Nikila tumbo linauma, mdomo mchungu, matiti yanauma na hedhi sijapata, je ni dalili za mimba?


image


Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?


Swali:

Nikila tumbo linauma, mdomo mchungu, matiti yanauma na hedhi sijapata, je ni dalili za mimba?

 

Jibu:

Maumivu ya tumbo baada ya kula upo uwezekano husababishwa na aina ya chakula ulichokula, pia inawezekana gesi tumboni, eisha ilisha kuwepo hivyo baada ya kula ikaongezeka, ama chakula ulichokula kina gesi sana.

 

Maumivu ya matiti inaweza kuwa kweli ni dalili ya ujauzito. Hata hivyo mabadiliko ya homonikwa mwanamke yanaweza pia kuashiria kwa kutokea kwa maumivu ya matiti. Infection ya bakteria inaweza pia kuleta hali kama hii. Fika kituo cha afya kupata vipimo zaidi.

 

Kukosa hedhi ni moja ya dalili ambazo wanawake wengi hudhani kuwa ni wajawazito pindi wanapokosa hedhi. Itambulike kuwa kukosa hedhi kunaweza kusababishwa na mabo mengi sana kama:-

1. Mabadiliko ya homoni

2. Ujauzito

3. Vyakula

4. Shughuli za kila siku

5. Mabadiliko ya hali ya hewa

6. Umri

7. Saikolojia kubadilika kutokana na misongo ya mawazo

8. maradhi kama PID



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Dalili za uvimbe kwenye kinywa
Post hii inahusu dalili za uvimbe kwenye kinywa ambapo kitaalamu hujulikana Kama oral candidiasis Uvimbe kwenye kinywa husababisha vidonda vyeupe, kwa kawaida kwenye ulimi au mashavu ya ndani. Wakati mwingine uvimbe kwenye kinywa huweza kuenea hadi kwenye paa la mdomo wako, ufizi au tonsils au sehemu ya nyuma ya koo lako. Soma Zaidi...

image Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari Soma Zaidi...

image Je mwanamke anaweza pata mimba ikiwa wakati watendo la ndoa hakukojoa Wala kusikia raha yoyote ya sex wakati watendo landoa
Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako. Soma Zaidi...

image Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )
Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria. Soma Zaidi...

image Dalili za maambukizi kwenye ovari
Posti hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye ovari, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye ovari na kusababisha matatizo makubwa kama mgonjwa haujatibiwa mapema. Soma Zaidi...

image Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba
Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti. Soma Zaidi...

image DALILI ZA SELIMUDU
Posti hii inazungumzia ishara na dalili za SELIMUDU ambao kitaalamu huitwa Sickle cell Anemia.selimudu ni aina ya kurithi ya Anemia — hali ambayo hakuna chembechembe nyekundu za damu zenye afya za kutosha kubeba oksijeni ya kutosha katika mwili wako wote. Soma Zaidi...

image DALILI ZA UTUMBO KUZIBA
Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambukizwa kwenye utumbo wako . Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya tishu (leukemia)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na saratani za tishu ambazo kitaalamu hujulikana Kama Leukemia kawaida huhusisha seli nyeupe za damu. Seli zako nyeupe za damu ni wapiganaji hodari wa maambukizo - kwa kawaida hukua na kugawanyika kwa utaratibu, kadri mwili wako unavyozihitaji. Lakini kwa watu wenye leukemia, uboho huzalisha chembechembe nyeupe za damu zisizo za kawaida, ambazo hazifanyi kazi ipasavyo. Soma Zaidi...

image Kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa
Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa. Soma Zaidi...