picha
MGAWANYIKO WA ELIMU KATIKA MTAZAMO WA UISLAMU

Katika Uislamu elimu imegawanyika katika Elimu ya muongozo na elimu ya mazingira.

picha
MGAWANYIKO WA ELIMU KWA MTAZAMO WA KIKAFIRI

Kwa mtazamo wa kikafiri elimu imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Elimu ya dunia na Elimu ya akhera.

picha
VIPI ALLAH HUWASILIANA NA WANADAMU KWA KUPITIA NJIA YA MAANDISHI

Allah hutumia maandishi kuwafundisha wanadamu. Mfano mzuri ni nabii Musa ambaye alipewa vibao vya maandishi.

picha
KWA NAMNA GANI ALLAH HUWASILIANA NA WANADAMU KWA KUPITIA NDOTO.

Ndoto za kweli ni moja kati ya njia ambazo Allah huwasiliana na wanadamu.

picha
JIFUNZE NI KWA NAMNA GANI MALAIKA WALIWEZA KUWASILIANA ANA MANABII MALIMBALI

Wakatibmeingibe Allah anapotaka kuwasiliana na wanadamu hutuma Malaika wake.

picha
KWA NAMNA GANI NABII MUSA NA BI MARIAM WALIWEZA KUZUNGUMZA NA ALLAH NYUMA YA PAZIA

Nabii Musa na Mama yake nabii Isa bi Mariam waliweza kuwasiliana na Allah nyuma ya pazia.

picha
NI NINI MAANA YA ILHAMU KATIKA UISLAMU?

Ilhamu ni moja katika njia ambazo Allah huwasiliana na wanadamu na kuwafundisha mambo mablimbali.

picha
NJIA AMBAZO ALLAH HUFUNDISHA WANADAMU ELIMU MBALIMBALI

Ni kipi chanzo cha Elimu, na ni kwa namna gani Allah hufundisha Elimu kwa wanadamu?

picha
KWA NINI UISLAMU UMEIPA ELIMU NAFASI YA KWANZA

Elimu imepewa nafasi kubwa sana katika uislamu.

picha
NAFASI YA ELIMU KATIKA UISLAMU

Elimu imepewa kipaumbele kikubwa kwenye uislamu. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nafasi ya Elimu katika uislamu.

picha
MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU, NINI MAANA YA ELIMU NA NANI ALIYE ELIMIKA.

Ni nini maana ya Elimu na ni nani aliye elimika? Uislamu una mtazamo gani juu ya Elimu?

picha
AINA ZA MADD FAR-IY

Mada zipo katika makundi mawili ambayo ni madda far-iy na mdada twab-iy.

picha
AINA ZA MADDA TWABIY KWENYE USOMAJI WA QURAN

Madda zimegawanyika katika maeneo makuu mawili ambayo ni madda twabiy na madda fariy

picha
HUKUMU ZA WAQFU NA IBTIDA

waqfu ni misimamo ambapo msomaji wa Quran anaruhusiwa kusimama, kuhema au kumeza mate. Na ibtidai ni kuanza baada ya...

picha
HUKUMU ZA IDH-HAR NA ID-GHAM KATIKA LAAM AL-MAARIFA

Laam al- maarifa inaweza kusomwa kwa idgham au idh-har pindibitakapokutana na herufi za shamsiya au qamariya.

picha
HUKUMU YA TAFKHIM NA TARQIQ KATIKA USOMAJI WA QURAN TAJWID

Tarqiq ni kuisoma herufi kwa kuipa wepesi na tqfkhim ni kuisoma herufi kwa kuipa uzito.

picha
MAANA YA QALQALA NA AINA ZAKE KATIKA USOMAJI WA QURAN TAJWID

Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo.

picha
MAANA YA QALQALA NA AINA ZAKE KATIKA USOMAJI WA QURAN TAJWID

Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo.

picha
MAANA YA IDGHAM NA AINA ZAKE KATIKA USOMAJI WA QURAN TAJWID

Aina za idgham ni idgham al mutamathilain, na idgham al mutajanisain

picha
HUKUMU ZA MIM SAKINA NA TANWINKWENYE HUKUMU ZA TAJWID

Hukumu za kim sakina na tanwin ni idgham shafawiy, idh-har shafawiy, na Ikhfau shafawiy

picha
JE UTAWEZA KUAMBUKIZA HIV UKIWA UNATUMIA PREP?

Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.

picha
HETI KAMA MTU KAFANY MAPENZI NA MTU MWE UKIMWI SIKU HIHIYO AKENDA HOSPITALI KAPEWA DAWA KWELI HATAWEZA KUWABUKIZWA

Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.

picha
HUKUMU YA IKHFAU KATIKA TAJWID

Ikh-fau ni moja ya hukumu za nun sakina na tanwin kwenye hukumu za Quran tajwid

picha
MAMBO YANAYOWEZA KUDHOOFISHA KINGA YA MWILI

Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?

Page 138 of 229

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.