Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.


image


Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.


Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.

1. Kuwepo kwa Maambukizi ya magonjwa ya zinaa  

Kwa wale wanaume ambao wanatumia ngono zembe yaani kujamiiana bila kutumia kondomu wanapatwa  sana na Magonjwa haya kwa sababu pengine wanakuwa hawajapona na hawajui afya zao kwa hiyo hawawezi kujua kuwa ni nani mwenye shida hatimaye wanajikuta kwenye tatizo la kupatwa na tatizo hili.

 

2.Maginjwa ya zinaa ni kama vile  Ugonjwa wa kisonono na kaswende, Tatizo la chlomydia, Tatizo la Trichomonous na kwa kiasi kidogo Maambukizi kwenye sehemu za siri ambayo kwa kitaalamu huitwa genital herpes na Magonjwa mengine ya zinaa.

 

3. Maambukizi kwenye kibofu cha mkojo ambayo kwa kitaalamu huitwa UTI maana yake ni ( urinary trac infection,  kama mwanaume ana ugonjwa huu na hajapima kugundua anawe kusababisha kuwepo kwa maji maji kwenye sehemu za siri.Kwa hiyo ni lazima kupima ili kuweza kutambua ni shida gani.

 

4. Pia kuna dawa ambazo zimependekezwa kutumika kwa watu wenye matatizo kama haya ya kutokwa majimaji kwenye sehemu za siri dawa hizi ni kama ifuatavyo Azithromycin, cefixine, ciproflaxino, Doxycycline na metronidazole na dawa hizi sio kuzitumia kiholela ila ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.

 

5.Kwa hiyo baada ya kuona chanzo cha tatizo la kutokwa damu kwenye sehemu za siri tunapaswa kuchukua vipimo haraka ili kujua chanzo ni nini na kuweza kupata matibabu kutoka kwa wataalamu wa afya.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Maumivu, kizunguzungu, kichefuchefu na kutoka na damu ni dalili zamimba?
Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea. Soma Zaidi...

image Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali. Soma Zaidi...

image Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha ili kuweza kuendelea kukua vizuri na kuepukana na magonjwa. Soma Zaidi...

image Sorry kunamchumba wangu katokwa na majimaji meupe na tumbo linamuuma BAADA mda likaacha nidalili za Nini au.nikawaida tu
Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa. Soma Zaidi...

image Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake Soma Zaidi...

image Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje
Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni? Soma Zaidi...

image Mda wa kufanya tendo la ndoa baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua. Soma Zaidi...

image Je chuchu zikiwa nyeusi Nini kinasababisha,, kando ya kuwa mjamzito? Na Kama sio mjamzito sababu ya chuchu kua nyeusi ni nini
Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya. Soma Zaidi...

image Mimba kutoka kabla ya umri wake
Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane. Soma Zaidi...

image Namna ya kuangalia kama mtoto aliyezaliwa anapumua
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu. Soma Zaidi...