picha
MIFUMO YA BENKI YA KIISLAMU.

Hapa utajifunza njia ambazo nenk ya kiislamu hutumia ili kujiendesha

picha
TARATIBU ZA KUMILIKI HISA NA MALI YA SHIRIKA

Katika Uislamu kuwa na hisa kwenye mali inaruhusiwa. Hapa utajifunza taratibu za kumiliki hisa.

picha
UFUMBUZI WA TATIZO LA RIBA.

Uislamu ndio dini pekee ambayo inatoa ufumbuzi juu ya suala la riba.

picha
NI KWA NINI RIBA IMEHARAMISHWA KWENYE UISLAMU

Hapa utajifinza uharamu wa riba na sababu za kuharamishwa kwake.

picha
MADHARA YA RIBA KWENYE JAMII

Haya ni madhara ya riba katika jamii. Ni kwa namna gani jamii inadhurika kutokana na riba?

picha
MIFUMO YA BENKI NA KAZI ZAKE

Hapa utajifunza kazi za benki.

picha
UISLAMU UNAVYOKEMEA TABIA YA OMBAOMBA

Uislamu umekataza tabia ya kuombaomba kama ndio njia ya kuendesha maisha. Pia ukaweka suluhisho la kukomesha tabia hiyo

picha
NJIA HARAMU ZA UCHUMI.

Njia hizi ni haramu katika kukuza uchumi wako.

picha
MGAWANYIKO KATIKA KUITUMIA MALI UNAYOMILIKI

Unajuwa namna ambavyo matumizi ya mali yako, yanavyogawanywa? Jifunze hapa mgawanyiko wa mali yako.

picha
HAKI YA KUMILIKI MALI NA MIPAKA YAKE KATIKA UISLAMU

Je unaijuwa mipaka yako katika kumiliki mali. Ama unajuwa haki zako katika mali inayomiliki. Endelea na somo

picha
AINA YA BIASHARA ZILIZO HARAMU KWENYE UISLAMU

Hapa utajifunza aina za biashara ambazo ni haramu.

picha
USAWA NA UHURU WA KUCHUMA MALI KATIKA UISLAMU

Uchumi wa uislamu umeweka taratibu mbalimbali katika kuchuma mali.

picha
NAFASI YA SERIKALI KATIKA UGAWAJI

Serikali ina nafasi katika kufanya mgawanyiko katika uchumi.

picha
JUKUMU LA SERIKALI KATIKA KUZUIA DHULUMA

Serikali ina nafasi kubwa katika kuzuia dhulma na kufanya uchumibuwe huru kuyokana na dhulma.

picha
SERA YA UCHUMI KATIKA UISLAMU

Hapa utajifunza sera za kiuchumi katika uchumi wa kiislamu. Hapa utajifunza sera kuu tatu za uchumi wa kiislamu.

picha
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA KUJENGA UCHUMI WA KIISLAMU

Nazingatio muhimu katika uchumi unaofuata sheria za kiislamu.

picha
UMUHIMU WA UCHUMI KATIKA UISLAMU

Post hii itakufundisha faida na umuhimu wa kijenga uchumi katika jamii ya kiislamu.

picha
HASARA ZA WIVU NA KUTOKUWA WAZI (SEHEMU YA 4)

Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita...

picha
HASARA ZA WIVU NA KUTOKUWA WAZI (SEHEMU YA 3)

Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni...

picha
HASARA ZA WIVU NA KUTOKUWA WAZI ( SEHEMU YA 2)

Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa...

picha
HADITHI HII INAHUSU HASARA ZA WIVU NA KUTOKUWA WAZI

Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua...

picha
TARATIBU ZA KUFANYA KAZI NA KUAJIRI KATIKA UISLAMU

Post hii itakufundisha taratibu za kuajiri, kufanya kazi na malipo.

picha
DHANA YA KUMILIKI RASLIMALI KATIKA UISLAMU

Ni ipi raslimali ya halali kuimiliki katika uislamu.

picha
TOFAUTI YA UCHUMI WA KIISLAMU NA UCHUMI WA KIKAFIRI

Uchumi wa kiislamu unatofautiana sana na uchumi wa kikafiri. Hapa utajifunza tofauti hizo.

Page 137 of 225

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.