Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu
faida za kiafya za ubuyu
1. ubuyu una virutubisho kama vitamini C na B, pia ubuyu una madini ya calcium, chuma, potassium na magnesium. Pia ubuyu una protini na fati
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya saratani na kisukari
5. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Huborsha mfumo wa mmeng’enyo wa chakual
7. Husaidia mwili kujilinda dhidi ya maradhi ya moyo
8. Hulinda utumbo na tumbo dhidi ya vidonda vya tumbo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...