picha

Faida za mchai chai

Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.

Faida za mchai chai.

1. Mchai chai usaidia kutibu homa.

Mmea huu utumiwa sana na baadhi ya makabila kwa kutibu homa ambapo majani yake uchumwa na kuoshwa vizuri na kuchemshwa au wengine uroweka kwenye maji ya moto na hatimaye kunywa Kikombe kimoja cha uvugu vugu au wengine wanasubiri unapoa kabisa baadae wanakunywa na homa inashuka kama ilikuwa juuu.

 

2. Pia mchai chai usaidia kutokomeza usingizi uliozidi kipimo, kutokana na mmea huu wanafunzi wengi wanaosoma utumia mmea huu kutumia wakiwa wanaosoma na hawapati usingizi kiurahisi na wanaweza kusoma kwa mda mrefu bila ya kusinzia.

 

3. Pi mmea wa mchai chai usaidia kuondo Sumu mwilini.

Kwa kawaida tunafahamu kuwa miili yetu imebeba Sumu nyingi mno kutokana na aina ya vyakula tunavyokula hasa chemical kwa hiyo kwa matumizi ya mmea huu tunaweza kuondoa Sumu mwilini kiurahisi.

 

4. Vile vile mmea huu wa mchai chai usaidia kwenye mfumo mzima wa umengenyaji wa chakula kwa sababu watu wengi wanaotumia mchai chai kwa wingi ni vigumu kabisa kupata tatizo la choo kuwa kigumu kwa sababu mchai chai usaidia katika umengenyaji wa chakula.

 

5. Kuna ushaidi unaosema kwamba kwa matumizi ya mara Kwa mara ya mchai chai usaidia akina Mama pindi wanapojifungua Ili kuweza kutanua nyonga zao na kawaida huwa wanajifungua vizuri kabisa na bila shida yoyote.

 

6. Pia kwa matumizi ya mmea huu wa mchai chai usaidia kupunguza aina mbalimbali za saratani kama vile saratani ya kizazi, tezi dime na saratani nyingine mbalimbali.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2726

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Nyanya (tomato)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...
Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi

Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula nyama

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Faida za kula papai

Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.

Soma Zaidi...
Faida za nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...