picha

Namna ya kumtunza mtoto aliyezaliwa

Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.

Njia za kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa

1. Mtoto anapozaliwa tu kitu Cha kwanza kabisa ni kumfanya usafi kuhakikisha kuwa ametolewa maji ambayo aliyavuta puani,masikioni na kumsafisha kwa ujumla.

 

2. Kumpatia joto la kutosha, tujue kuwa mtoto amekuja katika ulimwengu mwingine anaposwa kukunjwa kwenye nguo zitakazompatia joto la kutosha,

 

3. Kuhakikisha mtoto amepata chanjo zinazohitajika kama vile chanjo ya surua, chanjo ya inni na chanjo nyingine so, kama ana maambukizi anapaswa kupewa Nevirapine Ili kuzuia kinga ya mwili isishuke

 

4. Kuangalia kama ana maambukizi yoyote kama vile malaria,mafia na vitu vingine ambavyo si kawaida kwa mtoto vikitokea vinapaswa kutibiwa mara Moja,

 

5. Kuangalia kama mtoto amezaliwa na kilo kidogo au kubwa zaidi, kama ni kidogo atawekwa kwenye uangalizi zaidi kama ni kilo nyingi pia ataendelea kuangalia kwa zaidi akiwa hospitalini

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2647

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 web hosting     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Mimi kwenye korodani yai moja limezungukwa na majimaji ,na haya maji yamekuwepo toka utotoni mwangu lakin bado sijayaona matatizo yake , je kitaaramu hii inaweza kua na athari gani? ,Naombeni ushauri

Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.

Soma Zaidi...
Je inaweza ukaingia period wakati unaujauzito?

Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?

Soma Zaidi...
Mimba iliyotunga nje

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba

Soma Zaidi...