Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?

Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya kauli hii. Makala hii itakwebda kujibubswali la msingi la muuulizaji kama maumivu ya tumbo ni dalili ya ujauzito.

SWALI: 

Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?

 

Jibu:

Ndio inawwza kuwa ni dalili ya ujauzito. Ila itambulike vyema kuwa daliki za ujauzito ninnyingi pia zinaweza kuambatana na maradhi mengine mwilini na ikawa sinujauzito.

 

Yaani unaweza kuwa na dalili za ujauzito lakini ukipina sionujauzito. Kwa mfano maumivu ya tumbo pekee hayawezi kuthibitisha ujauzito. Maumivu yavtumbo yanaweza kuwa:-

1. PID

2. Typhod

3. Shuda kwenye mfumo wa chakula

4. Chango

5. Henia

6. Shida kwenye kizazi.

 

Kupata uhakika ni vyema kufika kituo cha afyavkwa uchunguzi zaidi na kupata vipimo. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2128

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 web hosting    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano

Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord

Soma Zaidi...
MALARIA INATOKEAJE? (Namna ambavyo malaria inatokea, inaanza na inavyoathiri afya)

Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.

Soma Zaidi...
Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)

Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia upele

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika.

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za jipu la Jino

Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria.

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Soma Zaidi...
Aina za ajali kwenye kifua,

Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...