Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye mago
1. Kuwepo kwa uzito mkubwa.
Uzito kwa kawaida inabidi kulingana na urefu ila uzito ukiwa mkubwa usababisha magoti kuelemewa kwa sababu ya Uzito kuwa mkubwa na kuanza tatizo la kuwepo kwa magonjwa ya goti.
2. Kuumia kwenye viungo.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na maumivu kwenye viungo ambayo uambatana na kuumia kwa magoti, kuumia kwa viungo inaweza kuwa ni ajali mbalimbali ambazo usababisha maumivu kwenye magoti.
3. Kuvimba kwa magoti.
Kuna wakati mwingine magoti yanavimba yenyewe bila kuwepo kwa ajali au unene hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti kwa hiyo maambukizi hayo usababisha magoti kuwa na maumivu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi.
4. Pengine maumivu ya magoti ni kwa sababu ya kuridhi.
Kuna magonjwa mengine utokea kwa sababu ya kuridhi ikitokea kwenye family Kuna ugonjwa wa hivi utaikuta familia Kuna watoto chini ya miaka arobaini wanaanza kuugua ugonjwa wa magoti.
5. Mazoezi makali.
Kuna wakati mwingine wale wanaofanya mazoezi makali usababisha kutenguka kwa viungo hasa hasa kwenye magoti pengine magoti yanaweza kupona mapema na wengine uchukua mda huu mrefu kupona .
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV
Soma Zaidi...Ugonjwa wa degedege ni ugonjwa unaowapata sana watoto chini ya miaka mitano ingawa na watu wazima wanapatwa na ugonjwa huo
Soma Zaidi...NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.
Soma Zaidi...Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mg
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi... Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.ÂÂ
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili,Sababu,na namna ya kujikinga na ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani ambao kitaalamu hujulikana Kama orchitis.
Soma Zaidi...Watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa ukimwi huonekana baada ya muda gani toka kuathirika?
Soma Zaidi...