mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?


image


Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.


Swali

hellow me napenda kuuliza kitu kimoja mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?

 

Jibu

Kuwa katika siku za hatari pekee hakutoshi kuwa ni sababu pekee ya kupata ujauzito. Sababu nyingine zinahitajika kwa mfano: 

1. Mwanaume anatakiwa atie mbegu nyingi

2. Mwanaume anatakiwa atoe mbegu zenye afya

3. Mwanamke anatakiwa asiwe na maambukizi kwenye mirija ya kupitisha yai

4. Njia ya kupitisha yai isiwe imeziba. 

5. Kiwango cha tindikali katika mwili wa mwanamke kisiwe kikubwa sana. 

6. Mwanamke asiwe anatumia uzazi wa mpango

7. Asiwe na maradhivmengibe yanayoweza kuzuia mimba kama kuwa na mvurugiko wa homoni 

8. Mwanamke asiwe na usugu wa maradhi haya PID na UTI

 

Zipo sababu nyingi sana.  Kwa ufupi  nimekuoa hizo.  Hivyo kabla ya kulaumiana kuwa mmoja wenu ana shida ya kizazi ni vyema wote kwenda kupima kujuwa nini tatizo na kipi kifanyike. 



Sponsored Posts


  ๐Ÿ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ๐Ÿ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ๐Ÿ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ๐Ÿ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms โœ‰ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Je ukitokea mchuko wakati wa ngono unaweza pata ukimwi?
Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana. Soma Zaidi...

image Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili Soma Zaidi...

image Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?
Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba? Soma Zaidi...

image Mda wa kufanya tendo la ndoa baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua. Soma Zaidi...

image Sababu za uke kuwa na harufu mbaya.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini. Soma Zaidi...

image Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo. Soma Zaidi...

image Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea
Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeย  .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia mimba zisiharibike.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibika kwa kufuata njia zifuatazo. Soma Zaidi...

image Mwanamke anatema mate mara kwa mara je inaweza kuwa ni ujauzito?
Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito. Soma Zaidi...

image Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?
Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako. Soma Zaidi...