Nguzo za swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Nguzo za Swala ya maiti.
- Swala ya maiti inaswaliwa wima; haina rukuu, sijda wala kikao.
- Nguzo za swala ya maiti ni;
- Nia
- Takbira ya kuhirimia
- Kusoma Suratul-Faatiha.
- Takbira ya Pili.
- Kumswalia Mtume (s.a.w) kama tufanyavyo kwenye Tahiyyatu.
- Takbira ya Tatu.
- Kumuombea dua maiti.
- Takbira ya Nne.
- Kuombea dua waislamu wote, kisha kutoa Salaam
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 ai web app 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 ai web app 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Sunnah za siku ya idi na utaratibu wa kusherehekea
Hapa utajifunza utaratibu wa kusherekea ifil fitir. Pia utajifunza sunnah zinazoambatsns na idil fitir
Soma Zaidi...