Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba ugonjwa wa kisukari kuna kipitufikia kiwango ambacho Uweza kupanda na kushuka.
2. Pamoja na matumizi ya milo ya kawaida ya watu wa sukari tunapaswa kutumia mboga zifuatazo ili kuweza kuweka kiwango cha sukari kwenye hali ya usawa.
3. Mboga kama vile mchicha kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho mbalimbali usaidia sana kwa wagonjwa wa kisukari.
4. Mboga nyingine ni kama vile Chadi na mboga zote za majani, kitunguu swaumu, parachichi na maharage.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.
Soma Zaidi...Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...