Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti
Faida za karoti
1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.
2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
3. Hususha cholesterol
4. Husaidia kupunguza uzito
5. Husaidia kuboresha afya ya macho
6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari
8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo
9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...