Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako

Preha ya kupanda hutokea pale kiwango cha kawaida cha presha katika damu kikawa ni kidogo. Kwa mfano kawaida presha ya mtu kwenye damu inatakiwa iwe 120/80 ikizidi hapo inakwenda kuwa presha ya kupanda. Presha ya kupanda ipo katika hatuwa nyingi. Kila hatuwa inapasa kuangaliwa kwa mazingatio. Presha ya kupanda kama haita tibiwa inaweza kusababisha madhara kwenye moyo na kuweza kusababisha stroke.

 

Vinywaji salama kwa mwenye presha ya kupanda.

1. Maji, 

Kunywa maji kuna faida kwa afya ya kila mtu. Maji ni katika vinywaji ambavyo mgonjwa huyu atumie muda mwingi. Ila wakati presha ikipanda aweke chumvi kwenye maji yake ili kusaidia kuishusha.

2. Juisi za matunda

3.Maziwa

4. kahawa inategemea. Kuna wengine inawasaidia kushusha lakini wengine ndio inaongezeka

5. Chai yenye kafein sio nzuri kwani inaweza kuongeza presha

7. Pombe pia sio nzuri kwa mwenye presha

 

VYAKULA SALAMA KWA PRESHA YA KUPANDA

A.Matunda
B.Mboga za majani
C.Nafaka nzima
D.Samaki, karanga na korosho
E.Wacha kula vyakula vyenye mafuta mengi

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021-09-16     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3280

Post zifazofanana:-

Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.
Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye. Soma Zaidi...

YAJUE MARADHI YA KISUKARI
Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda
Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako Soma Zaidi...

Habari za leo ndugu zangu mimi Ni dalili zipi hasa za awali zinazoashiria umeambukizwa ukimwi
Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI Soma Zaidi...

Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...