picha

Nikila tumbo linauma, mdomo mchungu, matiti yanauma na hedhi sijapata, je ni dalili za mimba?

Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?

Swali:

Nikila tumbo linauma, mdomo mchungu, matiti yanauma na hedhi sijapata, je ni dalili za mimba?

 

Jibu:

Maumivu ya tumbo baada ya kula upo uwezekano husababishwa na aina ya chakula ulichokula, pia inawezekana gesi tumboni, eisha ilisha kuwepo hivyo baada ya kula ikaongezeka, ama chakula ulichokula kina gesi sana.

 

Maumivu ya matiti inaweza kuwa kweli ni dalili ya ujauzito. Hata hivyo mabadiliko ya homonikwa mwanamke yanaweza pia kuashiria kwa kutokea kwa maumivu ya matiti. Infection ya bakteria inaweza pia kuleta hali kama hii. Fika kituo cha afya kupata vipimo zaidi.

 

Kukosa hedhi ni moja ya dalili ambazo wanawake wengi hudhani kuwa ni wajawazito pindi wanapokosa hedhi. Itambulike kuwa kukosa hedhi kunaweza kusababishwa na mabo mengi sana kama:-

1. Mabadiliko ya homoni

2. Ujauzito

3. Vyakula

4. Shughuli za kila siku

5. Mabadiliko ya hali ya hewa

6. Umri

7. Saikolojia kubadilika kutokana na misongo ya mawazo

8. maradhi kama PID

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4203

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Dalili za mimba yenye uvimbe

Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa

Soma Zaidi...
Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa Mama

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.

Soma Zaidi...
Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.

Soma Zaidi...
Maumivu ya Uke na Uume baada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa

Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.

Soma Zaidi...
Sababu za uke kuwa na harufu mbaya.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.

Soma Zaidi...