picha
JE UTE WA UZAZI UANZA KUONEKANA SIKU YA 14 TU AU KABLA ? NA JE MIMBA YA SIKU TATU INAWEZA KUCHEZA?

Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
picha
MIMI MARA YA MWISHO KUBLEED ILIKUWA TAREH 3/9 NILISEX TAREHE 4 JE NI KWEL NNA MIMBA MAANA HADI SASA SIJABLEED AU NI KAWAIDA TU

Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.
picha
DAWA YA KUTIBU INFECTION KWENYE KIZAZI NISAIDIE DOCTOR

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.
picha
YAJUE MARADHI YA KISUKARI

Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari
picha
JE INAKUAJE KAMA UMEMPIGA DENDA MTU MWENY UKIMWI AMBAYE ANATUMIA DAW ZA ARVS NA UNA MICHUBUKO MIDOGO MDOMON YA KUUNGUA NA CHAI

Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar
picha
JE DALILI YA KUUMA TUMBO HUANZA BAADA YA WIKI NGAPI TOKA MWANAMKE APATE UJAUZITO?

Maumivu ya tumbo ni moja katika dalili za ujauzito. Maumivu wanawake wengi hushindwa kujuwa kuwa ni ujauzito ama laa. Na hii ni kwa sababu kwa wanawake wengi maumivu ya tumbo ama changu ni jalivya kawaida kwao.
picha
JE CHUCHU ZIKIWA NYEUSI NINI KINASABABISHA,, KANDO YA KUWA MJAMZITO? NA KAMA SIO MJAMZITO SABABU YA CHUCHU KUA NYEUSI NI NINI

Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.
picha
MIUNGURUMO HAIISHI TUMBONI NIKISHIKA UPANDE WA KUSHOTO WA TUMBO KUNA MAUMIVU KWA MBALI JE MM NITUMIE DAWA GAN KUONDOA TATIZO HILO

Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
picha
MKE WANG ANA TATIZO LA TUMBO KUUMA CHINI UPANDE WA KUSHOTO AKISHIKA NI PAGUMU ,ANAPATWA NA KICHEFUCHEF TUMBO KUJAA GES NA KUJIISI KUSIBA HE MTANISAIDIJE ILI KUONDOA TATIZO HILO ILA ANAUJAUZITO WA WIKI MBILI

Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.
picha
MIMBA HUONEKANA KATKA MKOJO BAADA YA MUDA GAN TANGU ITUNGWE

Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.
picha
JE ENDAPO MAMA ATAFANYA TENDO LA NDOA WIKI MOJA KABLA YA KUINGIA HEDHI ANAWEZA KUPATA UJAUZITO?

Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi kuhusu siku hatari, endelea na makala hii.
picha
HABARI NASUMBULIWA NA TUMBO UPANDE WAKILIA ADI NIKIKOJOA MKOJO WA MWISHO UWA WA KAHAWIA TIBA TAKE NINI?

Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula.
picha
MAUMIVU YA TUMBO KABLA YA KUPATA HEDHI

Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.
picha
PAPAI LILILO IVA NI SALAMA KWA MAMA MJAMZITO AU HALIFAI

Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
picha
KUTOKWA NA DAMU BAADA YA TENDO LA NDOA

Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu. Lakini kwa nini hali kama hii itokee. Posti hii itakwwnda mujibu swali hili.
picha
DAWA INAITWA KOFLAME UKITUMIA INASHIDA KWA MAMA MJAMZITO? MAUMIVU YA MGONGO NA NYONGA ZINASUMBUA

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto
picha
MIM NINAUJAUZITO WA MWEZI MMOJA LAKINI NAONA KAMA HALI FULANI YA DAMU INANITOKA SEHEMU YA SIRI INAFANANA NA DAMU YA WAKATI WA PERIOD

Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
picha
JE MATITI KUJAA NA CHUCHU KUUMA INAKUA NI DALILI ZA HEDHI?

Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.
picha
JE MTU KAM ANAONA DALILI ZA MIMB ILA AKAPIMA NAKIPIM HAKIJAMUONYESHA KAM ANA MIMB AM HANA JE KUNA UWEZEKAN WAKUW ANAYO

Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali
picha
DAWA IPI YA MANJANO KWA MTOTO MWENYE UMRI MIAKA MIWILI?

Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
picha
JE UKITOKEA MCHUBUKO WAKATI WA NGONO UNAWEZA PATA UKIMWI?

Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.
picha
JE UNAWEZA UKAPONA MACHO KAMA HUONI VIZURI KWA SABABU YA VITAMINI A,

Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha.
picha
MPENZI WANGU NIMESHIRIKI NAE TENDO LA NDOA AKIWA SIKU ZAKE ZA HATAR KWA SIKU 3 LAKIN HAJASHIKA MIMBA TATIZO LINAWEZA KUWA NI NINI?

Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
picha
NI DAWA GANI HATARI KWA MJAMZITO?

Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.



Page 208 of 211

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.