Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Swali
Papai lililo iva ni salama kwa mama mjamzito au halifai
Jibu
Papai lililowiva halina shida ila si vyema akalila kwa wingi. Mjamzito anatakiwa ajiepushe na kula Malawi ambayo hayajawiva vyema. Pia awe makini na ulaji wa mananasi pia ale kwa uchache.
Vyakula vizuri kwa mjamzito:
1. Matunda
2. Samaki
3. Mboga za majani
4. Maziwa
5. Mayai yaliyopikwa
Mjamzito anatakiwa ale vyakula vyenye virutubisho kwa wingi kwa ajili ya afya yake na ya mtoto.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.
Soma Zaidi...Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...