picha
MAFUNZO YA DATABASE MYSQL NA SQL SOMO LA 1

Karibu tena katika mafunzo yetu, na huu ni mwanzo wa mafunzoya DATABASE kwa kutumia MYSQL kwa lugha ya kiswahili. Na hili ni somo la kwanza, katka somo hili utajifunza jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya mafunzo.

picha
NI NINI MAANA YA MLO KAMILI?

Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula

picha
DALILI ZA MAMA MJAMZITO AKIKARIBIA KUJIFUNGUA

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

picha
DALILI NA SABABU ZA KUKOSA HEDHI

Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz

picha
MAUMIVU YA MGONGO.

Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m

picha
SARATANI YA MATITI (BREASTS CANCER)

Post yetu inaenda kuzungumzia kuhusiana na Saratani ya Matiti ni Saratani ambayo hutokea katika seli za matiti. Baada ya Saratani ya Ngozi, Saratani ya matiti ndiyo Saratani inayojulikana zaidi hugunduliwa kwa wanawake Mara nyingi. Saratani yaÂ

picha
UPUNGUFU WA DAMU MWILINI

Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.

picha
VYAKULA KWA WAGONJWA WA SUKARI NA UTARATIBU WAO WA LISHE

Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.

picha
FAIDA NA HASARA ZA KUTUMIA UZAZI WA MPANGO

Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.

picha
JE FANGASI IKIKAA KWA MUDA MREFU BILA KUTIBIWA INA MADHARA GANI?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

picha
MATIBABU YA FANGASI UKENI NA DAWA ZA FANGASI WANAOSHAMBULIA UKE.

Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni

picha
DAWA YA KUTIBU FANGASI WA KWENYE MDOMO NA KINYWA

Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.

picha
FAIDA KUU 10 ZA KULA MATUNDA NA MBOGA MWILINI - KWA NINI NI MUHUMU KULA MATUNDA?

Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?

picha
DAWA ZA KUTIBU FANGASI KWENYE KUCHA

Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.

picha
JE INAWEZA UKAINGIA PERIOD WAKATI UNAUJAUZITO?

Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?

picha
NINATATIZO LA MIGUU KUUMA NIMEPIMA WANASEMA SELI NYEUPE ZA DAMU IPO CHINI SANA SASA NAULIZA DAWA HIZI ZA VITAMIN K NA SINDANO VINAWEZA NISAIDIA?

Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.

picha
MIMI NI MAMA NINAYE NYONYESHA TOKA NIMEJEFUNGUWA SIJAWAI KUZIONA SIKU ZANGU LAKINI NILIPO CHOMA SINDANO ZA YUTIAI NIKAAZA KUTOKWA NA TAMU KAMA SIKU TANO NA MWANANGU ANA MWAKA MOJA JE NINAHATALI YA KUBEBA MIMBA

Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.

picha
NINAISI KMA KUNAKITU KWENYE KOO ALAFU KUNA ALI YA WEUPE KWENYE ULIMI NA MASHAVU KWA NDAN

Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.

picha
MAWAIDHA KUTOKWA KWA SHEKHE

Karibu kwenye Darsa za mawaidha na Mafundisho ya dini.

picha
JE MAAMBUKIZI YA VIRUS VYA UKIMWI YATAONEKANA KWENYE KUPIMO BAADA YA SIKU NGAP??

Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?

picha
UUME UKIWA UNAINGIA NA UKIWA NDANI NAHIC MAUMIVU KAMA UKE UNAWAKA MOTO TAFADHALI NISHAURI

Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.

picha
VIPI KUHUSU KIBOFU KUKAZA SANA NA UNAPOKULA UNAHISI KAMA TUMBO KUJAA ZAIDI JE HII NIDALL YAMIMBA?

Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?

picha
NJIA ANAZOTUMIA MWENYEZI MUNGU (S.W) KUWAFUNDISHA NA KUWASILIANA NA WANAADAMU

Ni zipo njia wanazotumia Allah katika kuwasiliana na kuwafundisha wanadamu? (EDK form 1: Dhana ya elimu katika Uislamu).

picha
UZAZI WA MPANGO

Uzazi wa Mpango hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Uzazi wa mpango una faida kadhaa kwa mama wa mtoto, wanandoa na jamii Ujuzi wa mzunguko wa hedhi humwezesha mtoa huduma kumshaur

Page 189 of 220

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.