Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Swali
Papai lililo iva ni salama kwa mama mjamzito au halifai
Jibu
Papai lililowiva halina shida ila si vyema akalila kwa wingi. Mjamzito anatakiwa ajiepushe na kula Malawi ambayo hayajawiva vyema. Pia awe makini na ulaji wa mananasi pia ale kwa uchache.
Vyakula vizuri kwa mjamzito:
1. Matunda
2. Samaki
3. Mboga za majani
4. Maziwa
5. Mayai yaliyopikwa
Mjamzito anatakiwa ale vyakula vyenye virutubisho kwa wingi kwa ajili ya afya yake na ya mtoto.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.
Soma Zaidi...