Katika somo hili utakwend akujifunza kw akirefu kuhusu madd twabโiy yaani madd za asili.
Hii ni madd ya asili ambayo madd zote zimepatikana kutoka hapa. Maddd hii ni ya haraka 2 na haijuzu kuzipunguza wala kuzizidisha na ni makosa kufanya vinginevyo. Madd hii itavutwa katika hali zote ima katika hali ya kuunganisha maneno au katika hali ya kusimama. Ili itokee madd hii haihitaji sababu zingine ila ni asili ya neno tu ni lazima liwe na madd hiyo.
Halikadhalika madd hii kuna maeneo saba ambayo haipatikani wakati wa kuunga maneno ila itapatikana tu pale msomaji anaposimama. Na sehemu hizi zipo saba tu na zinapatikana kwa kuwepo alif na hii huitwa jina la ุงูููุงุช ุงูุณุจุน (Alifaatus-Sab-‘iy - Alif Saba).
(maddutw-twabiy’iy) nyinginezo ni:
ู
ูุฏูู ุงูุตูููููุฉู ุงูุตููุบูุฑู . 1 - Maddusw-Swillatis-Sughraa
2 ู
ูุฏูู ุงููุนูููุถู . - Maddul-‘Iwadhw
ู
ูุฏูู ุงููุจูุฏูู . 3 – Maddul-Badl
ู
ูุฏูู ุงูุชููู
ููููู . 4 – Maddut-Tamkiyn
ุฃููููุงุช ุญูููู ุทูููุฑ . 5 – Alifaatu Hayyun Twahr
1 Maddusw-Swillatis-Sughraa:
Swillah ni kuunganisha herufi ya ู (haa) ya kiwakilishi1 na herufi ya madd yenye kunasibiyana na i’raab yake (dhwammah au kasrah) kitakapokuwa hicho kiwakilishi cha ู ni chenye i’raab na kipo baina ya herufi mbili zenye i’raab. Swillah hii imegawanyika sehemu mbili mojawapo ni hii ya assughraa (ndogo) na ya pili yake ni ya al-kubraa (kubwa) itakayokuja maelezo yake katika Maddul-Far-’iy.
Shart zake:
i) Kuweko na i’raab (sio sukuwn au herufi ya madd) kabla ya ู (haa)
ii) Kuweko na i’raab ifuatie katika neno la pili.
iii) Haifuatwi na hamzah.
Hukumu hii haizingatiwi katika maeneo mawili kwenye qurani. Aya hizi moja wapo huvutwa (Al-Furqaan (25: 69) ) ijapokuwa haina sifa za kuvutwa na nyingine haivutwi (Az-Zumar (39 : 7)) ijapokuwa ina sifa za kuvutwa. Na hii ni kutokana kuwa hivyo ndivyo inavyosomwa. Maeneo hayo ni haya;-
(Az-Zumar (39 : 7) Al-Furqaan (25: 69)
2 Maddul-Badal
Kanuni ya badal: ni kuja kwa hamzah mbili zenye kufuatana moja baada ya nyengine, ya kwanza ikawa na i’raab na ya pili ikawa saakin katika neno moja, hivyo hubadilishwa hamzah ya pili saakinah na kuwa herufi ya madd yenye kuwiana na i’raab ya hamzah ya kwanza. Hukmu yake ni kuvutwa harakah mbili.
3. Maddul-‘Iwadhw
Ni madd inayotokea wakati wa kusimama msomaji katika neno lenye fathataan (tanwiyn fat-hah). Hukmu yake ni huvutwa kwa harakah mbili. Kusimama kwenye ุฉ (taa marbuwtwah ya kike iliyofungwa) kunapelekea kutokuwepo hukmu hii ya ู
ูุฏูู ุงููุนูููุถ (maddul-‘iwadhw) kwani wakati huo huondoka tanwiyn na kusimamiwa kwa ู (haa) saakinah.
4.Maddut-Tamkiyn
Ni madd inayotokea wakati ู mbili zimekutana, ya kwanza ina shaddah na kasrah na ya pili ina sukuwn. Imeitwa tamkin ู
ูุฏูู ุงูุชููู
ููููู kwa sababu inatamkwa ikiwa imethibitika kwa sababu ya shaddah. ู ya pili ambayo ina sukuwn inavutwa kwa harakah mbili.
5 - Alifaatu-Hayyin-Twahur
Ni ู
ูุฏู ุงูุทููุจููุนู (maddutw-twabiy’iy) inayotokana katika kutamkwa baadhi ya ุงูุญุฑูู ุงูู
ุชูุงุทุนุฉ (Al-Huruwf Al-Mutaqatw-twa’ah)1 zinazoanzia baadhi ya
Suwrah, kwa vile herufi hizo zinatamkwa kama herufi za hijaaiyah ุทุง ุญุง
ูุง ุฑุง . Nazo zimeundwa katika ibara ya ุญูู ุทูุฑ (hayyun twahur) kwa jina
jingine huitwa ุฃููููุงุชู ุญูููู ุทููู ุฑ (Alifaatu hayyin twahur).
Mwisho:
Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhsu madd Fr’iy katika usmaji wa tajwid.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu herufi saba katika usomaji wa tajwid.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu hukumu za kitajwid za nun sakina na tanwin
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu sijda zinazotokea wakati wa kusoma Quran.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu hukumu za Qalaqala katika usomaji wa tajwid.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu hukumuza waqfu katika usomajiwa quran.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kanuni za usomaji wa istiโadha na basmallah.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu hukumu za idgham katika tajwid
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzakuhusu hukumu za iqlab katika usomaji wa tajwid.
Soma Zaidi...hapa utakwenda kujifunza kuhusu sifa za herufi za kiarabu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu madd na aina zake. Utajifunza herufi za madd na umuhimu wa madd katika tajwid.
Soma Zaidi...