Je kusimamisha swala kuna maana gani kwenye uislamu?
Swala ni moja katika nguzo tano za uislamu. Swala ni nguzo kubwa katika hizi nguzk tano za uislamu. Mtume s.a.w amesema mwenye kuacha swala, basi huyo amaeivunja dini. Na pia amesema kuwa tofauti kati ya muislamu na kafiti ni swala.
Je ni ipi maana ya kusimamisha swala?
Maana ya kusimamisha swala ni kuziswali swqla tano kila siku, kwa kuzingatia nyakati zake na masharti yake na nguzo zake.
Kuzingatia nyakati naana yake ni kuswali ndani ya wakativwake. Kama swala ni ya adhuhur unatakiwa uswali ndani ya muda wa adhuhur. Kwa wanaume wazingatie kuipata swala ya jamaa.
Kuzongatia nguzo, maana yake ni kuswali swqla kwa kuzitekeleza nguzo zake kikamilifu. Kuzingatia matamko yaliyokuwepo kwenye kuzo za maneno. Na kuzingatia matendovkwenye nguzo za matendo.
Kuzingatia sharti zake, nivkuswali swala kikamilifu. Kwa kufuata masharti yake. Kwa mfano kuvaa mavazi twahara. Kuswali sehem safi, pia kuwa twahara.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Quran imegawanya mirathi katika haki. Mgawanyo huu ndio unaotakiwa utumike na si vinhinevyo.
Soma Zaidi...Taratibu za Kutaliki KiislamuKama palivyo na taratibu za kuoa Kiislamu ndivyo hivyo pia ilivyo katika kuvunja ndoa.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya maiti, nguzo za swala ya maiti, sharti za swwla ya maiti na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Ni kipindi au muda wa kungojea mwanamke aliyepewa talaka (aliyeachwa) au kufiwa na mumewe kabla ya kuolewa na mume mwingine.
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukufunza utofauti kati ya uadilifu na usawa
Soma Zaidi...