Minyoo na athari zao kiafya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya

MINYOO NA ATHARI ZAO KIAFYA

 

Download

 

MINYOO NA HATARI YEKE KWA AFYA

Utangulizi

Karibu tena kwenye makala zetu za afya. Makala hii ni katika mwendelezo wa makala zetu za afya na maradhi. Katika makala hii utakwenda kushuhudia mambo mengi sana kuhusu minyoo. Tumechagua mada hii kwa sababu tatizo la minyoo limekuwa ni tatizo pana sana na linaathiri watu wengi hususan waishio vijijini.

 

 

 

Watu wengi hawatambui athari za minyoo kwa mwanadamu ijapokuwa wanaishi na minyoo hata bila ya kugundua. Hatimaye wanashindwa kula kwa kukosa hamu ya kula, wanashindwa kufanya kazi vyema kwa miwasho na ushovu. Wanaingia gharama nyingi kwa kupungukiwa na damu na kutibu maradhi mengine yaliyosababishwa na minyoo.

 

 

 

Hivyo usikose kwenye makala hii yenye faida kwa ajili ya afya yako, na afya ya watu wa karibu yako. Ukigundua kuna kosa lolote katika makala hii, wasilianan nasi kwa haraka zaidi ile kupunguza madhara zaidi yatakayosababisha na kukosea kwetu.

 

 

 

Mwandishi: Mr.Rajabu Athuman

 

Mchapishaji: bongoclass

 

Chanzo:    www.bongoclass.com

 

Email:     admin@bongoclass.com

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1587

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Maumivu ya mgongo.

Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m

Soma Zaidi...
Nini hasa chanzo cha pumu, na je inarithiwa?

Ugonjwa wa pumu ni moja katika magonjwa hatari yanayoweza kutokea kwa ghafla, na endapo itacheleweshwa kudhibitiwa inaweza sababisha athari mbaya zaidi

Soma Zaidi...
Fahamu Dalili zinazotokana na kuzama kwenye majj kwa watoto.

Kuzama hufafanuliwa kama mchakato unaosababisha upungufu mkubwa wa kupumua kutokana na kuzamishwa kwenye chombo cha kuogelea (kioevu). Kuzama hurejelea tukio ambalo njia ya hewa ya mtoto huzamishwa kwenye kioevu, na kusababisha kuharibika kwa kupumua.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Matatizo ya mapigo ya moyo

posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.

Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.

Soma Zaidi...
Kivimba kwa utando wa pua

post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa Saratani.

Saratani inahusu ugonjwa wowote kati ya idadi kubwa ya magonjwa ambayo yanaonyeshwa na ukuaji wa seli zisizo za kawaida ambazo hugawanyika bila kudhibitiwa na kuwa na uwezo wa kupenya na kuharibu tishu za kawaida za mwili. Saratani mara nyingi ina uwezo

Soma Zaidi...
Dalili za moyo kutanuka

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.

Soma Zaidi...
Kifuwa kinaniuma katikati kinaambatana nakichwa

Maumivu ya kifuwa yanaweza kutokea baada ya kubeba kitu kizito, ama kupata mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. maumivu ya viungo na hata vidonda vya tumbo. Lakini sasa umesha wahi fikiria maumivu ya kifuwa kwa katikati?

Soma Zaidi...