Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
1. Majani ya mstafeli utibu au usaidia kwa wale wenye tatizo la kupata choo kigumu.
2. Majani ya mstafeli usaidia wagonjwa wa kisukari.
3. Majani ya mstafeli usaidia au uongeza kinga ya mwili.
4. Majani ya mstafeli usaidia kwa wale wenye matatizo ya kuumwa na tumbo na kuharisha.
.5. majani ya mstafeli usaidia kuondoa na upele kwenye ngozi.
6. Majani ya mstafeli usaidia kwa wale wenye maumivu ya mgongo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...