Sababu ya maumivu ya magoti.


image


Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye magoti kama ifuatavyo.


Sababu ya maumivu kwenye magoti.

1.  Kuwepo kwa uzito mkubwa.

Uzito kwa kawaida inabidi kulingana na urefu ila uzito ukiwa mkubwa usababisha magoti kuelemewa kwa sababu ya Uzito kuwa mkubwa na kuanza tatizo la kuwepo kwa magonjwa ya goti.

 

2. Kuumia kwenye viungo.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na maumivu kwenye viungo ambayo uambatana na kuumia kwa magoti, kuumia kwa viungo inaweza kuwa ni ajali mbalimbali ambazo usababisha maumivu kwenye magoti.

 

3. Kuvimba kwa magoti.

Kuna wakati mwingine magoti yanavimba yenyewe bila kuwepo kwa ajali au unene hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti kwa hiyo maambukizi hayo usababisha magoti kuwa na maumivu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi.

 

4. Pengine maumivu ya magoti ni kwa sababu ya kuridhi.

Kuna magonjwa mengine utokea kwa sababu ya kuridhi ikitokea kwenye family Kuna ugonjwa wa hivi utaikuta familia Kuna watoto chini ya miaka arobaini wanaanza kuugua ugonjwa wa magoti.

 

5. Mazoezi makali.

Kuna wakati mwingine wale wanaofanya mazoezi makali usababisha kutenguka kwa viungo hasa hasa kwenye magoti pengine magoti yanaweza kupona mapema na wengine uchukua mda huu mrefu kupona .

 

 

 

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI
Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu. Soma Zaidi...

image Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.
Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu Soma Zaidi...

image Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?
Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzingatia ni kuwa si kila anayeshiriki ngono na aliyeathirika na yeye ataathirika. Makala hii itakwenda kukufundisha mengi kuhusu somo hili. Soma Zaidi...

image Dalili za moyo kutanuka
Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka. Soma Zaidi...

image Huduma kwa walio na matatizo ya asili nyingi mwilini
Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu. Soma Zaidi...

image Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda
Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako Soma Zaidi...

image Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia
PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia Soma Zaidi...

image Dalili kuu za minyoo
Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwenye udongo. Minyoo wanaweza kusababisha maradhi ndani ya mwili wa kiumbe hai. Minyoo isipotibiwa inaweza kusababisha athari zaidi kwenye afya ya mtu. Makala hii inakwenda kukuletea dalili za minyoo. Soma Zaidi...

image Mbinu za kuzuia na kuepukana na maradhi ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepukana na tatizo la ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo. Soma Zaidi...

image Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu. Soma Zaidi...