Madhara ya fangasi ukeni
Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Dalili za fangasi ukeni
-kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
-kutokwa na uchafu wa rangi myeupe za kijivu unaweza kuwa mweupe mwepesi au majimaji
-kupata maumivu wakati wa kukojoa
-kupata vidonda na michubuko sehemu za Siri
-kuvimba na kuwa mwekundu katika mashavu ya ukeni( labia minora)
Madhara ya fangasi ukeni
Fangasi isipopata Tina hike mathara mengi Kam vile cancer. Pia wakati wa hedhi dalili hizi huwa mbya.
Jinsi ya kujikinga na fangasi ukeni
-epuka kuvaa nguo za ndani ( chupi)mbichi
-kula mlo wenye virutubisho vyote
-osha sehemu za Siri kwa maji Safi na salama
-epuka kutumia sabuni zenye kemikali mfano detto
-epuka matumizi ya vifaa vya kupanga uzazi
Ushauri: ukiona dalili kama hizi unashauriwa kuwahi katika kituo Cha afya au kumuona dactar kwa ajili ya matibabu na ushauri zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Siku za hatari, siku za kubeba mimba
Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake
Soma Zaidi...Changamoto za ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.
Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.
Soma Zaidi...Umuhimu wa kunyonyesha mtoto
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
Soma Zaidi...Malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.
Soma Zaidi...