Vyanzo vya sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy

Vyanzo vya sumu mwilini.

1. Matumizi ya dawa za mara kwa mara.

Kuna wakati mwingine watu wanatumia dawa mara kwa mara kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili na kusababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya matumizi ya dawa.

 

2. Kuna matumizi ya pombe kupita kiasi.

Kuna watu wanaotumia pombe kupita kiasi , tunajua kwa kawaida kwenye pombe kuna chemicals mbalimbali kwa hiyo kwa sababu ya matumizi ya kupita kiasi kuna uwezekano wa kuongezeka kwa sumu mwilini

 

3. Mazingira hatarishi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mazingira nayo yanasababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa wingi wa viwanda kila sehemu kwa hiyo kuna sumu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha kuwepo kwa sumu mwilini.

 

4. Kutokuwepo kwa mlo kamili.

Kwa sababu ya hali duni ya watu walio wengi usababisha pia kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya vyakula vinavyotumika.

 

5. Matumizi ya madawa makali na ya mara kwa mara, Kuna wagonjwa ambao wanaotumia madawa makali na ya Mara kwa mara nayo uongeza Sumi mwilini.

 

6. Uzito mkubwa kupita kiasi.

Kwa sababu ya uzito mkubwa mafuta mengi huwa yanarundikana hali ambayo usababisha kuongeza kwa Sumi mwilini.

 

7. Mtindo wa maisha.

Kuna watu wengine wanaishi kwa kutumia vyakula vya mafuta na chemical kila siku na kutumia vinywaji vyenye kemikali nyingi hali ambayo usababisha kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini.

 

8. Matumizi ya njia za uzazi wa mpango.

Kuna wakati mwingine unakuta mama anautumia njia ya kwanza ya uzazi wa mpango inagoma anabadilisha na kufanya nyingine nayo inagoma kwa hiyo anaweza kutumia njia zaidi ya mbili na kwa kutumia chemical mbalimbali ambazyutokana na dawa hizo hali ambayo usababisha kuongezeka kwa Sumu mwilini.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2181

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma.

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi ukeni

Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri.

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha kizunguzungu?

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu

Soma Zaidi...
Fahamu mapacha wanavyounganishwa.

Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mar

Soma Zaidi...
Masharti ya vidonda vya tumbo

Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo

Soma Zaidi...
Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,

Soma Zaidi...
UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU

Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.

Soma Zaidi...
Dalili za mawe kwenye kibofu Cha mkono

Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.

Soma Zaidi...
nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?

mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo na sababu zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake

Soma Zaidi...