Nguzo za swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Nguzo za Swala ya maiti.
- Swala ya maiti inaswaliwa wima; haina rukuu, sijda wala kikao.
- Nguzo za swala ya maiti ni;
- Nia
- Takbira ya kuhirimia
- Kusoma Suratul-Faatiha.
- Takbira ya Pili.
- Kumswalia Mtume (s.a.w) kama tufanyavyo kwenye Tahiyyatu.
- Takbira ya Tatu.
- Kumuombea dua maiti.
- Takbira ya Nne.
- Kuombea dua waislamu wote, kisha kutoa Salaam
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 web hosting 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 web hosting 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Faida na umuhimu wa ndoa katika jamii
Hapa utajifunza faida za ndoa katika Jamii na kwa wanadamu kiafya, kiroho, kiuchumi
Soma Zaidi...Mgogoro wa kuandama kwa mwezi, Je mwezi wa Kimataifa ama kila Mji na mwezi wake?
Mwezi ukionekana sehemu moja, Waislamu wote ulimwenguni watalazimika kufunga?
Soma Zaidi...Dhamana ya Kuchunga Ahadi Katika Uislamu
Kuchunga au kutekeleza ahadi ni miongoni mwa vipengele muhimu vya tabia ya muumini wa kweli.
Soma Zaidi...