image

Nguzo za swala ya maiti

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Swala ya maiti inaswaliwa wima; haina rukuu, sijda wala kikao.

-    Nguzo za swala ya maiti ni;

  1. Nia
  2. Takbira ya kuhirimia
  3. Kusoma Suratul-Faatiha.
  4. Takbira ya Pili.
  5. Kumswalia Mtume (s.a.w) kama tufanyavyo kwenye Tahiyyatu.
  6. Takbira ya Tatu.
  7. Kumuombea dua maiti.
  8. Takbira ya Nne.
  9. Kuombea dua waislamu wote, kisha kutoa Salaam





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1026


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Njia za kuzuia na kupunguza zinaa katika jamii
(ii) Hatua za Kuzuia Uzinzi JamiiUislamu pamoja na kutoa mafunzo ya maadii yanayomuwezesha mtu binafsi ajiepushe kwa hiari yake na kitendo kibaya cha zinaa, umechukua hatua mbali mbali ambazo huifanya zinaa isiwe kitendo chepesi katika jamii. Soma Zaidi...

mambo gani ni haramu kwa mwenye damu ya Hedhi na nifasi (damu ya uzazi)
Soma Zaidi...

darasa la funga
Soma Zaidi...

Ni mambo gani haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu?
Soma Zaidi...

Nguzo za swala.
Kipengele hiki kinaelezea nguzo mbalimbali za kuswali. Soma Zaidi...

Ni nini maana ya twahara na kujitwaharisha?
Posti hii inakwendabkukujiulisha maana ya twahara na jinsi ya kujitwaharisha. Soma Zaidi...

Hadhi na Haki za mwanamke katika jamii za Kirumi hapo zamani
(b) WarumiJamii ya Warumi nayo ni miongoni mwa jamii zinazohesabika kuwa zilianza kustaarabika mapema katika historia ya ulimwengu. Soma Zaidi...

Haki na Wajibu wa mume kwa mkewe na familia
Soma Zaidi...

Mazao ambayo inapasa kutolewa zaka
Soma Zaidi...

KUSOMA TAHIYATU NA KUMSWALIA MTUME KWENYE SWALA
11. Soma Zaidi...

Swala ya ijumaa, nguzo zake na suna zae, namna ya kuswali swala ya ijumaa
Soma Zaidi...

Kufunga Mwezi wa ramadhani kisheria
Soma Zaidi...