Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa
Khutbatun-Nikah ni hotuba inayotolewa katika ndoa za Kiislamu. Inahusisha sifa kwa Mwenyezi Mungu, shahada ya Uislamu, na aya za Qur'an zinazohimiza uchamungu na ndoa. Pia, inajumuisha hadithi za Mtume Muhammad (S.A.W) kuhusu ndoa kama suna yake na umuhimu wa kuoa wake wema.
Kwa maandishi ya Kiarabu ya hotuba hii, ipo kama ifuatavyo:
خُطْبَةُ النِّكَاحِ
الحمدُ للهِ، نحمَدُهُ، ونَستَعِينُهُ، ونَستَغْفِرُهُ، ونُؤْمِنُ بِهِ، ونتَوَكَّلُ عليهِ، ونعُوذُ باللهِ مِن شُرُورِ أَنفُسِنَا ومِن سَيِّئَاتِ أَعمَالِنَا، مَن يَهْدِهِ اللهُ فَلا مُضِلَّ لهُ، ومَن يُضْلِلْ فَلا هَادِيَ لهُ، ونَشْهَدُ أن لا إِلَهَ إِلا اللهُ، ونَشْهَدُ أنَّ مُحَمَّدًا عَبدُهُ ورَسُولُهُ.
فَأعُوذُ بِاللهِ مِن الشَّيطَانِ الرَّجِيمِ، بِسمِ اللهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ
{يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً وَاتَّقُوا اللَّهَ الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيبًا}
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ حَقَّ تُقَاتِهِ وَلَا تَمُوتُنَّ إِلَّا وَأَنْتُمْ مُسْلِمُونَ}
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَقُولُوا قَوْلًا سَدِيدًا يُصْلِحْ لَكُمْ أَعْمَالَكُمْ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَمَنْ يُطِعِ اللَّهَ وَرَسُولَهُ فَقَدْ فَازَ فَوْزًا عَظِيمًا}.
وقال النبي صلى الله عليه وسلم: «النِّكَاحُ مِنْ سُنَّتِي».
وقال عليه السلام: «وَاتَّخِذُوا النِّسَاءَ، فَمَنْ رَغِبَ عَنْ سُنَّتِي فَلَيْسَ مِنِّي».
وقال عليه السلام: «تَزَوَّجُوا الوَدُودَ الوَلُودَ، فَإِنِّي مُكَاثِرٌ بِكُمُ الأُمَمَ».
Hii ndiyo hutuba inayotumika mara nyingi katika ndoa za Kiislamu kwa mujibu wa suna za Mtume Muhammad (S.A.W).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Talaka Kabla ya Jimai:Mwanamume au mwanamke anaweza kughairi na kuamua kuvunja ndoa mapema kabla ya kufanya tendo Ia ndoa.
Soma Zaidi...kuna adhkari nyingi sana ambazo Mtume wa Allah ametutaka tuwe tunadumu nazo. lajkini kuna adhkari ambayo imekusanya maneno matukufu na yanayopendwa sana na Allah.
Soma Zaidi...Ni kipindi au muda wa kungojea mwanamke aliyepewa talaka (aliyeachwa) au kufiwa na mumewe kabla ya kuolewa na mume mwingine.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya kupatwa yaani kupatwa kwa juwa na kupatwa kwa mwezi swalat kusuf na swalat khusuf
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Endapo mtu atamuacha mke pasi na ridhaa yake yaani amelazimishwa ama amemuwacha wakati amerukwa na akili. Je ni ipo hukumu yake.
Soma Zaidi...