Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya kauli hii. Makala hii itakwebda kujibubswali la msingi la muuulizaji kama maumivu ya tumbo ni dalili ya ujauzito.
SWALI:
Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
Jibu:
Ndio inawwza kuwa ni dalili ya ujauzito. Ila itambulike vyema kuwa daliki za ujauzito ninnyingi pia zinaweza kuambatana na maradhi mengine mwilini na ikawa sinujauzito.
Yaani unaweza kuwa na dalili za ujauzito lakini ukipina sionujauzito. Kwa mfano maumivu ya tumbo pekee hayawezi kuthibitisha ujauzito. Maumivu yavtumbo yanaweza kuwa:-
1. PID
2. Typhod
3. Shuda kwenye mfumo wa chakula
4. Chango
5. Henia
6. Shida kwenye kizazi.
Kupata uhakika ni vyema kufika kituo cha afyavkwa uchunguzi zaidi na kupata vipimo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1718
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Madrasa kiganjani
Maradhi ya Pumu yanatokeaje?
Nini hasa kinatokea mpaka mtu anakuwa na pumu, ama anashambuliwa na pumu. Makala hii itakwenda kukufundisha jambo hili Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri. Soma Zaidi...
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa. Soma Zaidi...
Zifahamu sofa za seli
Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli. Soma Zaidi...
Saratani ya Matiti ya wanaume.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y Soma Zaidi...
Dalili za madhara ya ini
Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification Soma Zaidi...
Dalili za fangasi uken
Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken. Soma Zaidi...
Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)
Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex.
Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis. Soma Zaidi...
Maambukizi ya tezi za mate
Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani. Soma Zaidi...