Athari za kutokutibu minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO
Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula. Kama ulivyoona kwenye dalili za minyoo, hivyo minyoo ikiachwa bila ya kutibia miongoni mwa athari zake ni kuendelea kwa dalili zile na kuwa ni ugunjwa. Miongoni mwa athari hizo ni:-
kupata magonjwa yanayohusiana na ini pamoja na nyongo kama necrosis, gallstone (kuwa na vijiwe kwenye mrija wa nyongo), kuziba kwa mrija wa nyongo, biliar colic, cholecystitis, urticaria
Kutapika na kutapika damu
Maumivu ya tumbo
Kupoteza damu
Mwili kukosa virutubisho kutoka kwenye chakula
Kichefuchefu
Kupunguwa uzito na kukonda
Ukuaji hafifu kwa watoto
Matatizo ya akili
Kuharisha n.k
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 web hosting 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.
Soma Zaidi...Dalili za Mimba ya Mapacha Mapema
Kubeba ujauzito wa mapacha ni safari ya kipekee inayoweza kuleta mabadiliko ya haraka na makali zaidi kwenye mwili wa mwanamke. Post hii inachunguza dalili za mapema ambazo wanawake wengi wameziona, tofauti zake na ujauzito wa mtoto mmoja, na umuhimu wa uthibitisho wa kitabibu.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...Madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu
Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
Soma Zaidi...Maambukizi ya njia ya mkojo kwa wanawake
Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) ni moja kati ya changamoto kubwa za kiafya zinazowasumbua wanawake wengi kote ulimwenguni. Makala haya yanajadili kwa kina vyanzo vya maambukizi haya, dalili zake, sababu zinazowafanya wanawake kuwa katika hatari zaidi, mbinu za kujikinga, na ufafanuzi wa ukweli wa kisayansi dhidi ya dhana potofu zilizopo kwenye jamii.
Soma Zaidi...