image

Faida za kula karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti

Faida za karoti

1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.

2. Hupunguza hatari ya kupata saratani

3. Hususha cholesterol

4. Husaidia kupunguza uzito

5. Husaidia kuboresha afya ya macho

6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari

8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo

9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini

10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1944


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Fahamu tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari
Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Nanasi
Soma Zaidi...

Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi
Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kitunguu maji
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji Soma Zaidi...

ELIMU YA UJAUZITO, MIMBA NA KIZAZI
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula tango
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula
Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula Soma Zaidi...

Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri. Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamini A na kazi zake
Soma Zaidi...

Faida za limao au ndimu
Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Bamia
Soma Zaidi...

KITABU HA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...