mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?
Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
Swali
hellow me napenda kuuliza kitu kimoja mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?
Jibu
Kuwa katika siku za hatari pekee hakutoshi kuwa ni sababu pekee ya kupata ujauzito. Sababu nyingine zinahitajika kwa mfano:
1. Mwanaume anatakiwa atie mbegu nyingi
2. Mwanaume anatakiwa atoe mbegu zenye afya
3. Mwanamke anatakiwa asiwe na maambukizi kwenye mirija ya kupitisha yai
4. Njia ya kupitisha yai isiwe imeziba.
5. Kiwango cha tindikali katika mwili wa mwanamke kisiwe kikubwa sana.
6. Mwanamke asiwe anatumia uzazi wa mpango
7. Asiwe na maradhivmengibe yanayoweza kuzuia mimba kama kuwa na mvurugiko wa homoni
8. Mwanamke asiwe na usugu wa maradhi haya PID na UTI
Zipo sababu nyingi sana. Kwa ufupi nimekuoa hizo. Hivyo kabla ya kulaumiana kuwa mmoja wenu ana shida ya kizazi ni vyema wote kwenda kupima kujuwa nini tatizo na kipi kifanyike.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu
Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.
Soma Zaidi...Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...Je kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
Soma Zaidi...Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi
Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.
Soma Zaidi...Changamoto za ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...