Majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi

Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.

Majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi.

1. Majani ya mstafeli utibu au usaidia kwa wale wenye tatizo la kupata choo kigumu.

 

 

2. Majani ya mstafeli usaidia wagonjwa wa kisukari.

 

 

3. Majani ya mstafeli usaidia au uongeza kinga ya mwili.

 

 

4. Majani ya mstafeli usaidia kwa wale wenye matatizo ya kuumwa na tumbo na kuharisha.

 

 

.5. majani ya mstafeli usaidia kuondoa na upele kwenye ngozi.

 

 

 

6. Majani ya mstafeli usaidia kwa wale wenye maumivu ya mgongo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3416

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
RANGI ZA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...
Faida za kula papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai

Soma Zaidi...
Vyakula vya kupambana na saratani

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani

Soma Zaidi...
Vyakula na vinywaji hatari na vilivyo salama kwa mgonjwa wa kisukari

Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari

Soma Zaidi...