ni nyakati zipi ambazo dua hukubaliwa kwa haraka?


image


Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?


NYAKATI AMBAZO DUA HUJUBIWA.
 

1.Theluthi ya mwisho ya usiku. Huu ni usiku wa manane usiku mkubwa. Muda huu mweye kuomba dua katu haiwezi kurudi kama anavyosimulia Abuuhurairah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema  "‏ ÙŠÙŽÙ†Ù’زِلُ Ø±ÙŽØ¨Ù‘ُنَا ÙƒÙÙ„Ù‘ÙŽ Ù„َيْلَةٍ Ø¥ÙÙ„ÙŽÙ‰ Ø§Ù„سَّمَاءِ Ø§Ù„دُّنْيَا Ø­ÙÙŠÙ†ÙŽ ÙŠÙŽØ¨Ù’Ù‚ÙŽÙ‰ Ø«ÙÙ„ُثُ Ø§Ù„لَّيْلِ Ø§Ù„آخِرُ ÙÙŽÙŠÙŽÙ‚ُولُ Ù…َنْ ÙŠÙŽØ¯Ù’عُونِي ÙÙŽØ£ÙŽØ³Ù’تَجِيبَ Ù„َهُ ÙˆÙŽÙ…َنْ ÙŠÙŽØ³Ù’أَلُنِي ÙÙŽØ£ÙØ¹Ù’طِيَهُ ÙˆÙŽÙ…َنْ ÙŠÙŽØ³Ù’تَغْفِرُنِي ÙÙŽØ£ÙŽØºÙ’فِرَ Ù„َهُ ‏"

“anashuka Mola wetu aliye tukuka kuja mbingu ya dunia kila usiku pindi inapobaki theluthi ya usiku ya mwisho kisha husema ‘nani ataniomba nimjibu maombi yake, nani antaniomba nimpe na nani ataniomba msamaha nimsamehe”. (amepokea Bukahari, muslim na wengine).

 

2.Baada ya swala za faradhi. Anayetaka kuomba dua basi aombe baada ya kuswali swala ya faradhi, dua yake itajibiwa. Ø¹ÙŽÙ†Ù’ Ø£ÙŽØ¨ÙÙŠ Ø£ÙÙ…ÙŽØ§Ù…ÙŽØ©ÙŽØŒ Ù‚َالَ Ù‚ِيلَ ÙŠÙŽØ§ Ø±ÙŽØ³ÙÙˆÙ„ÙŽ Ø§Ù„لَّهِ Ø£ÙŽÙ‰Ù‘ُ Ø§Ù„دُّعَاءِ Ø£ÙŽØ³Ù’مَعُ Ù‚َالَ ‏"‏ Ø¬ÙŽÙˆÙ’فُ Ø§Ù„لَّيْلِ Ø§Ù„آخِرُ ÙˆÙŽØ¯ÙØ¨ÙØ±ÙŽ Ø§Ù„ØµÙ‘ÙŽÙ„ÙŽÙˆÙŽØ§ØªÙ Ø§Ù„ْمَكْتُوبَاتِ ‏"‏ 

Amesimulia Abuu Umama  Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa aliulizwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم ‘dua gani husikulizwa (zaidi na Allah? Akasema:) usiku mkubwa (theluthi ya mwisho ya usiku) na baada ya swala za faradhi’”. (amepokea tirmith kwa isnad sahihi).
 

 

3.Kati ya adhana na iqama. Huu ni muda unaopatikana baada ya kuadhiniwa na mpaka kukimiwa kwa swala. Hapa mwenye kuomba dua itakuwa ni yenye kujibiwa. Amesimulia Anas Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema “hairudishi (haiachi kujibiwa dua) kati ya adhana na iqama”. (amepokea Abuu Daud, Nisai na tirmith kwa isnad sahihi).

 

4.Wakati wa kusujudi. Hii ni dua inayoomwa wakati mtu akiwa amesujudi, dua hii pia ni yenye kujibiwa. Amesimulia Abuuhurairah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema “muda ambao mja anakuwa karibu zaidi na Mola wake ni pale akiwa amesujudi. Basi zidisheni dua (muda huu) na uweni na uhakika kuwa mtajibiwa. (amepokea Muslim na Daud).

 

5.Muda wa kukutana majeshi kwenye jihad, muda wa kunyesha kwa mvua, muda wa kukimiwa kwa swala na na muda wa kuiona alkaba. Amepokea Abuu Umamah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema: “hufunguliwa milango ya mbinguni na hujibiwa dua katika maeneo manne (nyakati): muda wa kukutana safu katika jihadi, muda wa kunyesha kwa mvua, muda wa kukimiwa kwa swala na muda wa kuiona alkaba”. (amepokea Tabrany).
 

 

6.Siku ya ijumaa. Siku ya ijumaa kuna muda ambao dua hujibiwa bila ya tatizo. Muda huu ni mchache sana na hakuna anaoujua. Zipo riwaya nyingi sana zinataja muda huu. Ila kuna riwaya zinaonesha muda huu ni baada ya swala ya al-’asr mpaka magharib. Ila ukweli ni kuwa muda huu ni mchache sana na haujulikani, jambo la msingi ni kujitahidi kumuomba Allah siku ya ijumaa yote huenda muda huo ukaupata.



Sponsored Posts


  👉    1 Jifunze Fiqh       👉    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       👉    3 Madrasa kiganjani offline       👉    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Faida za swala ya Mtume
Hapa utajifunza fadhila za kumswalia Mtume (s.a.w) Soma Zaidi...

image Mawaidha Kutokwa kwa Shekhe
Karibu kwenye Darsa za mawaidha na Mafundisho ya dini. Soma Zaidi...

image Maneno mazuri mbele ya mwenyezi Mungu
kuna adhkari nyingi sana ambazo Mtume wa Allah ametutaka tuwe tunadumu nazo. lajkini kuna adhkari ambayo imekusanya maneno matukufu na yanayopendwa sana na Allah. Soma Zaidi...

image Muumini ni yule ambaye anazungumza ukweli
Ukweli ni katika sifa za waumini. Siku zote hakuna hasara katika kusema ukweli. Kinyume chake uongo ni katika madhambi makubwa sana. Soma Zaidi...

image Dua za wakati wa shida na taabu
Hizi ni Dua ambazo unatakiwa uziombe wakati wa shida na taabu Soma Zaidi...

image ni nyakati zipi ambazo dua hukubaliwa kwa haraka?
Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua? Soma Zaidi...