Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
59. Faida za kula bilinganya (eggplant)
? Ijapokuwa watu wanaita hii ni mboga lakini uhalisia bilinganya ni tunda.
1. lina virutubisho kama vitamini C, K pia madini ya potassium na manganese pia lina protini
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu kwa kuishusha
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Pia husaidia katika kupambana na saratani kwa kuziuwa seli za saratani
7. Huboresha humoni ya insulini iweze kutolewa kwa ufanisi
8. Husaidia katika kudhibiti kisukari.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...