka Tehama. Kisha baada ya kuandika jina la blog utabofya next chini upande wa kushoto. Angalia picha hapo chini.

 

Baada ya hapo ukurasa mwingine utafunguka. Huo utakuhitaji kuweka anuani ya blog yaani address ama url. Hii ni link ambayo blog yako itapatikana. Hapo utajaribu maneno kadhaa ambayo yanaendana na jina la blog yako. Kama hamuna blog ambayo ina url sawa na hiyo unayoweka itakubaliwa, ila kama imeshatumika itakataliwa. 

Anjani yako ifuate sheria hizi:-

  1. Usiache nafasi kati ya neno na neno
  2. Usitumie specia">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 799


    Sponsored links
    👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

    Post zifazofanana:-

    BLOGGER somo la 2: Jinsi ya kuandika post na kuiboresha pamoja na kuidhibiti
    Katika post hii utakwend akujifunza jinsi ya kuandika post, kuisimamia na kuoboresha. Soma Zaidi...

    BLOGGER somo la 3: Jinsi ya kuifanya Blog yako iweze kuonekana Google kwa urahisi
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuifanya blog yako iweze kuoneka Google kwa urahisi Soma Zaidi...

    Blogger somo la 1: Jinsi ya kutengeneza Blog
    Somo hili litakwenda kukufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kufunguwa blog kwenye mtandao wa blogger. Soma Zaidi...