MBOGA AMBAZO ZIMEKUWA KUWEKA KIWANGO CHA SUKARI JUWA SAWA


image


Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.


Mboga ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba ugonjwa wa kisukari kuna kipitufikia kiwango ambacho Uweza kupanda na kushuka.

 

2. Pamoja na matumizi ya milo ya kawaida ya watu wa sukari tunapaswa kutumia mboga zifuatazo ili kuweza kuweka kiwango cha sukari kwenye hali ya usawa.

 

3. Mboga kama vile mchicha kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho mbalimbali usaidia sana kwa wagonjwa wa kisukari.

 

4. Mboga nyingine ni kama vile Chadi na mboga zote za majani, kitunguu swaumu, parachichi na maharage.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    2 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    3 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Vyakula vya kuongeza damu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu Soma Zaidi...

image Madhara ya vyakula vya kisasa
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka Soma Zaidi...

image Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake. Soma Zaidi...

image Faida za kula magimbi (taro roots)
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi Soma Zaidi...

image Madhara ya mafuta mengi mwilimi
Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi Soma Zaidi...

image Ulaji wa protini kupitiliza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin E
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu vitamini D na kazi zake mwilini
Hapa utajifunza kuusu vitamini D, kazi zake, upungufu wake na chanzo cha kupata vitamini D. Soma Zaidi...

image NI ZIPI KAZI ZA PROTINI MWILINI?
Makala hii inakwenda kukuletea kazi kuu za protini na vyakula vya protini katika miili yetu. Mkala hii itakusaiidia kujuwa namna ya kupangilia lishe yako kiusalama zaidi baada ya kujuwa kazi za protini katika miili yetu. Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula mihogo
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo Soma Zaidi...