Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye mago
1. Kuwepo kwa uzito mkubwa.
Uzito kwa kawaida inabidi kulingana na urefu ila uzito ukiwa mkubwa usababisha magoti kuelemewa kwa sababu ya Uzito kuwa mkubwa na kuanza tatizo la kuwepo kwa magonjwa ya goti.
2. Kuumia kwenye viungo.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na maumivu kwenye viungo ambayo uambatana na kuumia kwa magoti, kuumia kwa viungo inaweza kuwa ni ajali mbalimbali ambazo usababisha maumivu kwenye magoti.
3. Kuvimba kwa magoti.
Kuna wakati mwingine magoti yanavimba yenyewe bila kuwepo kwa ajali au unene hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti kwa hiyo maambukizi hayo usababisha magoti kuwa na maumivu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi.
4. Pengine maumivu ya magoti ni kwa sababu ya kuridhi.
Kuna magonjwa mengine utokea kwa sababu ya kuridhi ikitokea kwenye family Kuna ugonjwa wa hivi utaikuta familia Kuna watoto chini ya miaka arobaini wanaanza kuugua ugonjwa wa magoti.
5. Mazoezi makali.
Kuna wakati mwingine wale wanaofanya mazoezi makali usababisha kutenguka kwa viungo hasa hasa kwenye magoti pengine magoti yanaweza kupona mapema na wengine uchukua mda huu mrefu kupona .
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.
Soma Zaidi...kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua.
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k
Soma Zaidi...Ingawa mbu hunyonya damu kwa binadamu, hawana uwezo wa kueneza virusi vya UKIMWI (VVU). Sababu ni kwamba virusi vya VVU haviwezi kuishi wala kuzaliana ndani ya mwili wa mbu, na pia mbu hawaingizi damu ya mtu mmoja kwa mwingine wanapongโata.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni
Soma Zaidi...Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis.
Soma Zaidi...kovu (Fibrosis) ya ini inayosababishwa na aina nyingi za magonjwa na hali ya ini, kama vile Homa ya Ini na unywaji pombe kupita kiasi. Ini hufanya kazi kadhaa muhimu, ikiwa ni pamoja na kuondoa vitu vyenye madhara katika mwili wako, kusafisha damu yako
Soma Zaidi...