Je kusimamisha swala kuna maana gani kwenye uislamu?
Swala ni moja katika nguzo tano za uislamu. Swala ni nguzo kubwa katika hizi nguzk tano za uislamu. Mtume s.a.w amesema mwenye kuacha swala, basi huyo amaeivunja dini. Na pia amesema kuwa tofauti kati ya muislamu na kafiti ni swala.
Je ni ipi maana ya kusimamisha swala?
Maana ya kusimamisha swala ni kuziswali swqla tano kila siku, kwa kuzingatia nyakati zake na masharti yake na nguzo zake.
Kuzingatia nyakati naana yake ni kuswali ndani ya wakativwake. Kama swala ni ya adhuhur unatakiwa uswali ndani ya muda wa adhuhur. Kwa wanaume wazingatie kuipata swala ya jamaa.
Kuzongatia nguzo, maana yake ni kuswali swqla kwa kuzitekeleza nguzo zake kikamilifu. Kuzingatia matamko yaliyokuwepo kwenye kuzo za maneno. Na kuzingatia matendovkwenye nguzo za matendo.
Kuzingatia sharti zake, nivkuswali swala kikamilifu. Kwa kufuata masharti yake. Kwa mfano kuvaa mavazi twahara. Kuswali sehem safi, pia kuwa twahara.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ya haramu kwa mwenye hadathi kubwa
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu zakat al fitiri, kiwango chake, watu wanaostahili kupewa na kutoa, pia umuhimu wake katika jamii.
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu dini hapa
Soma Zaidi...Huu ni utaratibu unaotakiwa kufanyika baada ya kuzika.
Soma Zaidi...