picha

Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.

Tunajua kuwa kazi kuu ya mrija wa kizazi ni sehemu ambapo mimba urutubishwa, kwa hiyo yai likitoka kwenye ovari linakuja kwenye mirija ya kizazi na uweza kurutubishwa hapo, lakini Kuna wakati mwingine mirija hii uziba na kusababisha ugumba kwa hiyo zifuatazo ni sababu za mirija ya uzazi kuziba.

 

1. Maambukizi ya wadudu mbalimbali, Kuna wakati mwingine maambukizi ya wadudu  ambao Usababishwa na ngono zembe ambapo bakteria au virusi kuaribu sehemu za mirija ya uzazi na kusababisha mirija hiyo kuziba kwa hiyo matokeo ya kuziba kwa mirija usababisha mimba kushindwa kutungwa kwa hiyo tunapaswa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuepuka tatizo hili la maambukizi kwenye mrija wa kizazi.

 

3. Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi.

Hili ni tatizo utokea ambapo mimba badala ya kutungwa kwenye sehemu husika inatungwa nje ya mfuko wa uzazi kwa kitaalamu huitwa ectopic pregnancy, mimba hii ikitungwa huko inabidi mimba hiyo kufanyiwa upasuaji na kutolewa kwa hiyo Iwapo hizo mimba zimetungwa hivyo kwa mara nyingi usababisha  kuziba kwa mirija ya uzazi.

 

4. Magonjwa mbalimbali ya tumbo kama vile apenicitis yaani apendex usababisha kuziba kwa mirija ya uzazi kwa sababu pengine upasuaji unaweza kwenda vibaya na kusababisha kusababisha na mishipa ya mirija ya uzazi kushindwa kufanya kazi yake na pia mimba hauwezi kutungwa.

 

5.pengine linaweza kuwa ni tatizo la kuzaliwa nalo,

Kuna watoto wengine kwa sababu ya mabadiliko ya mwili au homoni kushindwa kufanya kazi yake kuu mtoto anazaliwa akiwa aneziba mirija ya uzazi na kwa mtu kama huyu mimba haiwezekani kutungwa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/22/Wednesday - 11:13:00 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2604

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 web hosting    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba changa

Soma Zaidi...
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.

Soma Zaidi...
Niharisha siku ya pili baada ya tendo. Jana hadi leo sijapata choo inawezakua nimeshika ujauzito?

Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?

Soma Zaidi...
Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.

Soma Zaidi...
Je mwanamke anaweza pata mimba ikiwa wakati watendo la ndoa hakukojoa Wala kusikia raha yoyote ya sex wakati watendo landoa

Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.

Soma Zaidi...
Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.

Soma Zaidi...
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

Soma Zaidi...