Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.
Tunajua kuwa kazi kuu ya mrija wa kizazi ni sehemu ambapo mimba urutubishwa, kwa hiyo yai likitoka kwenye ovari linakuja kwenye mirija ya kizazi na uweza kurutubishwa hapo, lakini Kuna wakati mwingine mirija hii uziba na kusababisha ugumba kwa hiyo zifuatazo ni sababu za mirija ya uzazi kuziba.
1. Maambukizi ya wadudu mbalimbali, Kuna wakati mwingine maambukizi ya wadudu ambao Usababishwa na ngono zembe ambapo bakteria au virusi kuaribu sehemu za mirija ya uzazi na kusababisha mirija hiyo kuziba kwa hiyo matokeo ya kuziba kwa mirija usababisha mimba kushindwa kutungwa kwa hiyo tunapaswa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuepuka tatizo hili la maambukizi kwenye mrija wa kizazi.
3. Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi.
Hili ni tatizo utokea ambapo mimba badala ya kutungwa kwenye sehemu husika inatungwa nje ya mfuko wa uzazi kwa kitaalamu huitwa ectopic pregnancy, mimba hii ikitungwa huko inabidi mimba hiyo kufanyiwa upasuaji na kutolewa kwa hiyo Iwapo hizo mimba zimetungwa hivyo kwa mara nyingi usababisha kuziba kwa mirija ya uzazi.
4. Magonjwa mbalimbali ya tumbo kama vile apenicitis yaani apendex usababisha kuziba kwa mirija ya uzazi kwa sababu pengine upasuaji unaweza kwenda vibaya na kusababisha kusababisha na mishipa ya mirija ya uzazi kushindwa kufanya kazi yake na pia mimba hauwezi kutungwa.
5.pengine linaweza kuwa ni tatizo la kuzaliwa nalo,
Kuna watoto wengine kwa sababu ya mabadiliko ya mwili au homoni kushindwa kufanya kazi yake kuu mtoto anazaliwa akiwa aneziba mirija ya uzazi na kwa mtu kama huyu mimba haiwezekani kutungwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Soma Zaidi...Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
Soma Zaidi...Nini humaanisha kama chuchu zinauma na hupati period mwanaidi mrefu.
Soma Zaidi...dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo kwa mjamzito huweza kuanaa kuonekana mwanzoni kabisa mwaujauzito, ndani ya mwezi mmoja. Ikabidi si dalili pekee ya kuwa ni mjamzito.
Soma Zaidi...Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.
Soma Zaidi...