Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
Swali
hellow me napenda kuuliza kitu kimoja mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?
Jibu
Kuwa katika siku za hatari pekee hakutoshi kuwa ni sababu pekee ya kupata ujauzito. Sababu nyingine zinahitajika kwa mfano:
1. Mwanaume anatakiwa atie mbegu nyingi
2. Mwanaume anatakiwa atoe mbegu zenye afya
3. Mwanamke anatakiwa asiwe na maambukizi kwenye mirija ya kupitisha yai
4. Njia ya kupitisha yai isiwe imeziba.
5. Kiwango cha tindikali katika mwili wa mwanamke kisiwe kikubwa sana.
6. Mwanamke asiwe anatumia uzazi wa mpango
7. Asiwe na maradhivmengibe yanayoweza kuzuia mimba kama kuwa na mvurugiko wa homoni
8. Mwanamke asiwe na usugu wa maradhi haya PID na UTI
Zipo sababu nyingi sana. Kwa ufupi nimekuoa hizo. Hivyo kabla ya kulaumiana kuwa mmoja wenu ana shida ya kizazi ni vyema wote kwenda kupima kujuwa nini tatizo na kipi kifanyike.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake
Soma Zaidi...Hapa utajifunza siku nzuri kushoriki tendo la ndoa kupata ujauzito, dalili za siku hiyo na kuitafuta kwa mahesabu
Soma Zaidi...