picha

Dalili za minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo

DALILI ZA MINYOO

Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo  wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote. Na dalili za minyoo pia hutofautiana sana, kulingana na aina za minyoo. Lakini zifuatazo ni katika dalili kuu:-

 

Kichefuchefu

Kukosa hamu ya kula

Maumivu ya tumbo

Kupungua uzito

Uchovu wa viungo

Kuona utelezi mwingi kama kamasi kwenye kinyesi

Kuona minyoo kwenye kinyesi.

Kuona damu kwenye kinyesi

Tumbo kujaa

 

 

Dalili hizi kama nilivyotangulia kusema kuwa zinatofautiana kulingana na aina ya minyoo. Sasa hebu tuone kwa ufupi dalili hizi kulingana na aina ya minyoo:-

 

 

 

minyoo aina na tapeworm dalili zao ni:

Kuvimba kwa ngozi ama kujaa ama kujaa kwa tumbo

Kuwa na alegi

Kuwa na homa

Matatizo katika mfumo wa fahamu, kama kifafa

 

 

minyoo aina ya hookworm dalili zao ni kama:-

Kuwashwa

Kupata ugonjwa wa anaemia (upungufu wa seli hai nyekundu kwenye damu) hivyo kukosa oksijeni ya kutosha mwilini

Kuwa na uchovu wa hali ya juu.

 

 

minyoo aina ya trichinosis, minyoo hawa wana dalili kama:-

Kupata homa

Kuvimba kwa uso

Maumivu ya misuli na kuchoka

Maumivu ya kichwa

Kutokupenda kupigwa na mwanga

Matatizo katika macho (conjuctivist)

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3449

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 web hosting     ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰3 Kitau cha Fiqh     ๐Ÿ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     ๐Ÿ‘‰5 Madrasa kiganjani     ๐Ÿ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Kivimba kwa utando wa pua

post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,

Soma Zaidi...
Vitamini B12: Kazi zake na vyakula vyenye wingi wake.

Vitamini B12 (cobalamin) ni kirutubisho muhimu sana ambacho mwili wa binadamu hauwezi kujitengenezea wenyewe. Ni vitamini inayoyeyuka kwenye maji na ina jukumu la msingi katika kudumisha mfumo wa neva, utengenezaji wa damu, na ufanisi wa DNA. Ukosefu wake unaweza kusababisha madhara makubwa kiafya, ikiwemo upungufu wa damu na matatizo ya neva. Makala haya yanalenga kutoa elimu kuhusu kazi za vitamini hii na jinsi unavyoweza kuipata kupitia lishe bora.

Soma Zaidi...
Je, Maumivu ya Tumbo ni Dalili ya Mimba?

โ€‹Maumivu ya tumbo ni jambo linaloweza kuleta wasiwasi kwa mwanamke yeyote anayehisi anaweza kuwa mjamzito. Makala hii inafafanua sababu za maumivu haya, kutofautisha kati ya maumivu ya kawaida na yale yanayohitaji tahadhari, na kutoa mwongozo wa hatua za kuchukua.

Soma Zaidi...
KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI

Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.

Soma Zaidi...
Fangasi za miguu na ngozi (Ringworm): Jinsi ya kuwatibu.

Fangasi za ngozi, zinazojulikana kitabibu kama Dermatophytosis au Tinea, ni maambukizi ya kawaida sana ya ngozi yanayosababishwa na fangasi aina ya dermatophytes. Ingawa jina "Ringworm" linaweza kuleta picha ya mdudu, hakuna mdudu anayehusikaโ€”ni fangasi tu! Makala haya yanatoa mwongozo wa kitaalamu kuhusu jinsi ya kutambua, kutibu, na kuzuia maambukizi haya ili kudumisha afya ya ngozi yako.

Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

Soma Zaidi...