picha

Nini maana ya kusimamisha swala?

Je kusimamisha swala kuna maana gani kwenye uislamu?

Swala ni moja katika nguzo tano za uislamu.  Swala ni nguzo kubwa katika hizi nguzk tano za uislamu.  Mtume s.a.w amesema mwenye kuacha swala,  basi huyo amaeivunja dini. Na pia amesema kuwa tofauti kati ya muislamu na kafiti ni swala. 

 

Je ni ipi maana ya kusimamisha swala? 

Maana ya kusimamisha swala ni kuziswali swqla tano kila siku,  kwa kuzingatia nyakati zake na masharti yake na nguzo zake. 

 

Kuzingatia nyakati naana yake ni kuswali ndani ya wakativwake. Kama swala ni ya adhuhur unatakiwa uswali ndani ya muda wa adhuhur. Kwa wanaume wazingatie kuipata swala ya jamaa. 

 

Kuzongatia nguzo,  maana yake ni kuswali swqla kwa kuzitekeleza nguzo zake kikamilifu. Kuzingatia matamko yaliyokuwepo kwenye kuzo za maneno. Na kuzingatia matendovkwenye nguzo za matendo. 

 

Kuzingatia sharti zake,  nivkuswali swala kikamilifu. Kwa kufuata masharti yake. Kwa mfano kuvaa mavazi twahara. Kuswali sehem safi,  pia kuwa twahara. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2062

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Mambo yaliyo haramu kwa mwenye hedhi na nifasi

Katika post hii utakwenda kujifunza mambo ambayo ni haramu kwa mwanamke aliye na hedhi na nifasi

Soma Zaidi...
Msimamo wa uislamu juu ya utumwa

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Vituo vya kunuia hijjah au umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...