Elimu yenye manufaa Ni ipi? (EDK form 1:elimu yenye manufaa)
Elimu yenye Manufaa.
- Elimu yenye manufaa ni ile yenye sifa zifuatazo:
Ni ile inayomuwezesha mwanaadamu kumtambua na kumuabudu Mola wake vilivyo na ajili ya kufikia lengo la kuumbwa kwake.
-Ni ile inayomuwezesha mja (muumini) kuwa Khalifa (kiongozi) wa Allah (s.w) hapa Ulimwenguni.
-Ni ile inayoiwezesha jamii kuishi kwa furaha na amani ya kweli.
-Ni ile inayotafutwa na kufundishwa kwa ajili ya kupata radhi za Allah (s.w).
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
"Na (wazazi wako) wakikushurutisha kunishirikisha na (yale) ambayo huna ilimu nayo, usiwatii; lakini kaa nao kwa wema hapa duniani (Maadamu ni wazee wako, ila usiwafuate tu mwenendo wao mbaya); Shika mwenendo wa wale wanaoelekea kwangu, kisha marejeo yenu
Soma Zaidi...Wanapokujia wanafiki, husema: "Tunashuhudia ya kuwa kwa yakini wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu.
Soma Zaidi...Katika Qur'an tunakumbushwa neema mbali mbali walizotunukiwa Bani Israil (Mayahudi) na Mola wao ili kuwawezesha kusimamisha Ufalme wa Allah(s.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...