Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi

Faida za kula peazi

1. Lina virutubisho Kama vitamin C,E na K pia madini ya magnesium,chuma na calcium pia fati na protini

2.husaidia kulinda mwili dhidi ya kisukari

3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya moyo

4. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula dhidi ya mashambulizi

5. Hulinda afya ya mishipa ya damu

6. Huondoa sumu mwilini

7. Huzuia athari za kemikali mwilini

8. Huboresha afya ya mfumo wa kinga

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2712

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Vyakula vya vitamini na faida zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.

Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Faida (matunda) ya kusimamisha swala katika jamii

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Madhara ya upungufu wa protini mwilini

Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas

Soma Zaidi...
Faida za vyakula vya asili

Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.

Soma Zaidi...