Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Zifuatazo ni baadhi ya Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba.
1. Mwanamke mwenye mimba hapaswi kutumia mayai.hii ni mojawapo ya Imani potofu ambazo ziko kwenye makabila mengi, kwa hiyo mwanamke anaruhusiwa kutumia mayai Ili apate protini ya kutosha kwa ajili yake na mtoto wake.
2. Mwanamke mwenye mimba hapaswi kufanya tendo la ndoa, hii si kweli katika hili,kwa hiyo mama anaruhusiwaa kufanya tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua.
3. Mwanamke hapaswi kufanya kazi yoyote pale anapokuwa na mimba, hii si kweli na ni kuendekeza uvivu mkubwa sana, hakuna hasara yoyote kwa mwanamke akifanya kazi akiwa na mimba, labda kama ana maagizo kutoka kwa daktari.
4. Mama hapaswi kusafiri akiwa na mimba.
Kuna makabila mengine uzuia wanawake wenye mimba kusafili, labda kama amebakiza siku chache kujifungua, Ila kama mimba Ina miezi mitatu au miezi ya mwanzoni mama anapaswa kusafili na hakuna tatizo lolote kama mama ni mzima anapaswa kusafiri
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.
Soma Zaidi...Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?
Soma Zaidi...Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake
Soma Zaidi...Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.
Soma Zaidi...Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...