Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.
Njia za kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa
1. Mtoto anapozaliwa tu kitu Cha kwanza kabisa ni kumfanya usafi kuhakikisha kuwa ametolewa maji ambayo aliyavuta puani,masikioni na kumsafisha kwa ujumla.
2. Kumpatia joto la kutosha, tujue kuwa mtoto amekuja katika ulimwengu mwingine anaposwa kukunjwa kwenye nguo zitakazompatia joto la kutosha,
3. Kuhakikisha mtoto amepata chanjo zinazohitajika kama vile chanjo ya surua, chanjo ya inni na chanjo nyingine so, kama ana maambukizi anapaswa kupewa Nevirapine Ili kuzuia kinga ya mwili isishuke
4. Kuangalia kama ana maambukizi yoyote kama vile malaria,mafia na vitu vingine ambavyo si kawaida kwa mtoto vikitokea vinapaswa kutibiwa mara Moja,
5. Kuangalia kama mtoto amezaliwa na kilo kidogo au kubwa zaidi, kama ni kidogo atawekwa kwenye uangalizi zaidi kama ni kilo nyingi pia ataendelea kuangalia kwa zaidi akiwa hospitalini
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1695
Sponsored links
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
kitabu cha Simulizi
Nna mimba ya miez miezi mitano 5 naruhusiwa kula papai kwa wing
Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya Soma Zaidi...
Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako. Soma Zaidi...
Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.
Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa watu wenye ugonjwa wa Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi. Soma Zaidi...
Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara. Soma Zaidi...
SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)
Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka. Soma Zaidi...
Je ukitokea mchubuko wakati wa ngono unaweza pata ukimwi?
Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana. Soma Zaidi...
Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...
dalili za mimba changa ndani ya wiki moja
Soma Zaidi...
Mapendekezo muhimu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ule Soma Zaidi...