Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa
Khutbatun-Nikah ni hotuba inayotolewa katika ndoa za Kiislamu. Inahusisha sifa kwa Mwenyezi Mungu, shahada ya Uislamu, na aya za Qur'an zinazohimiza uchamungu na ndoa. Pia, inajumuisha hadithi za Mtume Muhammad (S.A.W) kuhusu ndoa kama suna yake na umuhimu wa kuoa wake wema.
Kwa maandishi ya Kiarabu ya hotuba hii, ipo kama ifuatavyo:
خُطْبَةُ النِّكَاحِ
الحمدُ للهِ، نحمَدُهُ، ونَستَعِينُهُ، ونَستَغْفِرُهُ، ونُؤْمِنُ بِهِ، ونتَوَكَّلُ عليهِ، ونعُوذُ باللهِ مِن شُرُورِ أَنفُسِنَا ومِن سَيِّئَاتِ أَعمَالِنَا، مَن يَهْدِهِ اللهُ فَلا مُضِلَّ لهُ، ومَن يُضْلِلْ فَلا هَادِيَ لهُ، ونَشْهَدُ أن لا إِلَهَ إِلا اللهُ، ونَشْهَدُ أنَّ مُحَمَّدًا عَبدُهُ ورَسُولُهُ.
فَأعُوذُ بِاللهِ مِن الشَّيطَانِ الرَّجِيمِ، بِسمِ اللهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ
{يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً وَاتَّقُوا اللَّهَ الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيبًا}
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ حَقَّ تُقَاتِهِ وَلَا تَمُوتُنَّ إِلَّا وَأَنْتُمْ مُسْلِمُونَ}
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَقُولُوا قَوْلًا سَدِيدًا يُصْلِحْ لَكُمْ أَعْمَالَكُمْ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَمَنْ يُطِعِ اللَّهَ وَرَسُولَهُ فَقَدْ فَازَ فَوْزًا عَظِيمًا}.
وقال النبي صلى الله عليه وسلم: «النِّكَاحُ مِنْ سُنَّتِي».
وقال عليه السلام: «وَاتَّخِذُوا النِّسَاءَ، فَمَنْ رَغِبَ عَنْ سُنَّتِي فَلَيْسَ مِنِّي».
وقال عليه السلام: «تَزَوَّجُوا الوَدُودَ الوَلُودَ، فَإِنِّي مُكَاثِرٌ بِكُمُ الأُمَمَ».
Hii ndiyo hutuba inayotumika mara nyingi katika ndoa za Kiislamu kwa mujibu wa suna za Mtume Muhammad (S.A.W).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi hafifu na najisi ndogo.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada.
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Hapa utajifunza muda wa kutia jia katika funga za sunnah. Pia utajifunza kuhusu uhuru ulio nao
Soma Zaidi...Hapa utajifunza taratibu za kumkafini maiti wa kiislamu. Yaani kushona sanda yake na kumvisha.
Soma Zaidi...