Faida za mchai chai


image


Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.


Faida za mchai chai.

1. Mchai chai usaidia kutibu homa.

Mmea huu utumiwa sana na baadhi ya makabila kwa kutibu homa ambapo majani yake uchumwa na kuoshwa vizuri na kuchemshwa au wengine uroweka kwenye maji ya moto na hatimaye kunywa Kikombe kimoja cha uvugu vugu au wengine wanasubiri unapoa kabisa baadae wanakunywa na homa inashuka kama ilikuwa juuu.

 

2. Pia mchai chai usaidia kutokomeza usingizi uliozidi kipimo, kutokana na mmea huu wanafunzi wengi wanaosoma utumia mmea huu kutumia wakiwa wanaosoma na hawapati usingizi kiurahisi na wanaweza kusoma kwa mda mrefu bila ya kusinzia.

 

3. Pi mmea wa mchai chai usaidia kuondo Sumu mwilini.

Kwa kawaida tunafahamu kuwa miili yetu imebeba Sumu nyingi mno kutokana na aina ya vyakula tunavyokula hasa chemical kwa hiyo kwa matumizi ya mmea huu tunaweza kuondoa Sumu mwilini kiurahisi.

 

4. Vile vile mmea huu wa mchai chai usaidia kwenye mfumo mzima wa umengenyaji wa chakula kwa sababu watu wengi wanaotumia mchai chai kwa wingi ni vigumu kabisa kupata tatizo la choo kuwa kigumu kwa sababu mchai chai usaidia katika umengenyaji wa chakula.

 

5. Kuna ushaidi unaosema kwamba kwa matumizi ya mara Kwa mara ya mchai chai usaidia akina Mama pindi wanapojifungua Ili kuweza kutanua nyonga zao na kawaida huwa wanajifungua vizuri kabisa na bila shida yoyote.

 

6. Pia kwa matumizi ya mmea huu wa mchai chai usaidia kupunguza aina mbalimbali za saratani kama vile saratani ya kizazi, tezi dime na saratani nyingine mbalimbali.

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Fangasi wa sehemu za Siri
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu fangasi wa sehemu za Siri Soma Zaidi...

image Faida za karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K Soma Zaidi...

image Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

image Faida za vyakula vya asili
Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli. Soma Zaidi...

image Faida za mchai chai
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai. Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula fenesi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant) Soma Zaidi...

image Vyakula salama kwa mwenye kisukari
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifuatavyo. Soma Zaidi...