Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema.
Madhara ya fangasi ukeni
1.Mimba kuharibika
Hii utokea pale ambapo maambukizi yameenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi na. Kuharibu sahemu ambapo mtoto anajishiza na atimaye mimba ukosa sehemu ya kujishikisha na hatimaye kuaribika kwa mimba kabla ya wakati wake
2.fangasi zisipotibiwa usababisha Kansa ya mlango wa kizazi, hali hii utokea pale ambapo maambukizi kwenye uke yanazidi kuwa makubwa na hatimaye kuaribu sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kumpelekea kupata Kansa ya mlango wa kizazi au Kansa kwenye via vya uzazi.
3. Kupata Homa na kizunguzungu.
Hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kuenea sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha Homa na kizunguzungu kwa mtu Mwenye maambukizi,kwa sababu ya kubadilika kwa hali ya kawaida ya mwili na kuaribu kwa sehemu mbalimbali za mwili na na Maambukizi usababisha kubadilika kwa joto la mwili pia.
4.Kuongezeka kwa miwasho.
Madhara ya fangasi ukeni usababisha kuwepo kwa miwasho kwenye sehemu za Siri, ambapo mwathirika ujikuna kila wakati na pengine kusababisha hali ya kutokuwa na amani, hali hii usababisha kuenea kwa ugonjwa wa fangasi ukeni kwa sababu mwenye maambukizi kama anajikuna na anaagusa vitu vya wengine anaweza kusambaza maambukizi kwa waliomzunguka.
5.Maumivu makali wakati wa kukojoa
Hali hii utokea kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi ukeni, pale ambapo maambukizi yameenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi, usababisha michubuko kwa hiyo mtu akikojoa na mkojo ukagusa sehemu ya michubuko maumivu makali utokea na kusababisha kukosa raha na amani kwa mgonjwa.
6, kwa hiyo tunaona kuwa madhara ya fangasi ukeni ni makubwa na usababisha madhara makubwa kwa wagonjwa na pengine ugumba kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu kwa maana unatibika na dawa hospitalin zipo na zinatibu ugonjwa huu tusiwatenge wale waliopata na ugonjwa huu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.
Soma Zaidi...Ni Swali kila mjamzito anataka kujiuliza hasa akiwa katika mimba ya kwanza. Wengine wanataka kujuwa ni muda gani anujuwe mavazi makubwa. Kama na wewe unataka kujuwa muda ambao tumbo huwa kubwa, endelea kusoma.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo
Soma Zaidi...Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
Soma Zaidi...Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
Soma Zaidi...Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
Soma Zaidi...