Nguzo za swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Nguzo za Swala ya maiti.
- Swala ya maiti inaswaliwa wima; haina rukuu, sijda wala kikao.
- Nguzo za swala ya maiti ni;
- Nia
- Takbira ya kuhirimia
- Kusoma Suratul-Faatiha.
- Takbira ya Pili.
- Kumswalia Mtume (s.a.w) kama tufanyavyo kwenye Tahiyyatu.
- Takbira ya Tatu.
- Kumuombea dua maiti.
- Takbira ya Nne.
- Kuombea dua waislamu wote, kisha kutoa Salaam
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 web hosting 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 web hosting 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Usawa na uhuru wa kuchuma mali katika uislamu
Uchumi wa uislamu umeweka taratibu mbalimbali katika kuchuma mali.
Soma Zaidi...Jinsi ya kutekeleza funga za sunnah
Hapa utajifunza muda wa kutia jia katika funga za sunnah. Pia utajifunza kuhusu uhuru ulio nao
Soma Zaidi...Kwanini lengo la funga halifikiwi na wafungaji wengi
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Njia za kujitwaharisha, na vitu vinavyotumika kujitwaharisha
Post hii inakwenda kukufundisha njia zinazotumika kujitwaharisha.
Soma Zaidi...