Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.


image


Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.


Tunajua kuwa kazi kuu ya mrija wa kizazi ni sehemu ambapo mimba urutubishwa, kwa hiyo yai likitoka kwenye ovari linakuja kwenye mirija ya kizazi na uweza kurutubishwa hapo, lakini Kuna wakati mwingine mirija hii uziba na kusababisha ugumba kwa hiyo zifuatazo ni sababu za mirija ya uzazi kuziba.

 

1. Maambukizi ya wadudu mbalimbali, Kuna wakati mwingine maambukizi ya wadudu  ambao Usababishwa na ngono zembe ambapo bakteria au virusi kuaribu sehemu za mirija ya uzazi na kusababisha mirija hiyo kuziba kwa hiyo matokeo ya kuziba kwa mirija usababisha mimba kushindwa kutungwa kwa hiyo tunapaswa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuepuka tatizo hili la maambukizi kwenye mrija wa kizazi.

 

3. Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi.

Hili ni tatizo utokea ambapo mimba badala ya kutungwa kwenye sehemu husika inatungwa nje ya mfuko wa uzazi kwa kitaalamu huitwa ectopic pregnancy, mimba hii ikitungwa huko inabidi mimba hiyo kufanyiwa upasuaji na kutolewa kwa hiyo Iwapo hizo mimba zimetungwa hivyo kwa mara nyingi usababisha  kuziba kwa mirija ya uzazi.

 

4. Magonjwa mbalimbali ya tumbo kama vile apenicitis yaani apendex usababisha kuziba kwa mirija ya uzazi kwa sababu pengine upasuaji unaweza kwenda vibaya na kusababisha kusababisha na mishipa ya mirija ya uzazi kushindwa kufanya kazi yake na pia mimba hauwezi kutungwa.

 

5.pengine linaweza kuwa ni tatizo la kuzaliwa nalo,

Kuna watoto wengine kwa sababu ya mabadiliko ya mwili au homoni kushindwa kufanya kazi yake kuu mtoto anazaliwa akiwa aneziba mirija ya uzazi na kwa mtu kama huyu mimba haiwezekani kutungwa.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Tatizo la Kikohozi Cha muda mrefu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguzungu,Msongo wa mawazo, hata kuvunjika kwa mbavu. Kikohozi cha kudumu kinafafanuliwa kuwa hudumu wiki nane au zaidi kwa watu wazima, wiki nne kwa watoto. Soma Zaidi...

image Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri. Soma Zaidi...

image Maradhi yatokanayo na fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi Soma Zaidi...

image Njia za kuingiza chanjo mwilini
Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Dawa za kutibu kiungulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia Soma Zaidi...

image Aina za swala..
Nguzo za uislamu,aina za swala (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Viungo vinavyoathiriwa na malaria
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria Soma Zaidi...

image Dalili za shambulio la hofu
Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba unashindwa kujidhibiti, unapata Mshtuko wa Moyo au hata unakufa. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia ugumba
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifuatazo zinaweza kuwasaidia. Soma Zaidi...

image Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?
Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa. Soma Zaidi...