Minyoo na athari zao kiafya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
MINYOO NA ATHARI ZAO KIAFYA
Download
MINYOO NA HATARI YEKE KWA AFYA
Utangulizi
Karibu tena kwenye makala zetu za afya. Makala hii ni katika mwendelezo wa makala zetu za afya na maradhi. Katika makala hii utakwenda kushuhudia mambo mengi sana kuhusu minyoo. Tumechagua mada hii kwa sababu tatizo la minyoo limekuwa ni tatizo pana sana na linaathiri watu wengi hususan waishio vijijini.
Watu wengi hawatambui athari za minyoo kwa mwanadamu ijapokuwa wanaishi na minyoo hata bila ya kugundua. Hatimaye wanashindwa kula kwa kukosa hamu ya kula, wanashindwa kufanya kazi vyema kwa miwasho na ushovu. Wanaingia gharama nyingi kwa kupungukiwa na damu na kutibu maradhi mengine yaliyosababishwa na minyoo.
Hivyo usikose kwenye makala hii yenye faida kwa ajili ya afya yako, na afya ya watu wa karibu yako. Ukigundua kuna kosa lolote katika makala hii, wasilianan nasi kwa haraka zaidi ile kupunguza madhara zaidi yatakayosababisha na kukosea kwetu.
Mwandishi: Mr.Rajabu Athuman
Mchapishaji: bongoclass
Chanzo: www.bongoclass.com
Email: admin@bongoclass.com
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya uke
Saratani ya uke ni Saratani adimu inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wan
Soma Zaidi...Dalili za UKIMWI kwa Mtu Aliyeambukizwa Karibuni
Makala hii inaelezea hatua ya awali ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU), inayojulikana kama hatua ya maambukizi makali (acute HIV infection). Inafafanua dalili za kawaida zinazoweza kujitokeza wiki chache baada ya mtu kupata maambukizi, umuhimu wa kupima mapema, na kuondoa dhana potofu kuhusu dalili hizi.
Soma Zaidi...Tabia za kujikosoa kupita kiasi na jinsi ya kujenga upendo
Katika ulimwengu wa kisasa, shinikizo la kuwa "mkamilifu" mara nyingi husababisha watu wengi kuangukia katika mtego wa kujikosoa kupita kiasi. Makala haya yanachunguza asili ya sauti hii ya ndani (inner critic), madhara yake katika afya ya akili, na kutoa mwongozo wa hatua kwa hatua wa jinsi ya kugeuza mtazamo huo kuwa upendo na huruma kwa nafsi yako (self-compassion).
Soma Zaidi...Upungufu wa furaha na mabadiliko ya hisia ya mara kwa mara.
Makala haya yanachunguza kiini cha upungufu wa furaha (anhedonia) na mabadiliko ya hisia ya mara kwa mara (mood swings), yakichambua visababishi vya kibiolojia na kisaikolojia, pamoja na kutoa mwongozo wa kitaalamu wa kukabiliana nayo.
Soma Zaidi...Dalili za kwanza za ugonjwa wa kaswende na kisonono.
Kaswende (Syphilis) na Kisonono (Gonorrhea) ni magonjwa ya zinaa (STIs) yanayoambukizwa kupitia tendo la ndoa. Ingawa husababishwa na vimelea tofauti—Kaswende (bakteria Treponema pallidum) na Kisonono (bakteria Neisseria gonorrhoeae)—yote yanaweza kusababisha madhara makubwa mwilini ikiwa hayatatibiwa mapema. Makala hii inaangazia dalili zao za awali ambazo mtu yeyote anayeshiriki ngono anapaswa kuzifahamu.
Soma Zaidi...Presha ya kushuka (hypotension) dalili zake na njia ya kukabiliana nayo
Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya kama ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa.
Soma Zaidi...