Mtoto wa tajiri na maskini (sehemu ya pili)


image


Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.


Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini.

1.basi hao watoto wakiendelea kukua na kusoma shule na kila mtu na ratiba yake mmoja ratiba yake ya maisha ya kitajiri na mwingine maisha yake ya umaskini, katika maisha ya mitihani shuleni mtoto wa tajiri alikuwa anakuwa wa kwanza kwa sababu waalimu walikuwa wanahongwa ela na mtoto wa maskini alikuwa anakuwa wa pili au wa tatu kwa kutumia akili zake,

 

2. Basi ikafika wakati wa mtihani wa mwisho yaani kumaliza darasa la Saba, wazazi wa mtoto wa tajiri wakapiga akili namna ya kumsaidia mtoto wao kwa sababu alikuwa kilaza, kwa hiyo walienda kwa familia ya mtoto maskini na kusonga Hela kubwa na  kishirikiana na waalimu kusudi mtoto wa tajiri akae karibu na mtoto wa maskini Ili wawe wanaonyeshana majibu, basi wale wazazi wakapewa Hela na yule mtoto wa maskini alihaidiwa kupewa laptop na simu kubwa baada ya kumaliza shule na yule mtoto alifurahi sana kusikia hivyo.

 

3. Na siku ya mtihani ikafika kwa sababu wale wazazi walikuwa na ela waliongea pia na msimamizi wa mtihani naye alikubali wakae wote kusudi wamwonyeshe majibu, basi mtihani ukaanza yule mtoto wa tajiri akakaa na mtoto wa maskini na akamwonyesha kila kitu na mtihani ukimalizika salama na pia matokeo yakatoka na kwa kuwa yule mtoto wa maskini alikuwa na akila sana alichaguliwa kwenye shule za vipaji maalumu na pia yule mtoto wa tajiri naye alichaguliwa kwenye shule za vipaji maalumu kwa sababu mtihani alifanyiwa na mtoto wa tajiri.

 

4. Basi matokeo yalipotoka yule baba tajiri alifurahi sana na akamwongezea yule mtoto wa maskini zawadi kubwa na akahaidi kumlipia karo ya mwaka wa form one, na siku zilifika za kwenda shule yule mtoto wa tajiri alikuwa na kila kitu kilichohitajika shuleni ila mtoto wa maskini alikuwa na karo aliyofadhiriwa nauli na madaftari, karamu na sabini pamoja na uniform, hali iliyomfanya kuridhika na alichonacho, kwa sababu safari ilikuwa ndefu mtoto wa maskini alifungiwa mhogho wa kula njiani na maji ila yule wa tajiri alifungiwa vitu vingi mno vya kula njiani.

 

Itaendelea



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image The fastest (anakwenda mbio zaidi)
Posti hii inakwenda kukuletea sifa za mnyama anayekwenda mbio zaidi Soma Zaidi...

image Hadithi ya binti wa kwanza na mbwa
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Kutokana kwenye kisima mpaka kuwa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Historia ya zamani
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Hadithi ya Kaka wa tatu wa kinyozi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

image Aladini na binti wa mfalme
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya mshumaa wa ajabu Soma Zaidi...

image Hadithi ya mvuvi na jini
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Kila kitu ambacho wanaume wanatakiwa kufahamu kuhusu wanawake.
Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache. Soma Zaidi...

image USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...

image NIMLAUMU NANI part 1
Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na kusalitiwa mara kwa mara. Soma Zaidi...