Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
59. Faida za kula bilinganya (eggplant)
? Ijapokuwa watu wanaita hii ni mboga lakini uhalisia bilinganya ni tunda.
1. lina virutubisho kama vitamini C, K pia madini ya potassium na manganese pia lina protini
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu kwa kuishusha
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Pia husaidia katika kupambana na saratani kwa kuziuwa seli za saratani
7. Huboresha humoni ya insulini iweze kutolewa kwa ufanisi
8. Husaidia katika kudhibiti kisukari.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...