Nini maana ya kusimamisha swala?


image


Je kusimamisha swala kuna maana gani kwenye uislamu?


Swala ni moja katika nguzo tano za uislamu.  Swala ni nguzo kubwa katika hizi nguzk tano za uislamu.  Mtume s.a.w amesema mwenye kuacha swala,  basi huyo amaeivunja dini. Na pia amesema kuwa tofauti kati ya muislamu na kafiti ni swala. 

 

Je ni ipi maana ya kusimamisha swala? 

Maana ya kusimamisha swala ni kuziswali swqla tano kila siku,  kwa kuzingatia nyakati zake na masharti yake na nguzo zake. 

 

Kuzingatia nyakati naana yake ni kuswali ndani ya wakativwake. Kama swala ni ya adhuhur unatakiwa uswali ndani ya muda wa adhuhur. Kwa wanaume wazingatie kuipata swala ya jamaa. 

 

Kuzongatia nguzo,  maana yake ni kuswali swqla kwa kuzitekeleza nguzo zake kikamilifu. Kuzingatia matamko yaliyokuwepo kwenye kuzo za maneno. Na kuzingatia matendovkwenye nguzo za matendo. 

 

Kuzingatia sharti zake,  nivkuswali swala kikamilifu. Kwa kufuata masharti yake. Kwa mfano kuvaa mavazi twahara. Kuswali sehem safi,  pia kuwa twahara. 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Mambo yanayotenguwa udhu
Post hiibinakwenda kukufundisha mambo ambayo yanaharibu udhu. Soma Zaidi...

image mambo yanayofungua swaumu
post hii ijakwenda kukufundisha mambo yanayoharibu funga Soma Zaidi...

image Jinsi ya kuswali swala vitani
Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika ilibkuswalibukiwa vitani. Soma Zaidi...

image Uzuri wa Benki za kiislamu
Kwa nini benki za kiislamu ni bora kuliko benki nyingine? Soma Zaidi...

image Yaliyo haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ambauo ni haramu kwa mtu asiye na udhu. Soma Zaidi...

image Ni ipi hukumu ya kutoa talaka hali ya kuwa umelazimishwa au ukiwa umerukwa na akili
Endapo mtu atamuacha mke pasi na ridhaa yake yaani amelazimishwa ama amemuwacha wakati amerukwa na akili. Je ni ipo hukumu yake. Soma Zaidi...

image Maana ya hadathi na aina zake
Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi Soma Zaidi...

image Faida na umuhimu wa nfoa katika jamii
Hapa utajifunza faida za ndoa katika Jamii na kwa wanadamu kiafya, kiroho, kiuchumi Soma Zaidi...

image Namna ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.
Post hii inakwenda kukugundisha jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa. Soma Zaidi...

image Njia za kujitwaharisha, na vitu vinavyotumika kujitwaharisha
Post hii inakwenda kukufundisha njia zinazotumika kujitwaharisha. Soma Zaidi...