Je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi?
Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.
Swali Habar za saiz
Samahan je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi.....???? Hii imekaaje mtaalam
Miongoni mwa dalili za mimba kwenye matiti ni kujaa, kwa matiti, kuuma na chuchu kubadilika rangi kuwa nyeusi ama kuongezeka kwa. Madhara wa weusi kwenye shina la chuchu.
Pia kwa baadhi ya wanawake wanapokaribiabhedhi huona dalili kama Chuchu kujaa na kuuma, maumivu ya tumbo na hata kupata kichefuchefu.
Sasa ili iwe ni ujauzito maumivu haya yatakuwa endelevu kwa masiku kadhaa nabhutaona hedhi. Lakkninkama hedhi utaiona maana yake maumivu hayo ama kujaa kwa chuchu itakuwa ni dalili ya hedhi.
Hata hivyo dalili mbili hizi unaweza. Kuzipata kama una mashambulizi kwenye matiti. PIUS pia huweza kuonyesha dalili hizi.
Fikankituo cha afya kwa maelekezo zaidi juu ya afya yako.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 ai web app 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo
Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali
Soma Zaidi...Nna mimba ya miez miezi mitano 5 naruhusiwa kula papai kwa wing
Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya
Soma Zaidi...Sifa za siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu fangasi za ukeni
Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.
Soma Zaidi...Sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Utajifunza sababua zinazopelekea kuhisi maumivu makali ya tumbo baada ya kumaliza tendo la ndoa
Soma Zaidi...Signs and symptoms of pregnancy.
In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi
Soma Zaidi...