Vyanzo vya sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy
Vyanzo vya sumu mwilini.
1. Matumizi ya dawa za mara kwa mara.
Kuna wakati mwingine watu wanatumia dawa mara kwa mara kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili na kusababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya matumizi ya dawa.
2. Kuna matumizi ya pombe kupita kiasi.
Kuna watu wanaotumia pombe kupita kiasi , tunajua kwa kawaida kwenye pombe kuna chemicals mbalimbali kwa hiyo kwa sababu ya matumizi ya kupita kiasi kuna uwezekano wa kuongezeka kwa sumu mwilini
3. Mazingira hatarishi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mazingira nayo yanasababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa wingi wa viwanda kila sehemu kwa hiyo kuna sumu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha kuwepo kwa sumu mwilini.
4. Kutokuwepo kwa mlo kamili.
Kwa sababu ya hali duni ya watu walio wengi usababisha pia kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya vyakula vinavyotumika.
5. Matumizi ya madawa makali na ya mara kwa mara, Kuna wagonjwa ambao wanaotumia madawa makali na ya Mara kwa mara nayo uongeza Sumi mwilini.
6. Uzito mkubwa kupita kiasi.
Kwa sababu ya uzito mkubwa mafuta mengi huwa yanarundikana hali ambayo usababisha kuongeza kwa Sumi mwilini.
7. Mtindo wa maisha.
Kuna watu wengine wanaishi kwa kutumia vyakula vya mafuta na chemical kila siku na kutumia vinywaji vyenye kemikali nyingi hali ambayo usababisha kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini.
8. Matumizi ya njia za uzazi wa mpango.
Kuna wakati mwingine unakuta mama anautumia njia ya kwanza ya uzazi wa mpango inagoma anabadilisha na kufanya nyingine nayo inagoma kwa hiyo anaweza kutumia njia zaidi ya mbili na kwa kutumia chemical mbalimbali ambazyutokana na dawa hizo hali ambayo usababisha kuongezeka kwa Sumu mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.
Soma Zaidi...Dalili za ugonjwa wa kipindupindu
Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.
Soma Zaidi...Walio katika hatari ya kupata magonjwa ya ngono
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono.
Soma Zaidi...ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan
Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Soma Zaidi...Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria.
Soma Zaidi...MALARIA INATOKEAJE? (Namna ambavyo malaria inatokea, inaanza na inavyoathiri afya)
Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
Soma Zaidi...