Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba ugonjwa wa kisukari kuna kipitufikia kiwango ambacho Uweza kupanda na kushuka.
2. Pamoja na matumizi ya milo ya kawaida ya watu wa sukari tunapaswa kutumia mboga zifuatazo ili kuweza kuweka kiwango cha sukari kwenye hali ya usawa.
3. Mboga kama vile mchicha kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho mbalimbali usaidia sana kwa wagonjwa wa kisukari.
4. Mboga nyingine ni kama vile Chadi na mboga zote za majani, kitunguu swaumu, parachichi na maharage.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...