Faida za mchai chai

Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.

Faida za mchai chai.

1. Mchai chai usaidia kutibu homa.

Mmea huu utumiwa sana na baadhi ya makabila kwa kutibu homa ambapo majani yake uchumwa na kuoshwa vizuri na kuchemshwa au wengine uroweka kwenye maji ya moto na hatimaye kunywa Kikombe kimoja cha uvugu vugu au wengine wanasubiri unapoa kabisa baadae wanakunywa na homa inashuka kama ilikuwa juuu.

 

2. Pia mchai chai usaidia kutokomeza usingizi uliozidi kipimo, kutokana na mmea huu wanafunzi wengi wanaosoma utumia mmea huu kutumia wakiwa wanaosoma na hawapati usingizi kiurahisi na wanaweza kusoma kwa mda mrefu bila ya kusinzia.

 

3. Pi mmea wa mchai chai usaidia kuondo Sumu mwilini.

Kwa kawaida tunafahamu kuwa miili yetu imebeba Sumu nyingi mno kutokana na aina ya vyakula tunavyokula hasa chemical kwa hiyo kwa matumizi ya mmea huu tunaweza kuondoa Sumu mwilini kiurahisi.

 

4. Vile vile mmea huu wa mchai chai usaidia kwenye mfumo mzima wa umengenyaji wa chakula kwa sababu watu wengi wanaotumia mchai chai kwa wingi ni vigumu kabisa kupata tatizo la choo kuwa kigumu kwa sababu mchai chai usaidia katika umengenyaji wa chakula.

 

5. Kuna ushaidi unaosema kwamba kwa matumizi ya mara Kwa mara ya mchai chai usaidia akina Mama pindi wanapojifungua Ili kuweza kutanua nyonga zao na kawaida huwa wanajifungua vizuri kabisa na bila shida yoyote.

 

6. Pia kwa matumizi ya mmea huu wa mchai chai usaidia kupunguza aina mbalimbali za saratani kama vile saratani ya kizazi, tezi dime na saratani nyingine mbalimbali.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2623

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 web hosting    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Vyakula salama kwa mwenye kisukari

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari

Soma Zaidi...
VYAKULA VYENYE PROTINI KWA WINGI

hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi

Soma Zaidi...
Orodha ya madini, chanzo chake na faida zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu orodha ya madini chanzo chake na faida zake

Soma Zaidi...
Faida za kula Karoti

Umeshawahi kula karoti mbichi, ama ya kupikwa, je unazijuwa faida zake? soma makala hii

Soma Zaidi...
Faida za vyakula vya asili

Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuboresha afya ya meno

Katika post hii utakwenda kujifunza vyakula unavyopasa kul ili kuboresha afya ya meno yako. Pia utajifunza vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno yako.

Soma Zaidi...
daarasa la afya

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini

Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini

Soma Zaidi...
Tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...