image

Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi

Faida za kula peazi

1. Lina virutubisho Kama vitamin C,E na K pia madini ya magnesium,chuma na calcium pia fati na protini

2.husaidia kulinda mwili dhidi ya kisukari

3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya moyo

4. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula dhidi ya mashambulizi

5. Hulinda afya ya mishipa ya damu

6. Huondoa sumu mwilini

7. Huzuia athari za kemikali mwilini

8. Huboresha afya ya mfumo wa kinga

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2063


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Vyakula vya kupunguza presha ya kupanda
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda Soma Zaidi...

Parachichi (avocado)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za parachichi Soma Zaidi...

Kazi za virutubisho vya protini mwilini
Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini Soma Zaidi...

Fahamu vitamini D, kazi zake vyakula vya vitamini D na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg Soma Zaidi...

Faida za kiafya za nyanya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Nyama
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha
Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi Soma Zaidi...

Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake
Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake Soma Zaidi...

Faida za majani ya mstafeli
Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali. Soma Zaidi...