Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu. Lakini kwa nini hali kama hii itokee. Posti hii itakwwnda mujibu swali hili.
Swali
Nilipokutana kimapenzi alipopizi niliona damu kidogo nilipochichumaa niliona damu zimechanganyikana kidogo ilikua bado siku tatu kuingia hedhi yangu ilivopita siku 11nimepima Nina ujauzito je inawezekana nilipata mapema kabla na kwann damu kidogo baada ya tendo?
Jibu:
Katika swali la kwanza ni kweli kuwa mimba iliingia kabla ya hapo. Siku tatu kabla ya kuingia hedhi huwezi kupata ujauzito.
Ama kuhusu hiyo damu kuna nadharia hapa tunaweza kuziweka katika kujaribu; kujibu swali hilo:
1. Huwenda tendo lilifanyika kwa pupa hata kukatokea michubuko nabikavujisha damu
3. Huwenda kulikosekana uteute wa kutosheleza hivyo msuguano ukasababishabmivhubuko ambayo inasababisha kuvuja damu
3. Wakati wa hedhi kukaribia nyama za tumbo la uzazi huwa laini kujiandaa kuondoa tishu hivyo huwenda vurugu zabtendo zikasababisha kutoka damu kutokea kwenye tishu hizo.
4. Huwenda damu hiyo ni viashiria vya kukaribia hedhi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?
Soma Zaidi...Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
Soma Zaidi...