Vyanzo vya sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy

Vyanzo vya sumu mwilini.

1. Matumizi ya dawa za mara kwa mara.

Kuna wakati mwingine watu wanatumia dawa mara kwa mara kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili na kusababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya matumizi ya dawa.

 

2. Kuna matumizi ya pombe kupita kiasi.

Kuna watu wanaotumia pombe kupita kiasi , tunajua kwa kawaida kwenye pombe kuna chemicals mbalimbali kwa hiyo kwa sababu ya matumizi ya kupita kiasi kuna uwezekano wa kuongezeka kwa sumu mwilini

 

3. Mazingira hatarishi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mazingira nayo yanasababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa wingi wa viwanda kila sehemu kwa hiyo kuna sumu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha kuwepo kwa sumu mwilini.

 

4. Kutokuwepo kwa mlo kamili.

Kwa sababu ya hali duni ya watu walio wengi usababisha pia kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya vyakula vinavyotumika.

 

5. Matumizi ya madawa makali na ya mara kwa mara, Kuna wagonjwa ambao wanaotumia madawa makali na ya Mara kwa mara nayo uongeza Sumi mwilini.

 

6. Uzito mkubwa kupita kiasi.

Kwa sababu ya uzito mkubwa mafuta mengi huwa yanarundikana hali ambayo usababisha kuongeza kwa Sumi mwilini.

 

7. Mtindo wa maisha.

Kuna watu wengine wanaishi kwa kutumia vyakula vya mafuta na chemical kila siku na kutumia vinywaji vyenye kemikali nyingi hali ambayo usababisha kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini.

 

8. Matumizi ya njia za uzazi wa mpango.

Kuna wakati mwingine unakuta mama anautumia njia ya kwanza ya uzazi wa mpango inagoma anabadilisha na kufanya nyingine nayo inagoma kwa hiyo anaweza kutumia njia zaidi ya mbili na kwa kutumia chemical mbalimbali ambazyutokana na dawa hizo hali ambayo usababisha kuongezeka kwa Sumu mwilini.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2376

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Aina za minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya aina za minyoo

Soma Zaidi...
Dalili za Ukimwi

Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV

Soma Zaidi...
Madhara ya maambukizi kwenye tumbo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa schizophrenia

Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo hapo chini

Soma Zaidi...
Njia za maambukizi ya Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Matibabu ya vidonda sugu

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kisukari aina ya 1 (type 1)

Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye se

Soma Zaidi...