Faida za mchai chai

Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.

Faida za mchai chai.

1. Mchai chai usaidia kutibu homa.

Mmea huu utumiwa sana na baadhi ya makabila kwa kutibu homa ambapo majani yake uchumwa na kuoshwa vizuri na kuchemshwa au wengine uroweka kwenye maji ya moto na hatimaye kunywa Kikombe kimoja cha uvugu vugu au wengine wanasubiri unapoa kabisa baadae wanakunywa na homa inashuka kama ilikuwa juuu.

 

2. Pia mchai chai usaidia kutokomeza usingizi uliozidi kipimo, kutokana na mmea huu wanafunzi wengi wanaosoma utumia mmea huu kutumia wakiwa wanaosoma na hawapati usingizi kiurahisi na wanaweza kusoma kwa mda mrefu bila ya kusinzia.

 

3. Pi mmea wa mchai chai usaidia kuondo Sumu mwilini.

Kwa kawaida tunafahamu kuwa miili yetu imebeba Sumu nyingi mno kutokana na aina ya vyakula tunavyokula hasa chemical kwa hiyo kwa matumizi ya mmea huu tunaweza kuondoa Sumu mwilini kiurahisi.

 

4. Vile vile mmea huu wa mchai chai usaidia kwenye mfumo mzima wa umengenyaji wa chakula kwa sababu watu wengi wanaotumia mchai chai kwa wingi ni vigumu kabisa kupata tatizo la choo kuwa kigumu kwa sababu mchai chai usaidia katika umengenyaji wa chakula.

 

5. Kuna ushaidi unaosema kwamba kwa matumizi ya mara Kwa mara ya mchai chai usaidia akina Mama pindi wanapojifungua Ili kuweza kutanua nyonga zao na kawaida huwa wanajifungua vizuri kabisa na bila shida yoyote.

 

6. Pia kwa matumizi ya mmea huu wa mchai chai usaidia kupunguza aina mbalimbali za saratani kama vile saratani ya kizazi, tezi dime na saratani nyingine mbalimbali.

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2042

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kula Ukwaju

Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Fida za kula uyoga

Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy

Soma Zaidi...
Faida za kula bamia

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za spinachi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin B

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA PROTINI, FATI NA MAFUTA

Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA WANGA NA MADINI

Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?

Soma Zaidi...
Faida za kahawa mwilini.

Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.

Soma Zaidi...
Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...