Sunnah za funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Sunnah za funga ya Ramadhani.
- Kula na kuchelewesha daku kukaribia Alfajir ya kweli.
Rejea Qur’an (2:187).
- Kufuturu mapema mara tu baada ya Jua kuzama.
- Kuzidisha ukarimu zaidi wakati wa funga ya mwezi wa Ramadhani.
- Kuzidisha kuisoma Qur’an zaidi mwezi wa Ramadhani kama mwongozo wa maisha.
Rejea Qur’an (2:185) na (25:73).
- Kusimamisha swala ya Tarawehe mwezi mzima wa Ramadhani.
- Kuutafuta usiku wa Lailatul-Qadri kwa kukaa itikaf kumi la mwisho wa funga Ramadhani.
Rejea Qur’an (97:1) na (44:3).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 ai web app 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 ai web app 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Jinsi ya kutwaharisha Aina mbalimbali za Najisi katika uislamu
Katika somo hili utakwedna kujifunza jinsi ya kutwaharisha aina mbalimbali za najisi kwa mujibu wa mafundiso ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Soma Zaidi...Ni ipi hukumu ya kutoa talaka hali ya kuwa umelazimishwa au ukiwa umerukwa na akili
Endapo mtu atamuacha mke pasi na ridhaa yake yaani amelazimishwa ama amemuwacha wakati amerukwa na akili. Je ni ipo hukumu yake.
Soma Zaidi...Swala ya kuomba mvua swalat istiqaa na jinsi ya kuiswali.
Hapa nitakujulisha kuhusu swala ya kuomba mvia, na taratibu za kuiswali.
Soma Zaidi...Mambo yanayotenguwa udhu
Post hiibinakwenda kukufundisha mambo ambayo yanaharibu udhu.
Soma Zaidi...