Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti
Faida za karoti
1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.
2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
3. Hususha cholesterol
4. Husaidia kupunguza uzito
5. Husaidia kuboresha afya ya macho
6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari
8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo
9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo
Soma Zaidi...