Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
1. Majani ya mstafeli utibu au usaidia kwa wale wenye tatizo la kupata choo kigumu.
2. Majani ya mstafeli usaidia wagonjwa wa kisukari.
3. Majani ya mstafeli usaidia au uongeza kinga ya mwili.
4. Majani ya mstafeli usaidia kwa wale wenye matatizo ya kuumwa na tumbo na kuharisha.
.5. majani ya mstafeli usaidia kuondoa na upele kwenye ngozi.
6. Majani ya mstafeli usaidia kwa wale wenye maumivu ya mgongo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...