Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Swali
Papai lililo iva ni salama kwa mama mjamzito au halifai
Jibu
Papai lililowiva halina shida ila si vyema akalila kwa wingi. Mjamzito anatakiwa ajiepushe na kula Malawi ambayo hayajawiva vyema. Pia awe makini na ulaji wa mananasi pia ale kwa uchache.
Vyakula vizuri kwa mjamzito:
1. Matunda
2. Samaki
3. Mboga za majani
4. Maziwa
5. Mayai yaliyopikwa
Mjamzito anatakiwa ale vyakula vyenye virutubisho kwa wingi kwa ajili ya afya yake na ya mtoto.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya
Soma Zaidi...