picha
NADHARIA YA UCHUMI WA KIISLAMU

Dhana ya uchumi wa kiislamu imejegwa jui ya ukati na kati. Dhana hii imetofautiana sana na dhana nyinginezo kama...

picha
NI NINI MAANA YA UCHUMI KATIKA UISLAMU

Katikabuislamu dhana ya uchumi imetofautiana na dhana ya kidunia hivi leo ambapo kamari na riba ni moja ya vitu muhimu...

picha
NI UPIBUTARATIBU WA KUINGIA EDA NA KUTOKA EDA

Katika uislamu hakuna sheria ya mwanamke kuingizwa eda na kutolewa eda kama ilivyozoeleka. Endelea na post hii ujifunze zaidi

picha
TARATIBU ZA EDA YA KUFIWA KATIKA UISLAMU

Hapa utajifunza taratibu za kukaa eda kwa mwanamke ambaye amefiwa na mume.

picha
TARATIBI ZA MALEZI YA WATOTO WADOGO BAADA YA TALAKA KATIKA UISLAMU

Endapo mke na mume wameachana na hali ya kuwa mke ana watoto wachanga. Je uislamu unasemaje kuhusu taratibu za...

picha
NI IPI HUKUMU YA KUTOA TALAKA HALI YA KUWA UMELAZIMISHWA AU UKIWA UMERUKWA NA AKILI

Endapo mtu atamuacha mke pasi na ridhaa yake yaani amelazimishwa ama amemuwacha wakati amerukwa na akili. Je ni ipo...

picha
HUKUMU YA TALAKA ILIYOTOLEWA KABLA YA TENDO LA NDOA

Endapo mtu atamuacha mke wake kabla hata ya kukutana kimwili, basi talaka hii itahukumiwa kwa namna hii.

picha
TARATIBU ZA KUTALIKI KATIKA UISLAMU.

Hapa utajifunza taratibu zinazofuatwa wakati wa kukusudia kumuacha mke. Pia utajifunza sababu za kiwepo kwa eda baada ya kuachwa mwanamke....

picha
AINA MBILI ZA TALAKA ZISIZO NA REJEA KATIKA UISLAMU

Huwezi kuruhusiwa kumrejea mke endapo utamuacha kwa talaka hizi mbili.

picha
ZIJUWE AINA KUU 6 ZA TALAKA KATIKA UISLAMU

Talaka zimegawanyika katika makundi mengi. Katika somo hili utakwenda kukifunza aina kuu za talaka katika uislamu.

picha
JE NI NANI MWENYE HAKI YA KUTALIKI

Hapabutajifunza endapp mwanamke anahitaji kuachwa ni nini anatakiwa afanye.

picha
JINSI YA KUFANYA SULUHU KATI YA MUME NA MKE.

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kufanya suluhu katika ndoa.

picha
NI NINI MAANA YA TALAKA KATIKA UISLAMU

Post hii inakwenda kukufundisha maana ya neno talaka katika uislamu kisheria na kilugha.

picha
JE NI KWA NINI LENGO LA FINGA HALIFIKIWI KWA WAFUNGAJI

Lengo la funga ni kuwa mchamungu sasa ni kwa nini wafungaji hawalifikii lengo hili na kuwa wachamungu.

picha
VIPI UTAPATA UCHAMUNGU KUPITIA FUNGA

Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu.

picha
HILI NDIO LENGO LA KUFUNGA.

Ni kwa nini Allah ametutaka tugunge. Je kuna lengo gani hasa katika kufunga.

picha
SIKU AMBAZO HAZIRUHUSIWI KUFUNGA

Ni haramu kufunga katika masiku haya. Na endapo utafunga basi funga haitakuwa na malipo.

picha
JINSI YA KUTEKELEZA FUNGA ZA SUNNAH

Hapa utajifunza muda wa kutia jia katika funga za sunnah. Pia utajifunza kuhusu uhuru ulio nao

picha
ZIJUWE FUNGA ZA SUNNAH NA JINSI YA KUZIFUNGA

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu funga za sunnah na jinsi ya kuzigunga.

picha
ZIJUWE FUNGA ZA KAFARA NA JINSI YA KUZIGUNGA

Post hii itakufundisha kuhusu funga za kafara, zinavyotokea na na jinsi ya kuzifunga.

picha
JINSI YA KUSHEREHEKEA SIKU YA IDI KATIKA UISLAMU

Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.

picha
SUNNAH ZA SIKU YA IDI NA UTARATIBU WA KUSHEREHEKEA

Hapa utajifunza utaratibu wa kusherekea ifil fitir. Pia utajifunza sunnah zinazoambatsns na idil fitir

picha
JINSI YA KUTOA ZAKAT AL FITIRI NA UMUHIMU WA ZAKAT AL FITRI KWA WAISLAMU

Hapa utajifunza kuhusu zakat al fitiri, kiwango chake, watu wanaostahili kupewa na kutoa, pia umuhimu wake katika...

picha
JINSI YA KUKAA ITIQAF NA TARATIBU ZAKE

Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada.

Page 138 of 225

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.