picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AL MAUUN

Sura hii ni katika sura ambazo zinahitaji kusomwa kwa mazingatio sana. Wanaoswali bila ya kuzingatia swala zao, wameonywa vikali...

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AL-KAWTHAR

Sura hii ni miongoni mwa Sura fupi sanya huwenda ndiosura yenye aya chache kuliko sura zote katika Quran.

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AL KAFIRUN

Sura hii imekuja kukata rai ya Makafiri wa Makka kuhusu ibada ya ushirika. Hivi leo tungesema kuhusu dini mseto.

picha
SABABU ZA KUSHUKASURAT AN NASR

Sura hii ni katika sura za mwisho kushuka, huwendakuwa ndio ya mwisho kabisa. Masahaba waliamini kuwa sura hii imetabiri kifo...

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAL MASAD (TABAT HARAKA)

Sura hii inazungumzia kuhusu hali ya Abulahab namke wake wakiwa kama Watu waovu. Ni moja katika sura ambazo zilishuka mwanzoni...

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT IKHLAS

Surat Ikhlas ni katika sura za kitawhid ambazo zilishuka miaka siku za mwanzoni mwa utume. Sura hii imekuja kujibu maswali...

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AN-NAS NA SURAT AL FALAQ

Sura mbili hizi pia hujulikana kwa jina la al muawidhatain ambazo ni surat an Nas na surat al falaq.

picha
SABABU ZA KUSHUKA SURAT AL FATIHA (ALHAMDU)

Kwa kuwa hakuna sababu mwalumu ikiyonukuliwa kuwa ndio chanzo cha kushushwa suravhii. Basi post hii itakujuza mambo ambayo huwenda hukuyajuwa...

picha
NIKILA TUMBO LINAUMA, MDOMO MCHUNGU, MATITI YANAUMA NA HEDHI SIJAPATA, JE NI DALILI ZA MIMBA?

Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea...

picha
IMANI POTOFU KWA MWANAMKE MWENYE MIMBA

Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.

picha
IMANI POTOFU JUU YA UGONJWA WA UKIMWI.

Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.

picha
HUWEZI KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAMBO YAFUATAYO

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani...

picha
DALILI NA ISHARA ZA UPUNGUFU WA MUUNGANISHO WA MACHO.

posti hii inaonyesha dalili za upungufu wa muunganisho wa macho. Upungufu wa muunganisho hutokea wakati macho yako hayafanyi kazi pamoja...

picha
NAMNA YA KUMTUNZA MTOTO ALIYEZALIWA

Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.

picha
NAMNA YA KUMSAIDIA MTOTO MWENYE DEGEDEGE

Degedege ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto chini ya miaka mitano,na uwaletea matatizo mengi pamoja na kuwepo kwa ulemavu na vifo...

picha
UGONJWA WA KISUKARI WAKATI WA UJAUZITO.

Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito.

picha
DALILI NA ISHARA ZA ANEMIA YA MINYOO

Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo

picha
WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA MAGONJWA YA NGONO

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa...

picha
DALILI ZA UGONJWA WA FUNGUSI UKEN

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama...

picha
ELIMU YENYE MANUFAA

Elimu yenye manufaa Ni ipi? (EDK form 1:elimu yenye manufaa)

picha
MGAWANYO WA ELIMU USIOKUBALIKA KATIKA UISLAMU UNASABABISHWA NA SABABU ZIFUATAZO

Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na nini? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu...

picha
MGAWANYO WA ELIMU USIOKUBALIKA KATIKA UISLAMU

Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu Ni upi? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu)

picha
MGAWANYO SAHIHI WA ELIMU KWA MTAZAMO WA UISLAMU

Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu (EDK form 1: mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu

picha
ZIJUE HASARA ZA MAGONJWA YA NGONO

Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.

Page 188 of 229

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.