Tajwid somo la 9: hukumu za nun sakina na tanwin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu hukumu za kitajwid za nun sakina na tanwin

Maana ya Nuwn Sakina na Tanwin

Nuwn saakinah ni herufi ya nuwn (ู†ู’) isiyokuwa na i’raab ambayo huthibiti katika kutamkwa, kuandikwa, kusimama, na katika kuunganisha. Tanwin hapa tunazungumzia hasa fatahateni, kasrteni na dhuma ten endapo zitakutana ha herufi nini kifanyike. 

Wataalamu wa Tajwid wameeleza hukumu nne pindi nuwn sakina au tanwin zinapokutana na herufi. Hukumu hizo ni:

1. ุงู„ุฅูุธู’ู‡ุงูŽุฑู’ (Al-Idh'har) - Kudhirisha

Maana: Kudhirisha kitu wazi. Katika hukumu za Tajwid, ni kuitoa kila herufi katika makhraj yake bila ya kuwepo ghunnah. Hii hutokea pale nuwn saakinah au tanwin inapofuatiwa na mojawapo wa herufi sita za al-halq (koo) ambazo ni ุก, ู‡, ุญ, ุฎ, ุน, ุบ.

2. ุงู„ุฅูุฏู’ุบุงูŽู… (Al-Idghaam) - Kuingiza, Kuchanganya

Maana: Kuingiza kitu kwenye kitu. Katika hukumu za Tajwid, ni kuingiza herufi saakin kwenye herufi yenye i’raab na kuzipelekea herufi mbili hizi kuwa herufi moja ya pili nzito. Hii hutokea pale nuwn saakinah au tanwin inapofuatiwa na mojawapo ya herufi sita za idgham ambazo ni ูŠ, ุฑ, ู…, ู„, ู†, ูˆ.

Sharti za Idghaam

Aina za Idghaam

  1. Idgham Bighunnah: Kuingiza nuwn saakinah au tanwin kwenye herufi za ูŠ, ู†, ู…, ูˆ pamoja na kuleta ghunnah inayotokea puani.

  2. Idgham Bighayri Ghunnah: Kuingiza nuwn saakinah au tanwin kwenye herufi za ุฑ, ู„ bila ya ghunnah.

3. ุงู„ุฅู‚ู’ู„ุงูŽุจู’ (Al-Iqlaab) - Kugeuza

Maana: Kugeuza kitu na kukifanya kuwa kitu kingine. Katika hukumu za Tajwid, ni kuigeuza nuwn saakinah au tanwin kwa kuitamka kama miym (ู…) pamoja na ghunnah. Hii hutokea pale tu nuwn saakinah au tanwin inapokutana na ุจ (baa).

Mifano

4. ุงู„ุฅูุฎููุงุก (Al-Ikhfaa) - Kuficha

Maana: Kuficha kitu. Katika hukumu za Tajwid, ni kuificha nuwn saakinah au tanwin katika herufi za ikhfaa. Hivyo nuwn saakinah au tanwin itatamkwa ikiwa baina ya idh'har na idgham kwa kuipa ghunnah isiyokuwa na shaddah. Herufi za ikhfaa ni: ุซ, ุฌ, ุฏ, ุฐ, ุฒ, ุณ, ุด, ุต, ุถ, ุท, ุธ, ู, ู‚, ูƒ.

Mifano

Mwisho:

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza zaidikuhusu idhhar na kuona mifano zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Darsa za Tajwid Main: Dini File: Download PDF Views 1212

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰2 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰4 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰5 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Tajwid somo la 12: sheria za Iqlab

Katika somo hili utakwenda kujifunzakuhusu hukumu za iqlab katika usomaji wa tajwid.

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 14: kuhumu za mim sakina

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu hukumu za ki tajwid za mim sakina.

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 8: hukumu za kusoma basmala na isti'adha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kanuni za usomaji wa istiโ€™adha na basmallah.

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 1: Maana ya elimu ya Tajwid na kanuni zake

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya elimu ya tajwid kisheria. Pia utajifunza hukumu ya kusoma tajwid.

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 13: sheria za Al-ikhfaa

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu hukumu za Al ikhfaa katika usomaji wa Tajwid

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 18: hukumu za waqf wal ibtidai

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu hukumuza waqfu katika usomajiwa quran.

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 11: hukumu ya idgham

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu hukumu za idgham katika tajwid

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 20: hukumu za madd twab'iy yaani madd ya asili

Katika somo hili utakwend akujifunza kw akirefu kuhusu madd twabโ€™iy yaani madd za asili.

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 21: hukumu za madd farโ€™iy

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu madd farโ€™iy katika usomaji wa Quran tajwid.

Soma Zaidi...
Tajwid somo la 3: aina za viraa katika usomaji wa Quran

Katika somo hili utajifunza kuhusu viraa vya usomaji wa Quran. Viraa hivi ni tofauti na herufi saba

Soma Zaidi...