Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
59. Faida za kula bilinganya (eggplant)
? Ijapokuwa watu wanaita hii ni mboga lakini uhalisia bilinganya ni tunda.
1. lina virutubisho kama vitamini C, K pia madini ya potassium na manganese pia lina protini
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu kwa kuishusha
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Pia husaidia katika kupambana na saratani kwa kuziuwa seli za saratani
7. Huboresha humoni ya insulini iweze kutolewa kwa ufanisi
8. Husaidia katika kudhibiti kisukari.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Soma Zaidi...Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...