picha

Faida za kula karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti

Faida za karoti

1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.

2. Hupunguza hatari ya kupata saratani

3. Hususha cholesterol

4. Husaidia kupunguza uzito

5. Husaidia kuboresha afya ya macho

6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari

8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo

9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini

10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021-10-27 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3567

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kula Ukwaju

Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula spinach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...
Faida za kula pilipili

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula nyama

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama

Soma Zaidi...
Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula virutubisho hufonzwa?

Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi

Soma Zaidi...
KITABU HA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...