ni nyakati zipi ambazo dua hukubaliwa kwa haraka?

ni nyakati zipi ambazo dua hukubaliwa kwa haraka?

Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

NYAKATI AMBAZO DUA HUJUBIWA.
 

1.Theluthi ya mwisho ya usiku. Huu ni usiku wa manane usiku mkubwa. Muda huu mweye kuomba dua katu haiwezi kurudi kama anavyosimulia Abuuhurairah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema  "‏ ÙŠÙŽÙ†Ù’زِلُ Ø±ÙŽØ¨Ù‘ُنَا ÙƒÙÙ„Ù‘ÙŽ Ù„َيْلَةٍ Ø¥ÙÙ„ÙŽÙ‰ Ø§Ù„سَّمَاءِ Ø§Ù„دُّنْيَا Ø­ÙÙŠÙ†ÙŽ ÙŠÙŽØ¨Ù’Ù‚ÙŽÙ‰ Ø«ÙÙ„ُثُ Ø§Ù„لَّيْلِ Ø§Ù„آخِرُ ÙÙŽÙŠÙŽÙ‚ُولُ Ù…َنْ ÙŠÙŽØ¯Ù’عُونِي ÙÙŽØ£ÙŽØ³Ù’تَجِيبَ Ù„َهُ ÙˆÙŽÙ…َنْ ÙŠÙŽØ³Ù’أَلُنِي ÙÙŽØ£ÙØ¹Ù’طِيَهُ ÙˆÙŽÙ…َنْ ÙŠÙŽØ³Ù’تَغْفِرُنِي ÙÙŽØ£ÙŽØºÙ’فِرَ Ù„َهُ ‏"

“anashuka Mola wetu aliye tukuka kuja mbingu ya dunia kila usiku pindi inapobaki theluthi ya usiku ya mwisho kisha husema ‘nani ataniomba nimjibu maombi yake, nani antaniomba nimpe na nani ataniomba msamaha nimsamehe”. (amepokea Bukahari, muslim na wengine).

 

2.Baada ya swala za faradhi. Anayetaka kuomba dua basi aombe baada ya kuswali swala ya faradhi, dua yake itajibiwa. Ø¹ÙŽÙ†Ù’ Ø£ÙŽØ¨ÙÙŠ Ø£ÙÙ…ÙŽØ§Ù…ÙŽØ©ÙŽØŒ Ù‚َالَ Ù‚ِيلَ ÙŠÙŽØ§ Ø±ÙŽØ³ÙÙˆÙ„ÙŽ Ø§Ù„لَّهِ Ø£ÙŽÙ‰Ù‘ُ Ø§Ù„دُّعَاءِ Ø£ÙŽØ³Ù’مَعُ Ù‚َالَ ‏"‏ Ø¬ÙŽÙˆÙ’فُ Ø§Ù„لَّيْلِ Ø§Ù„آخِرُ ÙˆÙŽØ¯ÙØ¨ÙØ±ÙŽ Ø§Ù„ØµÙ‘ÙŽÙ„ÙŽÙˆÙŽØ§ØªÙ Ø§Ù„ْمَكْتُوبَاتِ ‏"‏ 

Amesimulia Abuu Umama  Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa aliulizwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم ‘dua gani husikulizwa (zaidi na Allah? Akasema:) usiku mkubwa (theluthi ya mwisho ya usiku) na baada ya swala za faradhi’”. (amepokea tirmith kwa isnad sahihi).
 

 

3.Kati ya adhana na iqama. Huu ni muda unaopatikana baada ya kuadhiniwa na mpaka kukimiwa kwa swala. Hapa mwenye kuomba dua itakuwa ni yenye kujibiwa. Amesimulia Anas Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema “hairudishi (haiachi kujibiwa dua) kati ya adhana na iqama”. (amepokea Abuu Daud, Nisai na tirmith kwa isnad sahihi).

 

4.Wakati wa kusujudi. Hii ni dua inayoomwa wakati mtu akiwa amesujudi, dua hii pia ni yenye kujibiwa. Amesimulia Abuuhurairah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema “muda ambao mja anakuwa karibu zaidi na Mola wake ni pale akiwa amesujudi. Basi zidisheni dua (muda huu) na uweni na uhakika kuwa mtajibiwa. (amepokea Muslim na Daud).

 

5.Muda wa kukutana majeshi kwenye jihad, muda wa kunyesha kwa mvua, muda wa kukimiwa kwa swala na na muda wa kuiona alkaba. Amepokea Abuu Umamah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema: “hufunguliwa milango ya mbinguni na hujibiwa dua katika maeneo manne (nyakati): muda wa kukutana safu katika jihadi, muda wa kunyesha kwa mvua, muda wa kukimiwa kwa swala na muda wa kuiona alkaba”. (amepokea Tabrany).
 

 

6.Siku ya ijumaa. Siku ya ijumaa kuna muda ambao dua hujibiwa bila ya tatizo. Muda huu ni mchache sana na hakuna anaoujua. Zipo riwaya nyingi sana zinataja muda huu. Ila kuna riwaya zinaonesha muda huu ni baada ya swala ya al-’asr mpaka magharib. Ila ukweli ni kuwa muda huu ni mchache sana na haujulikani, jambo la msingi ni kujitahidi kumuomba Allah siku ya ijumaa yote huenda muda huo ukaupata.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 2104

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

SHUGHULI ZA KILA SIKU
SHUGHULI ZA KILA SIKU

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
NAMNA AMBAZO DUA HUJIBIWA
NAMNA AMBAZO DUA HUJIBIWA

NAMNA AMBAYO ALLAH HUJIBU DUA.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa salamu katika uislamu
Jinsi ya kutoa salamu katika uislamu

MAkala hii itakwenda kukufundisha jinsi ya kutoa salamu kwenye uislamu

Soma Zaidi...
DUA 85 - 93
DUA 85 - 93

SWALA YA MTUME 85.

Soma Zaidi...
Darsa za Dua
Darsa za Dua

Download kitabu hiki na upate kusoma zaidi ya dua 120, pamoja na darsa mbalimbali za dini ya kiislamu.

Soma Zaidi...
DUA ZA KUONDOA WASIWASI
DUA ZA KUONDOA WASIWASI

DUA ZA KUONDOA MAUMIVU MWILINI Katika uislamu Allah amejaalia dawa katika kufuata sunnah.

Soma Zaidi...
JINSI YA KUOMBA DUA ILI IKUBALIWE NA ALLAH
JINSI YA KUOMBA DUA ILI IKUBALIWE NA ALLAH

Kukubaliwa kwa dua kunategemea mahusiano yako na Allah. hata hivyo kuna baadhi ya mabo ukiyafanya dua yako inaweza kukubaliwa kwa haraka zaidi. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kuomba dua ikubaliwe.

Soma Zaidi...