Ujue ugonjwa wa kuishiwa na damu

Ujue ugonjwa wa kuishiwa na damu

post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini

Sababu za kuishiwa na damu

1.Minyoo, kama mtu ana minyoo ambayo ufyonza damu kwenye mwili, hasa Ile minyoo ambayo uzunguka kwenye mzunguko wa damu

2.Maambukizi kwenye mwili( infection)

Hii utokea pale ambapo mgonjwa upata maambukizi  hii usababisha damu kupungua

3. Magonjwa ya mara kwa mara kama vile malaria,Neumoni na mengineyo

4. Homa kali, kama mgonjwa amepata Homa kali zaidi ya thelathini na nane hufanya damu kupungua

5. Magonjwa ya kuridhi

Kuna magonjwa kama vile sickle cell husababisha damu kupungua mwilini

6. Mifupa inayohusika na kutengeneza damu kushindwa kufanya kazi yake vizuri

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2092

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Zifahamu sofa za seli
Zifahamu sofa za seli

Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli.

Soma Zaidi...
Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga
Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga

Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,

Soma Zaidi...
Dalili na sababu za mawe kwenye in yaani liver stone au  intrahepatic stones
Dalili na sababu za mawe kwenye in yaani liver stone au intrahepatic stones

Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na fangasi
Njia za kupambana na fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi

Soma Zaidi...
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini

Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa mapafu.
Dalili za Ugonjwa wa mapafu.

posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo
Sababu za maumivu ya tumbo

hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI
KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI

KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.

Soma Zaidi...
Dalili za moyo kutanuka
Dalili za moyo kutanuka

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.

Soma Zaidi...
Viungo vinavyoathiriwa na malaria
Viungo vinavyoathiriwa na malaria

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...