Sunnah za funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Sunnah za funga ya Ramadhani.
- Kula na kuchelewesha daku kukaribia Alfajir ya kweli.
Rejea Qur’an (2:187).
- Kufuturu mapema mara tu baada ya Jua kuzama.
- Kuzidisha ukarimu zaidi wakati wa funga ya mwezi wa Ramadhani.
- Kuzidisha kuisoma Qur’an zaidi mwezi wa Ramadhani kama mwongozo wa maisha.
Rejea Qur’an (2:185) na (25:73).
- Kusimamisha swala ya Tarawehe mwezi mzima wa Ramadhani.
- Kuutafuta usiku wa Lailatul-Qadri kwa kukaa itikaf kumi la mwisho wa funga Ramadhani.
Rejea Qur’an (97:1) na (44:3).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 web hosting
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Maana ya Twahara na umuhimu wake katika uislamu
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya Twahara Kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu
Soma Zaidi...Jinsi ya kushona sanda ya maiti na kumvisha yaani kumkafini
Hapa utajifunza taratibu za kumkafini maiti wa kiislamu. Yaani kushona sanda yake na kumvisha.
Soma Zaidi...Mifano na namna ya kurithisha
Ugawaji wa mirathi-Mume ana nusu (1/2) = 1/2 -Mama ana sudusi.
Soma Zaidi...Nini maana ya ndoa katia uislamu na ni upi umuhimu wake
Hapa utajifunza maana ya ndoa kulingana na uislamu na umuhimu wake katika jamiii
Soma Zaidi...