Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Dalili za fangasi ukeni
-kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
-kutokwa na uchafu wa rangi myeupe za kijivu unaweza kuwa mweupe mwepesi au majimaji
-kupata maumivu wakati wa kukojoa
-kupata vidonda na michubuko sehemu za Siri
-kuvimba na kuwa mwekundu katika mashavu ya ukeni( labia minora)
Madhara ya fangasi ukeni
Fangasi isipopata Tina hike mathara mengi Kam vile cancer. Pia wakati wa hedhi dalili hizi huwa mbya.
Jinsi ya kujikinga na fangasi ukeni
-epuka kuvaa nguo za ndani ( chupi)mbichi
-kula mlo wenye virutubisho vyote
-osha sehemu za Siri kwa maji Safi na salama
-epuka kutumia sabuni zenye kemikali mfano detto
-epuka matumizi ya vifaa vya kupanga uzazi
Ushauri: ukiona dalili kama hizi unashauriwa kuwahi katika kituo Cha afya au kumuona dactar kwa ajili ya matibabu na ushauri zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Soma Zaidi...Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...