Sunnah za funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Sunnah za funga ya Ramadhani.
- Kula na kuchelewesha daku kukaribia Alfajir ya kweli.
Rejea Qur’an (2:187).
- Kufuturu mapema mara tu baada ya Jua kuzama.
- Kuzidisha ukarimu zaidi wakati wa funga ya mwezi wa Ramadhani.
- Kuzidisha kuisoma Qur’an zaidi mwezi wa Ramadhani kama mwongozo wa maisha.
Rejea Qur’an (2:185) na (25:73).
- Kusimamisha swala ya Tarawehe mwezi mzima wa Ramadhani.
- Kuutafuta usiku wa Lailatul-Qadri kwa kukaa itikaf kumi la mwisho wa funga Ramadhani.
Rejea Qur’an (97:1) na (44:3).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 ai web app ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 Kitabu cha Afya ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 web hosting
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 ai web app ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 Kitabu cha Afya ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 web hosting
Post zinazofanana:
Ubainifu kati ya halali na Haramu na kujiepusha na mambo yanayo tatiza
ุนููู ุฃูุจูู ุนูุจูุฏู ุงูููููู ุงููููุนูู ูุงูู ุจููู ุจูุดููุฑู ุฑูุถููู ุงูููููู ุนูููููู ูุงุ ููุงูู: ุณูู ูุนูุช ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ูููู?...
Soma Zaidi...Dhamana ya Kuchunga Ahadi Katika Uislamu
Kuchungaย au kutekelezaย ahadiย ni miongoni mwa vipengele muhimu vya tabia ya muumini wa kweli.
Soma Zaidi...