Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba ugonjwa wa kisukari kuna kipitufikia kiwango ambacho Uweza kupanda na kushuka.
2. Pamoja na matumizi ya milo ya kawaida ya watu wa sukari tunapaswa kutumia mboga zifuatazo ili kuweza kuweka kiwango cha sukari kwenye hali ya usawa.
3. Mboga kama vile mchicha kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho mbalimbali usaidia sana kwa wagonjwa wa kisukari.
4. Mboga nyingine ni kama vile Chadi na mboga zote za majani, kitunguu swaumu, parachichi na maharage.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Hapa tutaona kuhusu virutubisho vya wanga, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...