Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.
Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
1. Kuwepo kwa Maambukizi ya magonjwa ya zinaa
Kwa wale wanaume ambao wanatumia ngono zembe yaani kujamiiana bila kutumia kondomu wanapatwa sana na Magonjwa haya kwa sababu pengine wanakuwa hawajapona na hawajui afya zao kwa hiyo hawawezi kujua kuwa ni nani mwenye shida hatimaye wanajikuta kwenye tatizo la kupatwa na tatizo hili.
2.Maginjwa ya zinaa ni kama vile Ugonjwa wa kisonono na kaswende, Tatizo la chlomydia, Tatizo la Trichomonous na kwa kiasi kidogo Maambukizi kwenye sehemu za siri ambayo kwa kitaalamu huitwa genital herpes na Magonjwa mengine ya zinaa.
3. Maambukizi kwenye kibofu cha mkojo ambayo kwa kitaalamu huitwa UTI maana yake ni ( urinary trac infection, kama mwanaume ana ugonjwa huu na hajapima kugundua anawe kusababisha kuwepo kwa maji maji kwenye sehemu za siri.Kwa hiyo ni lazima kupima ili kuweza kutambua ni shida gani.
4. Pia kuna dawa ambazo zimependekezwa kutumika kwa watu wenye matatizo kama haya ya kutokwa majimaji kwenye sehemu za siri dawa hizi ni kama ifuatavyo Azithromycin, cefixine, ciproflaxino, Doxycycline na metronidazole na dawa hizi sio kuzitumia kiholela ila ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.
5.Kwa hiyo baada ya kuona chanzo cha tatizo la kutokwa damu kwenye sehemu za siri tunapaswa kuchukua vipimo haraka ili kujua chanzo ni nini na kuweza kupata matibabu kutoka kwa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...